Ni DJ gani unakubali/haukubali playlist yake iwe kwenye Redio au Club?

Ni DJ gani unakubali/haukubali playlist yake iwe kwenye Redio au Club?

Kwa mtazamo wangu:Kwa hapa bongo ma DJ wengi hawana skills ,wengi wao wamevamia fani,ndio maana ukisikiliza radio nyingi za dar karibia kila siku nyimbo ni zile zile, sampler ni zile zile, effects zile zile,hata club ni hvyo hvyo........Kuna lounge moja maarufu Tu hapa mjini ipo jirani na ninapoishi ilifikia hatua DJ akipiga unajua nyimbo itakayo fuata na kufuata...hii ni kutokana na alivyopiga juzi ,Jana ni vile vile...
Wengi wa madj wetu hawajui nyimbo nyingi na ni wavivu ndio maana playlist zao ni ndogo pia..
Bora hata ma DJ wa mikoani hata radio zao zinapiga nyimbo tofauti tofauti sema Tu vifaa sio vya kisasa ukilinganisha na hawa mabishoo wa town
Ma DJ wazuri wapo Kenya mfano DJ khanji, joe mfalme,cream de la creamer

Sent using Jamii Forums mobile app
Unamzungumziaje yule jamaa anaejiita intaneshno dj

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ila kuna Dj mmoja yupo Dodoma Dj Masu eee bwana eee, acha kumsikiliza na kumfatilia Dj Ommy Crazy, una mcopy sana mpaka unaboa mjomba, pia ku hype achana na hizo mishe, piga kawaida tu tutakuelewa
Mkuu dj masu alikuwaga club laaziz hapa dom makole ila jamaa ana playlist nzuri
 
Kwa mtazamo wangu:Kwa hapa bongo ma DJ wengi hawana skills ,wengi wao wamevamia fani,ndio maana ukisikiliza radio nyingi za dar karibia kila siku nyimbo ni zile zile, sampler ni zile zile, effects zile zile,hata club ni hvyo hvyo........Kuna lounge moja maarufu Tu hapa mjini ipo jirani na ninapoishi ilifikia hatua DJ akipiga unajua nyimbo itakayo fuata na kufuata...hii ni kutokana na alivyopiga juzi ,Jana ni vile vile...
Wengi wa madj wetu hawajui nyimbo nyingi na ni wavivu ndio maana playlist zao ni ndogo pia..
Bora hata ma DJ wa mikoani hata radio zao zinapiga nyimbo tofauti tofauti sema Tu vifaa sio vya kisasa ukilinganisha na hawa mabishoo wa town
Ma DJ wazuri wapo Kenya mfano DJ khanji, joe mfalme,cream de la creamer

Sent using Jamii Forums mobile app
Dj joe mfalme nilikuwa namsilikiza sana kipindi nipo advance,mpakani na kenya..jamaa anajua aisee..
 
Dj joe mfalme nilikuwa namsilikiza sana kipindi nipo advance,mpakani na kenya..jamaa anajua aisee..
Noma sana,jamaa Wana effect Kali ,kuna sampler nimezisikia kitambo Nairobi,sasa hv ndo zinatamba bongo....
DJ Joe mfalme level nyingine kuna program mmoja inaitwa "story yangu" inaelezea maisha ya watu maarufu... alikuwa anaelezea maisha yake pale ndipo nilipo jua huyu jamaa abahatishi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi kwenye play list yangu nimejaza mixtape za DJ Kanji, jamaa ni noma mpaka wakina Romain Virgo wanampa shout
 
Back
Top Bottom