ππππNimependa hilo bilinganyaView attachment 2888708
Napenda sana baba angu yana vitamin mnonaona unapenda mabilinganya sana binti yangu
Nini kilitokea kwan πAhahaha sijapata notification jamani bora umerudi
na huongeza kumbukumbu piaNapenda sana baba angu yana vitamin mno
Shooga nilipitwa na mim nikakuta uzi umefungwa ni antonia na babe wake na wale wengine kichambo kilitembea haswaNini kilitokea kwan π
Nimetafuta uzi mpk macho yalitaka kutoka
Asante babana huongeza kumbukumbu pia
uwe na siku njema binti yangu mpendwa
Mpaka iwepo kwenye frequently used napata picha jinsi mizagamuo unaitendea haki π€£π€£Kuzagamuana π
Muhimu hiyo au kuchart na babe umemmiss si unajuaMpaka iwepo kwenye frequently used napata picha jinsi mizagamuo unaitendea haki π€£π€£
Ipo ya matokeo baada ya kubusiana π€°Au ipo?
Yeah ni kweliMuhimu hiyo au kuchart na babe umemmiss si unajua
Ilibidi iende kwa stage kuanzia kutongozana, kubusiana, kunaniliuu, na hiyo ndio ifuateIpo ya matokeo baada ya kubusiana π€°
π€£π€£π€£ Migogoro yao bado haijaisha?!Shooga nilipitwa na mim nikakuta uzi umefungwa ni antonia na babe wake na wale wengine kichambo kilitembea haswa
Ili iwasaidie madomo zege πIlibidi iende kwa stage kuanzia kutongozana, kubusiana, kunaniliuu, na hiyo ndio ifuate
Bibie karudisha mpira kwa kipa na jina karudisha la zamani mapenzi hayaingiliwi nyie mi niliwaambia kina coca wakabisha waliziba macho kwa aibuπ€£π€£π€£ Migogoro yao bado haijaisha?!
Kwahiyo wamefikia muafaka au bado??
Aiseee wanaume saiv wanapitia wakati mgumu. Kila kitu kwao kinahusishwa na upande wa pili. Give them a break jamani lohWanaume sio watumiaji sana wa emoji, ukiona mwanamume anatumia sana emoji kuna walakini atakuwa amehamia upande wa pili
Ili iwasaidie madomo zege [emoji23]
umenisisimua aloo weeKuzagamuana π
π€£π€£π€£π€£ Karudia koloni lake.!! Sasa coca kwani alikuwa anaingilia? Aliyemwambia mapenzi yanaingiliwa nani.??Bibie karudisha mpira kwa kipa na jina karudisha la zamani mapenzi hayaingiliwi nyie mi niliwaambia kina coca wakabisha waliziba macho kwa aibu
sikujua,π€£π€£π€£ Migogoro yao bado haijaisha?!
Kwahiyo wamefikia muafaka au bado??