Ni dharau kubwa, yaani wauze nchi au wapige madili hamna namna ya kuwatoa madarakani. 2025 tukatae hizi dharau

Ni dharau kubwa, yaani wauze nchi au wapige madili hamna namna ya kuwatoa madarakani. 2025 tukatae hizi dharau

Sasa hivi wanachokifanya CCM ni kuonyesha ukaidi mkubwa juu ya rasilimali za taifa hili.

Wanatoza watu tozo wanavyotaka bila kuangalia utu na vipato vya raia.

Sasa hivi wamehamisha raia wa Ngorongoro kwa manufaa yao na matumbo yao.

Hivyo wana maanisha kuwa hata wafanye makosa namna gani lazima 2025 washinde kwa dharau.

Tukatae hizi dharau.
CCM ni takataka tupu
 
Ulitaka nifafanue nini? Kichwa panzi mkubwa
Kumbe hata ulichotaka kuandika juu yake hukijui, basi wewe ni punguani. Punguza kuleta takataka zako humu jukwaani kupotezea watu muda.
Siku nzima unajaza matakataka tu ukumbini, kumbe hata huna uwezo wa kuelewa unachotaka kueleza?
 
Sasa hivi wanachokifanya CCM ni kuonyesha ukaidi mkubwa juu ya rasilimali za taifa hili.

Wanatoza watu tozo wanavyotaka bila kuangalia utu na vipato vya raia.

Sasa hivi wamehamisha raia wa Ngorongoro kwa manufaa yao na matumbo yao.

Hivyo wana maanisha kuwa hata wafanye makosa namna gani lazima 2025 washinde kwa dharau.

Tukatae hizi dharau.
Mimi nina tafakari madhara ya wafanya biashara kuhodhi njia kuu za kiuchumi, kwa serikali zijazo na uhuru wa nchi yetu, maana mwenye pesa ndio atakayetuwekea mtawala. , na jingine madhara ya kuuza ardhi yetu na jinsi ya kuinunua tena tutaweza, isije tukawa kama wapelistina nchini kwetu.
 
Nchi hii sasa ni kama Gari lililo katika mwendo halafu halina Dereva.
 
Njoo chaka huku
Toka mjini huko
System hizi zinawenyewe mzee

Ova
Ndugu mrangi ,wale watoto wako nao wana haki ya kuwa kwenye system,as long as ni Watanzania.
Kuwa kwenye system ni pamoja na kunufaika kwa watoto wako sawa sawa na watoto wa Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Suluhu.
Kuwe na usawa kati ya mtoto wa mrangi , residentura na watoto wa hao mnaowaita "wenye system".
 
Sasa hivi wanachokifanya CCM ni kuonyesha ukaidi mkubwa juu ya rasilimali za taifa hili.

Wanatoza watu tozo wanavyotaka bila kuangalia utu na vipato vya raia.

Sasa hivi wamehamisha raia wa Ngorongoro kwa manufaa yao na matumbo yao.

Hivyo wana maanisha kuwa hata wafanye makosa namna gani lazima 2025 washinde kwa dharau.

Tukatae hizi dharau.
KATIBA mpya ndo solution, let's fight together.

Ikizaliwa Katiba mpya, CCM itakufa automatically.

Kifo Cha Chama Dola kitawazamisha WAOVU wote tunaowachukia. Tafuta mzizi ukatwe ndo tutakuwa salama.

By the way 2025 Bado tutakuwa ktk uandishi wa kitabu kipya. Amen.
 
Hoja yako ina walakini.
Kwanza ilipaswa kuwepo na mtazamo mmoja unaolingana kuhusu hizo Rasilimali za Taifa Kodi na Kuhamishwa Wamaasai Ngorongoro..
Ukweli ni kwamba zaidi ya 60% bado wana imani na CCM. Kuhamishwa wamaasai ni kwa maslahi ya Taifa na Dunia kimazingira.
Kodi ndio uhai wa Serikali yoyote Duniani. Mpaka leo Tanzania bado ni Nchi yenye kodi ndogo chache na tena kwenye maeneo machache. Waulize Diaspora jinsi wanavolipa kodi huko nje
Suala Ngorongoro naunga mkono Serikali kwa sababu hifadhi yenye ukubwa wa 4000km sq imekatwa 2500km sq sawa na 63% na kupewa wafugaji nahifadhi kubaki 1500km sq sawa na 37%. Je wewe ulitaka tuuwe hifadhi? Tuuwe utalii? Tuharibu ecology?
Kuweka mpaka na zoezi la kuwahamisha limefanyika kiutulivu sana. Ukilingasha na uxito wake, idadi ya watu, na madhara yaliyoripotiwa mpaka sasa utagundua kuwa Serikali imefanikiwa sana.
Kifupi tutawapa tena 2025
 
Mnategemea mkitoe CHAMA CHA MAJAMBAZI kwenye ulaji[emoji1787], kwanza siku hizi wengi hawapigi kura tena, hilo mosi,
pili na kubwa kuliko tukiwatoa hawa kenge tunamuweka nani, nakuhakikishia 99% ya wanasiasa wa tz ni wachumia tumbo wabinafsi, si yule KABWE KABWELA, wala huyu wa magwanda ya mgambo hawa ni wale wale tu.

Hapa ilibidi ifanywe AKSHENI hapa, ili mduwanzi yoyote akiingia awe na akili za TANZANIA [emoji1241] KWANZA na si matumbo na familia zao.

Siku watz tukiamka wanetu watakula asali, ila tukilala kama wazee wetu walivyolala, tutegemee wanetu kuja kuwa kwenye hali TATA kuliko hii.
 
Sasa hivi wanachokifanya CCM ni kuonyesha ukaidi mkubwa juu ya rasilimali za taifa hili.

Wanatoza watu tozo wanavyotaka bila kuangalia utu na vipato vya raia.

Sasa hivi wamehamisha raia wa Ngorongoro kwa manufaa yao na matumbo yao.

Hivyo wana maanisha kuwa hata wafanye makosa namna gani lazima 2025 washinde kwa dharau.

Tukatae hizi dharau.
Wacha bangi
Nani wa kuitoa CCM madarakani come 2025,, je ni Mbatia,Lipumba,
Zitto,Rungwe au Mbowe?
Samia tofauti na Mwendazake kaua upinzani ndani na nje ya chama chake bila kumpiga mtu makumi ya marisasi wala kujaza maiti kwenye mifuko ya sandarusi
Face it ametu outsmart tusiyoipenda CCM
Uza kangala lako tuombeane uzima tukisubiri 2030;
 
Mnategemea mkitoe CHAMA CHA MAJAMBAZI kwenye ulaji[emoji1787], kwanza siku hizi wengi hawapigi kura tena, hilo mosi,
pili na kubwa kuliko tukiwatoa hawa kenge tunamuweka nani, nakuhakikishia 99% ya wanasiasa wa tz ni wachumia tumbo wabinafsi, si yule KABWE KABWELA, wala huyu wa magwanda ya mgambo hawa ni wale wale tu.

Hapa ilibidi ifanywe AKSHENI hapa, ili mduwanzi yoyote akiingia awe na akili za TANZANIA [emoji1241] KWANZA na si matumbo na familia zao.

Siku watz tukiamka wanetu watakula asali, ila tukilala kama wazee wetu walivyolala, tutegemee wanetu kuja kuwa kwenye hali TATA kuliko hii.
Wewe unasubiri nini kuamka?
 
Wacha bangi
Nani wa kuitoa CCM madarakani come 2025,, je ni Mbatia,Lipumba,
Zitto,Rungwe au Mbowe?
Samia tofauti na Mwendazake kaua upinzani ndani na nje ya chama chake bila kumpiga mtu makumi ya marisasi wala kujaza maiti kwenye mifuko ya sandarusi
Face it ametu outsmart tusiyoipenda CCM
Uza kangala lako tuombeane uzima tukisubiri 2030;
Kata tamaa
 
Eat more sugar, eat more honey….. the slogan says!!!!!!
 
Back
Top Bottom