Mwanakulitafuta
Member
- Sep 11, 2024
- 30
- 70
wapi hukoPale makumbusho Kuna taasisi Moja nimeweka Milion Moja ,kwa wiki napata lakitatu na 50 (Atlantic)
Tuchukue point tatu (yaani odd 3)tutie hiyo milioo baada ya kodi kukatwa tutabaki m2+ unachomoa M yako tunabaki na jembe letu.Habari wananzengo.
Nina fedha ya kitanzania Tsh 1,000,000/= nataka niiwekeze mahali nipate elfu tano Kwa siku. Nipe mawazo wajumbe lengo langu mtaji upo palepale. Mimi nakuwa muekezaji yeye anatumia fedha yangu Kama mtaji na kwa siku elfu tano yangu ananitumia
Mh embu fafanua mbona kama mtego huuPale makumbusho Kuna taasisi Moja nimeweka Milion Moja ,kwa wiki napata lakitatu na 50 (Atlantic)
Matapeli haoo stuka usingizini mkuu.Pale makumbusho Kuna taasisi Moja nimeweka Milion Moja ,kwa wiki napata lakitatu na 50 (Atlantic)
It will absolutely end in tears.Pale makumbusho Kuna taasisi Moja nimeweka Milion Moja ,kwa wiki napata lakitatu na 50 (Atlantic)
Ni ngumu kwa kweli mtu akupe 30% kwa wiki lazima ni utapeliMatapeli haoo stuka usingizini mkuu.
DodomaHabari wananzengo.
Nina fedha ya kitanzania Tsh 1,000,000/= nataka niiwekeze mahali nipate elfu tano Kwa siku. Nipe mawazo wajumbe lengo langu mtaji upo palepale. Mimi nakuwa muekezaji yeye anatumia fedha yangu Kama mtaji na kwa siku elfu tano yangu ananitumia
Mhhhhhh inajihusisha Na nn Io taasisPale makumbusho Kuna taasisi Moja nimeweka Milion Moja ,kwa wiki napata lakitatu na 50 (Atlantic)
biashara unaifanyia mkoa gani mkuuNaenda mnadani nanunua nyama ya nguruwe kwa 5000 kwa kilo nanunua kilo 100 sawa na laki tano nawauzia wanaokaanga kwa 8000 kwa kilo naingiza faida ya 300,000/ kwa tripu moja nikitoa gharama za usafiri nabaki na 250,000/ kwa wiki naenda mara mbili kwahyo wakika wa laki tano kwa wiki. Laki Tano inayobaki nalangua kuku mnadani kwa 10,000 kwa kuku nachukua kuku 40 sawa na laki 400,000/ nawaleta town nauza kwa 15000 kwa kuku mmoja sawa na faida ya laki 2 kwa tripu kumbuka ninaponunu nyama ndo hapo hapo napo nunua kuku kwahyo nafanya biashara mbili kwa wakati mmoja.
Hongera MkuuuNaenda mnadani nanunua nyama ya nguruwe kwa 5000 kwa kilo nanunua kilo 100 sawa na laki tano nawauzia wanaokaanga kwa 8000 kwa kilo naingiza faida ya 300,000/ kwa tripu moja nikitoa gharama za usafiri nabaki na 250,000/ kwa wiki naenda mara mbili kwahyo wakika wa laki tano kwa wiki. Laki Tano inayobaki nalangua kuku mnadani kwa 10,000 kwa kuku nachukua kuku 40 sawa na laki 400,000/ nawaleta town nauza kwa 15000 kwa kuku mmoja sawa na faida ya laki 2 kwa tripu kumbuka ninaponunu nyama ndo hapo hapo napo nunua kuku kwahyo nafanya biashara mbili kwa wakati mmoja.
Odd 1.01 Kwa siku unapata 9k ukistake millionHabari wananzengo.
Nina fedha ya kitanzania Tsh 1,000,000/= nataka niiwekeze mahali nipate elfu tano Kwa siku. Nipe mawazo wajumbe lengo langu mtaji upo palepale. Mimi nakuwa muekezaji yeye anatumia fedha yangu Kama mtaji na kwa siku elfu tano yangu ananitumia
Zipo nyingi tuu mkuu,wewe uko wapi kwanza?Tuanzie hapo .Habari wananzengo.
Nina fedha ya kitanzania Tsh 1,000,000/= nataka niiwekeze mahali nipate elfu tano Kwa siku. Nipe mawazo wajumbe lengo langu mtaji upo palepale. Mimi nakuwa muekezaji yeye anatumia fedha yangu Kama mtaji na kwa siku elfu tano yangu ananitumia
Soon utalia kilio cha umbwa😂Pale makumbusho Kuna taasisi Moja nimeweka Milion Moja ,kwa wiki napata lakitatu na 50 (Atlantic)