Andie
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 712
- 1,642
Peace,
Hebu imagine Ngorongoro tumewapa, bandari tumewapa tena kwa adabu na unyenyekevu lakini wao wanajivunia, wanaringa na kutamba na mafuta yao ni bei juu kila kukicha hawajawahi kutugawia hata kijiko. Na bei yao hua iko juu na hawapunguzi kuna kipindi tulishindanwa nao tukamua kuwa tunaagiza Urusi. (Sijajua kama tumesharudi kuagiza kwa hawa wazee wa bikra 72)
Cha ajabu kuna miswahili hapa sampuli ya kile kibibi cha hapa jf kinajiita Fox na kweli ni fox, hawa wanawaona waarabu kama miungu, wako tayari kwenda uarabuni kuwauliza "Mnataka nini pale Tz tuwape ?" tena huku wamepiga magoti.
Na hao waarabu "wanaoabudiwa" na kujipendekeza kwao hawajawahi kutupatia msaada wowote, kila mwaka wa budget hua tunawakimbilia Wazungu na bakuli la michango na wala hata sio hao waarubu wazee "wa bikra 72"
Ngozi nyeusi ni laana hakika, Trump alituita shit holes ukiwa mtu wa tafakuri utakubaliana nae bila kupinga.
Hebu imagine Ngorongoro tumewapa, bandari tumewapa tena kwa adabu na unyenyekevu lakini wao wanajivunia, wanaringa na kutamba na mafuta yao ni bei juu kila kukicha hawajawahi kutugawia hata kijiko. Na bei yao hua iko juu na hawapunguzi kuna kipindi tulishindanwa nao tukamua kuwa tunaagiza Urusi. (Sijajua kama tumesharudi kuagiza kwa hawa wazee wa bikra 72)
Cha ajabu kuna miswahili hapa sampuli ya kile kibibi cha hapa jf kinajiita Fox na kweli ni fox, hawa wanawaona waarabu kama miungu, wako tayari kwenda uarabuni kuwauliza "Mnataka nini pale Tz tuwape ?" tena huku wamepiga magoti.
Na hao waarabu "wanaoabudiwa" na kujipendekeza kwao hawajawahi kutupatia msaada wowote, kila mwaka wa budget hua tunawakimbilia Wazungu na bakuli la michango na wala hata sio hao waarubu wazee "wa bikra 72"
Ngozi nyeusi ni laana hakika, Trump alituita shit holes ukiwa mtu wa tafakuri utakubaliana nae bila kupinga.