Ni eneo gani au sehemu gani naweza kuwekeza Tsh. milioni 1 nikapata 5,000 kwa siku?

Ni eneo gani au sehemu gani naweza kuwekeza Tsh. milioni 1 nikapata 5,000 kwa siku?

Naenda mnadani nanunua nyama ya nguruwe kwa 5000 kwa kilo nanunua kilo 100 sawa na laki tano nawauzia wanaokaanga kwa 8000 kwa kilo naingiza faida ya 300,000/ kwa tripu moja nikitoa gharama za usafiri nabaki na 250,000/ kwa wiki naenda mara mbili kwahyo wakika wa laki tano kwa wiki. Laki Tano inayobaki nalangua kuku mnadani kwa 10,000 kwa kuku nachukua kuku 40 sawa na laki 400,000/ nawaleta town nauza kwa 15000 kwa kuku mmoja sawa na faida ya laki 2 kwa tripu kumbuka ninaponunu nyama ndo hapo hapo napo nunua kuku kwahyo nafanya biashara mbili kwa wakati mmoja.
I like it
 
Naenda mnadani nanunua nyama ya nguruwe kwa 5000 kwa kilo nanunua kilo 100 sawa na laki tano nawauzia wanaokaanga kwa 8000 kwa kilo naingiza faida ya 300,000/ kwa tripu moja nikitoa gharama za usafiri nabaki na 250,000/ kwa wiki naenda mara mbili kwahyo wakika wa laki tano kwa wiki. Laki Tano inayobaki nalangua kuku mnadani kwa 10,000 kwa kuku nachukua kuku 40 sawa na laki 400,000/ nawaleta town nauza kwa 15000 kwa kuku mmoja sawa na faida ya laki 2 kwa tripu kumbuka ninaponunu nyama ndo hapo hapo napo nunua kuku kwahyo nafanya biashara mbili kwa wakati mmoja.
Bila shaka upo njombe sio dar
 
Ila ukiwa maskini bwana kila saa unawaza kutapeliwa
Calculations kaka. Calculations kaka. Kwenye kila unapowekeza usijiangalie tu mimi napata kiasi gani jiulize pia na mshirika wangu anapata kiasi gani.

Hesabu ni lazima ziwe na uhalisia. Unainvest ml 1 kwa wiki unapata laki tatu whichi is 30%. Kwa mwezi unapata ml 1 na laki mbili. Yani zaidi ya mara mbili ya ulichoinvest ndani ya mwezi tu. Kengele ya hatari bado haijalia kichwani mwako?

Jiulize mbona Bodaboda, Bajaji, Nafaka, Uwakala nk hauleti faida ya haraka hivyo.


Anyway kama utajiri ni kuwekeza bila kucalculate risks nimechagua kuwa maskini.
 
Habari wananzengo.

Nina fedha ya kitanzania Tsh 1,000,000/= nataka niiwekeze mahali nipate elfu tano Kwa siku. Nipe mawazo wajumbe lengo langu mtaji upo palepale. Mimi nakuwa muekezaji yeye anatumia fedha yangu Kama mtaji na kwa siku elfu tano yangu ananitumia
Usimuamini mswahili kwenye pesa,huyo anaenda kukuzima huyo
 
Back
Top Bottom