Ni emoji gani kwenye simu yako au ukiiona sehemu unaipenda kuliko nyingine zote?

Ni emoji gani kwenye simu yako au ukiiona sehemu unaipenda kuliko nyingine zote?

πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ™ŒπŸ™Œ
Labda mwanzo walimuibia sasa alivyorudi akajua bado team pinzani wanataka kumpindua tena πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Ila jf raha watu na mahaba yao ni mwendo wa kupinduana km waasi na serikali
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ utalaumu wanawake wenzio kama mwanaume hajatulia hajatulia tu
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ utalaumu wanawake wenzio kama mwanaume hajatulia hajatulia tu
Kwahiyo upande wa pili wamekubali kumuachia au nao wanajipanga kufanya mapinduzi?? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Wanaume wa jf πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
 
Kwahiyo upande wa pili wamekubali kumuachia au nao wanajipanga kufanya mapinduzi?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Wanaume wa jf [emoji119][emoji119][emoji119]

Huhuuu unataka nisutwe
 
20307334-9AB0-4F2E-9077-0B097616D4EC.jpeg

majonzii
 
Bibie karudisha mpira kwa kipa na jina karudisha la zamani mapenzi hayaingiliwi nyie mi niliwaambia kina coca wakabisha waliziba macho kwa aibu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimekubali yaishee.
Nimekosa mimi, nimekosa sana.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Karudia koloni lake.!! Sasa coca kwani alikuwa anaingilia? Aliyemwambia mapenzi yanaingiliwa nani.??
Km namuona siku hiyo alivyonywea [emoji23][emoji23][emoji23]

Wee cocastic udugu ulianzaje kuingilia ugomvi wa wapendanao??
Uduguu wee acha tyuuh, [emoji23][emoji23][emoji23]
Nimejifunza jambo ktk maisha, wapendanao wakigombana shika jembe ukalime.

Nilinywea km uboo wa mtoto mwenye nimonia. Woiiiih
 
Aliingiliaga kumchamba mwanaume [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na nlimchamba haswaaa, mengine watajua wenyewe.
Mambo yao nisha waachia, km anavyosemaga. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kumbe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwahiyo kapigwa na kitu kizito??? Sasa atamuangaliaje shemeji yake [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu kwann lakiniii??
 
Kumbe mambo yalikuwa pambe [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yani ningekuwepo hiyo siku ningelala mbavu zinauma kwa kucheka.!!

Sasa mwanaume naye alisemaje?? Si angewatandika bakora kwann wanagombana mbele yake [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani chanzo nini?? walifumaniana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uwiiii mbavu cna.
 
Shoga hata sijui,mdada anaonaga muda wote anaibiwa hajiamini ni kurusha vijembe kila uzi hata mada haiusiana analeta vijembe ndio akawakiwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sema kweli mwayaa.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119]
Labda mwanzo walimuibia sasa alivyorudi akajua bado team pinzani wanataka kumpindua tena [emoji23][emoji23][emoji23]

Ila jf raha watu na mahaba yao ni mwendo wa kupinduana km waasi na serikali
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbona Hamas na Israel.
Wallah.
 
Kwahiyo upande wa pili wamekubali kumuachia au nao wanajipanga kufanya mapinduzi?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Wanaume wa jf [emoji119][emoji119][emoji119]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu una nn wee lakini?
 
Huhuuu unataka nisutwe
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Hakuna wa kutusuta kwan tumetaja mtu jina lake hapa..?!
Atakayekuja kichwa kichwa ndo itakuwa muhusika atatusaidia kutujibu maswali yetu β€œWamejipangaje na ujio mpya wa husiano lao?” 😜
 
Uduguu wee acha tyuuh, [emoji23][emoji23][emoji23]
Nimejifunza jambo ktk maisha, wapendanao wakigombana shika jembe ukalime.

Nilinywea km uboo wa mtoto mwenye nimonia. Woiiiih
🀣🀣🀣 Ila mi dada ako ingilia tumchambe shemejio akizingua na mawe uwe unanipa tumpopoe..!!! Tukija kurudiana nawaweka kikao cha usuluhishi sawa? πŸ˜‚
 
Back
Top Bottom