Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Taasisi ya upatu ?Pale makumbusho Kuna taasisi Moja nimeweka Milion Moja ,kwa wiki napata lakitatu na 50 (Atlantic)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Taasisi ya upatu ?Pale makumbusho Kuna taasisi Moja nimeweka Milion Moja ,kwa wiki napata lakitatu na 50 (Atlantic)
I like itNaenda mnadani nanunua nyama ya nguruwe kwa 5000 kwa kilo nanunua kilo 100 sawa na laki tano nawauzia wanaokaanga kwa 8000 kwa kilo naingiza faida ya 300,000/ kwa tripu moja nikitoa gharama za usafiri nabaki na 250,000/ kwa wiki naenda mara mbili kwahyo wakika wa laki tano kwa wiki. Laki Tano inayobaki nalangua kuku mnadani kwa 10,000 kwa kuku nachukua kuku 40 sawa na laki 400,000/ nawaleta town nauza kwa 15000 kwa kuku mmoja sawa na faida ya laki 2 kwa tripu kumbuka ninaponunu nyama ndo hapo hapo napo nunua kuku kwahyo nafanya biashara mbili kwa wakati mmoja.
Kuna mtu anaenda kulia.Pale makumbusho Kuna taasisi Moja nimeweka Milion Moja ,kwa wiki napata lakitatu na 50 (Atlantic)
It will absolutely end in tears.
Ila ukiwa maskini bwana kila saa unawaza kutapeliwaMatapeli haoo stuka usingizini mkuu.
Pesa kila kitu bora kujiadhali kabla ya hatari.Ila ukiwa maskini bwana kila saa unawaza kutapeliwa
Geita mkuuhii
biashara unaifanyia mkoa gani mkuu
Weka pichaaaHuku tukisubiri wazee wa UTT amis wafike
Kuna bajaj inauzwa 2.8.... hesabu 20,000 kwa siku
Bila shaka upo njombe sio darNaenda mnadani nanunua nyama ya nguruwe kwa 5000 kwa kilo nanunua kilo 100 sawa na laki tano nawauzia wanaokaanga kwa 8000 kwa kilo naingiza faida ya 300,000/ kwa tripu moja nikitoa gharama za usafiri nabaki na 250,000/ kwa wiki naenda mara mbili kwahyo wakika wa laki tano kwa wiki. Laki Tano inayobaki nalangua kuku mnadani kwa 10,000 kwa kuku nachukua kuku 40 sawa na laki 400,000/ nawaleta town nauza kwa 15000 kwa kuku mmoja sawa na faida ya laki 2 kwa tripu kumbuka ninaponunu nyama ndo hapo hapo napo nunua kuku kwahyo nafanya biashara mbili kwa wakati mmoja.
Geita kakaBila shaka upo njombe sio dar
OkGeita kaka
Calculations kaka. Calculations kaka. Kwenye kila unapowekeza usijiangalie tu mimi napata kiasi gani jiulize pia na mshirika wangu anapata kiasi gani.Ila ukiwa maskini bwana kila saa unawaza kutapeliwa
Ila ukitaka kuwa tajiri namba moja lazima diddy ahusike au utapeli masikini si ndio?Ila ukiwa maskini bwana kila saa unawaza kutapeliwa
Npo Tanga mkuuZipo nyingi tuu mkuu,wewe uko wapi kwanza?Tuanzie hapo .
DECIMh embu fafanua mbona kama mtego huu
Huku tukisubiri wazee wa UTT amis wafike
Kuna bajaj inauzwa 2.8.... hesabu 20,000 kwa siku
Nakupa mwezi mmoja hiyo inakufa...mtalizwaPale makumbusho Kuna taasisi Moja nimeweka Milion Moja ,kwa wiki napata lakitatu na 50 (Atlantic)
Usimuamini mswahili kwenye pesa,huyo anaenda kukuzima huyoHabari wananzengo.
Nina fedha ya kitanzania Tsh 1,000,000/= nataka niiwekeze mahali nipate elfu tano Kwa siku. Nipe mawazo wajumbe lengo langu mtaji upo palepale. Mimi nakuwa muekezaji yeye anatumia fedha yangu Kama mtaji na kwa siku elfu tano yangu ananitumia
Hivi waTanzania mbona ujinga hautuishi?Pale makumbusho Kuna taasisi Moja nimeweka Milion Moja ,kwa wiki napata lakitatu na 50 (Atlantic)
Wanaume tunaisha sasa. Tunaanza kuomba biaHiyo pesa bora tu uje nayo hapa manyoni tunywe bia