Ni DJ gani unakubali/haukubali playlist yake iwe kwenye Redio au Club?

Ni DJ gani unakubali/haukubali playlist yake iwe kwenye Redio au Club?

Deejay Dea ni balaa.. Beat matching zake sio za kitoto.,na hata scratching yake sio mbaya kivile,

DJ ambaye ana playlist mbaya ni dj summer! Jamaa ana scratch fresh ila playlist anawekaga mbaya kusema ukweli. Labda akiwa Club anafanya powa
 
Dj moja hivi alishawahi kuwa pale Magic anaitwa Bolynature huy jamaa ni balaa sana

Niliwahi kuingia Club moja inaitwa Royal Giraffe pale Tmk dah uyu mnyama ndipo nilipopiga #salute jamaa ni hatari sana Huyu alikua anaitwa Dj Boy Nature jamaa alishafariki



Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu alikua anaitwa Dj Boy Nature alishafariki jamaa alikua anajua sana
 
Deejay Dea ni balaa.. Beat matching zake sio za kitoto.,na hata scratching yake sio mbaya kivile,

DJ ambaye ana playlist mbaya ni dj summer! Jamaa ana scratch fresh ila playlist anawekaga mbaya kusema ukweli. Labda akiwa Club anafanya powa
hahahaha, sawa mkuu ujumbe utamfikia, ila kwenye kuhype ame improve kiasi chake
 
wana Hip Hop mnaniangusha aisee, mnaanzaje kumsahau The Best Hip Hop Dj in TZ , DJ JEFF JERRY The Black the berry the sweeter the juice
 
Kwa mtazamo wangu:Kwa hapa bongo ma DJ wengi hawana skills ,wengi wao wamevamia fani,ndio maana ukisikiliza radio nyingi za dar karibia kila siku nyimbo ni zile zile, sampler ni zile zile, effects zile zile,hata club ni hvyo hvyo........Kuna lounge moja maarufu Tu hapa mjini ipo jirani na ninapoishi ilifikia hatua DJ akipiga unajua nyimbo itakayo fuata na kufuata...hii ni kutokana na alivyopiga juzi ,Jana ni vile vile...
Wengi wa madj wetu hawajui nyimbo nyingi na ni wavivu ndio maana playlist zao ni ndogo pia..
Bora hata ma DJ wa mikoani hata radio zao zinapiga nyimbo tofauti tofauti sema Tu vifaa sio vya kisasa ukilinganisha na hawa mabishoo wa town
Ma DJ wazuri wapo Kenya mfano DJ khanji, joe mfalme,cream de la creamer

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni Dj gani umkimsikiliza redioni playlist yake huwa haikuvuti unaona anashusha madodo tu, au ikiwa Club siku hiyo unaona bora unywe urudi home ulale au uende joint ingine kwasababu nyimbo zinazochezwa huzielewi,

Na ni Dj yupi playlist yake huwa unaielewa sana ikiwa ni kwenye kipindi cha redio au Club/Lounge akishika machine unasema yes ilikuwa nisepe ila acha sasa ni ruke majoka

Vitu vya kuzingatia, Beat Matching, Cutting skills, Scratching skills na Mpangilio wa nyimbo usilete mapenzi binafsi na chuki
DJ wewe uko vizuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom