young solicitor
JF-Expert Member
- Dec 26, 2015
- 1,123
- 713
hatari sana muongeze na kflipDj Mike Beats wa jembe fm na Club Galaxy
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hatari sana muongeze na kflipDj Mike Beats wa jembe fm na Club Galaxy
Dj summer ana mapepe lakin club anawezaDeejay Dea ni balaa.. Beat matching zake sio za kitoto.,na hata scratching yake sio mbaya kivile,
DJ ambaye ana playlist mbaya ni dj summer! Jamaa ana scratch fresh ila playlist anawekaga mbaya kusema ukweli. Labda akiwa Club anafanya powa
Huyu alikua anaitwa Dj Boy Nature alishafariki jamaa alikua anajua sanaDj moja hivi alishawahi kuwa pale Magic anaitwa Bolynature huy jamaa ni balaa sana
Niliwahi kuingia Club moja inaitwa Royal Giraffe pale Tmk dah uyu mnyama ndipo nilipopiga #salute jamaa ni hatari sana Huyu alikua anaitwa Dj Boy Nature jamaa alishafariki
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah aisee, Atangulie mahali pema ndg dah ndo mana nikashangaa mbn simsikii huy jamaa nowadays?Huyu alikua anaitwa Dj Boy Nature alishafariki jamaa alikua anajua sana
Dj JD ni nouma hata Enzi za Radio EA alikimbiza saana.Dj John Dilinga, the everlasting Dj huyu ni hatarii ingawa kwenye ramani ya radio sijamsikia sana ila moto kwa scraching
safi sanaDj lyta
Dj kalonje
ni nyoko machalii wa mambo za lytaaaaa watakuwa wanaelewa
wote hawa ni kutoka 254
Sent using Jamii Forums mobile app
hahahahah umeona useme la moyoniShekhe pale hakuna DJ mkali hata mmoja, wana playlist moja siku zote. Tunaendaga tu kwa sababu ya madela tu
Sent using Jamii Forums mobile app
hahahaha, sawa mkuu ujumbe utamfikia, ila kwenye kuhype ame improve kiasi chakeDeejay Dea ni balaa.. Beat matching zake sio za kitoto.,na hata scratching yake sio mbaya kivile,
DJ ambaye ana playlist mbaya ni dj summer! Jamaa ana scratch fresh ila playlist anawekaga mbaya kusema ukweli. Labda akiwa Club anafanya powa
Hip hop dj apo namueka dj pacwana Hip Hop mnaniangusha aisee, mnaanzaje kumsahau The Best Hip Hop Dj in TZ , DJ JEFF JERRY The Black the berry the sweeter the juice
DJ wewe uko vizuriNi Dj gani umkimsikiliza redioni playlist yake huwa haikuvuti unaona anashusha madodo tu, au ikiwa Club siku hiyo unaona bora unywe urudi home ulale au uende joint ingine kwasababu nyimbo zinazochezwa huzielewi,
Na ni Dj yupi playlist yake huwa unaielewa sana ikiwa ni kwenye kipindi cha redio au Club/Lounge akishika machine unasema yes ilikuwa nisepe ila acha sasa ni ruke majoka
Vitu vya kuzingatia, Beat Matching, Cutting skills, Scratching skills na Mpangilio wa nyimbo usilete mapenzi binafsi na chuki