Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Lisu huyu huyu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dini mbili maarufu zimempa mwanamke nafasi yake. Si Vyema mwanamke kua kichwa cha familia wakati Baba yupo .Hili la TAL kushinda urais wa JMT is possible but only if Watanzania tutakuwa wajinga kama Wamarekani!. Inawezekana Wamarekani ni wajinga ajabu? Wamemchagua mwanaume na kumtosa Mwanamke. 2025 Watanzania tuchague mwanamke kuonesha tuna akili zaidi yao?
Hivyo ili
Kuzuia
Watanzania
Tusifanye
Ujinga
Kama
Huu wa
Wamarekani
Nimeshauri Kilichotokea Uchaguzi wa Marekani, kinaweza kutokea Uchaguzi 2025?. Tuyatumie matokeo yao kama shamba darasa la 2025 au wao ni wao, na sisi ni sisii?
P
Mimi nimekuelewa, ila kuna kitu sitakisemaNina hoja
Sababu hizo na nyingine zinapelekea kumpa nafasi kubwa sana Tundu Lisu kupata ushindi wa mapema kwenye kinyang'anyiro cha Urais hapo Oktoba.
- Tangu Tundu Antipas Lisu atangaze na kuchukua fomu ya kugombea uenyekiti taifa wa CHADEMA. Watanzania karibia wote wamekuwa wanafuatilia na hususan kuonesha kumuunga mkono
- CCM imeporomoka umaarufu kwa ghafla mno. Hata mkutano Mkuu unaoandaliwa Dodoma umekosa shamsham zake kama ilivyo ada. CCM imepeleka wasanii wengi mkutanoni lakini hakuna Mtanzania anayefuatilia mkutano huo
- Idadi ya wanaomuunga mkono Lisu inazidi kuongezeka kilakukicha.
- Freeman Mbowe amepoteana kabisa kwa sababu kabla hajachukua fomu ya kugombea uenyekiti CHADEMA Taifa, alipochukua na hata aliporejesha fomu ameshindwa kueleza nini ama maboresho gani atayafanya kwenye nafasi anayogombea.
- CCM imetumia injini zake zote chafu za mitandaoni. Ukisoma maoni ya wanaCCM lialia wamejikita kumpigia kampeni Mbowe huku wakitimiza jukumu lao la kila siku la kisiasa za majitaka dhidi ya Lisu
- Media karibia zote zimejikita kufanya mahojiano na Lisu ambapo amepata nafasi kubwa kuelezea mambo mbalimbali ya kuwafumbua macho na fahamu Watanzania kuhusu nchi yao na haki zao.
Adumu rais wetu ajaye ambaye ni Tundu Antipas Lisu
vp yanayojiri huko bawacha?Nina hoja
Sababu hizo na nyingine zinapelekea kumpa nafasi kubwa sana Tundu Lisu kupata ushindi wa mapema kwenye kinyang'anyiro cha Urais hapo Oktoba.
- Tangu Tundu Antipas Lisu atangaze na kuchukua fomu ya kugombea uenyekiti taifa wa CHADEMA. Watanzania karibia wote wamekuwa wanafuatilia na hususan kuonesha kumuunga mkono
- CCM imeporomoka umaarufu kwa ghafla mno. Hata mkutano Mkuu unaoandaliwa Dodoma umekosa shamsham zake kama ilivyo ada. CCM imepeleka wasanii wengi mkutanoni lakini hakuna Mtanzania anayefuatilia mkutano huo
- Idadi ya wanaomuunga mkono Lisu inazidi kuongezeka kilakukicha.
- Freeman Mbowe amepoteana kabisa kwa sababu kabla hajachukua fomu ya kugombea uenyekiti CHADEMA Taifa, alipochukua na hata aliporejesha fomu ameshindwa kueleza nini ama maboresho gani atayafanya kwenye nafasi anayogombea.
- CCM imetumia injini zake zote chafu za mitandaoni. Ukisoma maoni ya wanaCCM lialia wamejikita kumpigia kampeni Mbowe huku wakitimiza jukumu lao la kila siku la kisiasa za majitaka dhidi ya Lisu
- Media karibia zote zimejikita kufanya mahojiano na Lisu ambapo amepata nafasi kubwa kuelezea mambo mbalimbali ya kuwafumbua macho na fahamu Watanzania kuhusu nchi yao na haki zao.
Adumu rais wetu ajaye ambaye ni Tundu Antipas Lisu
Hili neno! Uchaguzi mkuu wa mwaka 2030, ndio mwanzo wa mwisho wa CCM! Wajinga karibu wote watakuwa wamemalizika!2030 Chadema wanachukua nchi! Ila kwa uchaguzi huu wa mwaka huu wamechelewa! Wajiandae kwa mwaka 2030
Lowassa aliwahi lini kuwa mpinzani?Hamna upinzani unachukua nchi. Wa mwisho alikua Lowasa. Waliobakia kila siku kuita press kupigana vijembe na kila mtu kumjibu mwenzake. Upinzani una safari ndefu sana
Kila la heriNi YEYE
Wasanii pekee ndiyo watakao muokoa kwenye kuvutia umati wa watu kwenye mikutano yake ya hadhara. Lissu atabebwa zaidi na sera yake ya uzalendo kwa nchi yetu ya Tanganyika...Mama ana pesa za kampeni, lakini hana uwezo wa kujenga hoja na mvuto kwa wapigakura.
Hivi hua mnawazaga Nini,Nina hoja
Sababu hizo na nyingine zinapelekea kumpa nafasi kubwa sana Tundu Lisu kupata ushindi wa mapema kwenye kinyang'anyiro cha Urais hapo Oktoba.
- Tangu Tundu Antipas Lisu atangaze na kuchukua fomu ya kugombea uenyekiti taifa wa CHADEMA. Watanzania karibia wote wamekuwa wanafuatilia na hususan kuonesha kumuunga mkono
- CCM imeporomoka umaarufu kwa ghafla mno. Hata mkutano Mkuu unaoandaliwa Dodoma umekosa shamsham zake kama ilivyo ada. CCM imepeleka wasanii wengi mkutanoni lakini hakuna Mtanzania anayefuatilia mkutano huo
- Idadi ya wanaomuunga mkono Lisu inazidi kuongezeka kilakukicha.
- Freeman Mbowe amepoteana kabisa kwa sababu kabla hajachukua fomu ya kugombea uenyekiti CHADEMA Taifa, alipochukua na hata aliporejesha fomu ameshindwa kueleza nini ama maboresho gani atayafanya kwenye nafasi anayogombea.
- CCM imetumia injini zake zote chafu za mitandaoni. Ukisoma maoni ya wanaCCM lialia wamejikita kumpigia kampeni Mbowe huku wakitimiza jukumu lao la kila siku la kisiasa za majitaka dhidi ya Lisu
- Media karibia zote zimejikita kufanya mahojiano na Lisu ambapo amepata nafasi kubwa kuelezea mambo mbalimbali ya kuwafumbua macho na fahamu Watanzania kuhusu nchi yao na haki zao.
Adumu rais wetu ajaye ambaye ni Tundu Antipas Lis
Kura hizi zinazohesabiwa na wakurugenzi,na mwenyekiti wa tume anaewekwa na chama tawala wamtangaze mpinzani,Usiyempenda kaja
Maza hahitaji kuwa na ushawishi wowote, track record yake itambeba!.
Ila pia, kama unaamini alichosema Nape, Uchaguzi 2025 - Kwa kauli ya Nape kuhusu chaguzi zetu, anastahili kulaumiwa au kupongezwa kwa kuusema ukweli?
Ni alikuwa ana joke tuu, amini hivyo!.
P
Kwani Watanzania huwa wanachagua nini?. Wana chagua chama, mgombea wa CCM ndie rais wa JMT, CCM hata ikisimamisha jiwe, jiwe linapita!...track record inakuja na mazuri na mapungufu.
..uwezo mdogo wa Mama Abduli ni changamoto katika kushawishi / kutetea kuhusu mazuri ya track record.
..atalazimika kutumia pesa nyingi sana, na watu wengi, kumtetea, na hiyo itamuumbua kuwa ni dhaifu.
..mgombea lazima ajibebe mwenyewe, na abebe na wengine. Sio yeye awe mzigo wa kubebwa.
Lissu kukatiza nafasi ya Mwenyekiti Taifa hawezi itakuwa Rais wa JMT.Nina hoja
Sababu hizo na nyingine zinapelekea kumpa nafasi kubwa sana Tundu Lisu kupata ushindi wa mapema kwenye kinyang'anyiro cha Urais hapo Oktoba.
- Tangu Tundu Antipas Lisu atangaze na kuchukua fomu ya kugombea uenyekiti taifa wa CHADEMA. Watanzania karibia wote wamekuwa wanafuatilia na hususan kuonesha kumuunga mkono
- CCM imeporomoka umaarufu kwa ghafla mno. Hata mkutano Mkuu unaoandaliwa Dodoma umekosa shamsham zake kama ilivyo ada. CCM imepeleka wasanii wengi mkutanoni lakini hakuna Mtanzania anayefuatilia mkutano huo
- Idadi ya wanaomuunga mkono Lisu inazidi kuongezeka kilakukicha.
- Freeman Mbowe amepoteana kabisa kwa sababu kabla hajachukua fomu ya kugombea uenyekiti CHADEMA Taifa, alipochukua na hata aliporejesha fomu ameshindwa kueleza nini ama maboresho gani atayafanya kwenye nafasi anayogombea.
- CCM imetumia injini zake zote chafu za mitandaoni. Ukisoma maoni ya wanaCCM lialia wamejikita kumpigia kampeni Mbowe huku wakitimiza jukumu lao la kila siku la kisiasa za majitaka dhidi ya Lisu
- Media karibia zote zimejikita kufanya mahojiano na Lisu ambapo amepata nafasi kubwa kuelezea mambo mbalimbali ya kuwafumbua macho na fahamu Watanzania kuhusu nchi yao na haki zao.
Adumu rais wetu ajaye ambaye ni Tundu Antipas Lisu