Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
πππ Ukifungua pm wakikutongoza ukikataa wanakuja na uzi mrefu kaombwa afu tatu na kausha damuFungulie pm [emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
πππ Ukifungua pm wakikutongoza ukikataa wanakuja na uzi mrefu kaombwa afu tatu na kausha damuFungulie pm [emoji23][emoji23][emoji23]
Baba kikao kimeisha?sikujua,
kumbe mtumishi ni msuluhishi wa migogoro
aahh ya pesa ndio unaweza eeh, ummhhh okay π€£Baba kikao kimeisha?
Mi kusuluhisha migogoro ya pesa ndio naweza, hiyo ya watu wanajifunika shuka moja hawaaminiki.!! Wakipatana unaitwa mchawi wa penzi lao πππ
Ukweli ndio huo kutumia sana emoji kwa mwanamume ni dalili ya uchoko. Wewe chunguza uone wanaume wanaoutumua sana emoji wana tabia za kikeAiseee wanaume saiv wanapitia wakati mgumu. Kila kitu kwao kinahusishwa na upande wa pili. Give them a break jamani loh
Aliingiliaga kumchamba mwanaume πππππ€£π€£π€£π€£ Karudia koloni lake.!! Sasa coca kwani alikuwa anaingilia? Aliyemwambia mapenzi yanaingiliwa nani.??
Km namuona siku hiyo alivyonywea πππ
Wee cocastic udugu ulianzaje kuingilia ugomvi wa wapendanao??
Ya pesa najua nitapata na mimi mgao πaahh ya pesa ndio unaweza eeh, ummhhh okay π€£
tayari kimeisha,
napumzika sasa lakini nashindwa mambo ni mazito
Kumbe ππππAliingiliaga kumchamba mwanaume ππππ
Sisimukaumenisisimua aloo wee
Yaan alichoka na shost zake et Yaan umetugeuka ππKumbe ππππ
Kwahiyo kapigwa na kitu kizito??? Sasa atamuangaliaje shemeji yake π€£π€£π€£
Weee π€£π€£π€£Yaan alichoka na shost zake et Yaan umetugeuka ππ
"Aliwazalo mjinga ndilo litalo mtokea". Sio maneno yangu. Ila ushoga ukitoa wale wanaovaa nguo za kike, miondoko ya kike na kujiremba, the rest hamna formula.Ukweli ndio huo kutumia sana emoji kwa mwanamume ni dalili ya uchoko. Wewe chunguza uone wanaume wanaoutumua sana emoji wana tabia za kike
Nilicheka mno eti wewe tutaweka wapi sura zetuWeee π€£π€£π€£
Kwani walikuwa wangapi? Hujanitunzia screenshot nicheke mie π
Kumbe mambo yalikuwa pambe π€£π€£π€£Nilicheka mno eti wewe tutaweka wapi sura zetu
Shoga hata sijui,mdada anaonaga muda wote anaibiwa hajiamini ni kurusha vijembe kila uzi hata mada haiusiana analeta vijembe ndio akawakiwaKumbe mambo yalikuwa pambe π€£π€£π€£
Yani ningekuwepo hiyo siku ningelala mbavu zinauma kwa kucheka.!!
Sasa mwanaume naye alisemaje?? Si angewatandika bakora kwann wanagombana mbele yake πππ
Kwani chanzo nini?? walifumaniana
Sisi ndio tunajua"Aliwazalo mjinga ndilo litalo mtokea". Sio maneno yangu. Ila ushoga ukitoa wale wanaovaa nguo za kike, miondoko ya kike na kujiremba, the rest hamna formula.
π€£π€£π€£π€£ππShoga hata sijui,mdada anaonaga muda wote anaibiwa hajiamini ni kurusha vijembe kila uzi hata mada haiusiana analeta vijembe ndio akawakiwa