Archnemesis 2-0
JF-Expert Member
- Aug 25, 2024
- 815
- 1,558
Picha yake sina kk ila ntaipata mchana huu kwa mdau ntakutumiaWeka pichaaa
Naenda kuikagua leo mkuuHiyo bajaj imesimama?
Namba CNamba gani hiyo bajaji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Picha yake sina kk ila ntaipata mchana huu kwa mdau ntakutumiaWeka pichaaa
Naenda kuikagua leo mkuuHiyo bajaj imesimama?
Namba CNamba gani hiyo bajaji
Forex trade kwenye exchange kama mexc hiyo 5000 unaipata ndani ya dak 20Habari wananzengo.
Nina fedha ya kitanzania Tsh 1,000,000/= nataka niiwekeze mahali nipate elfu tano Kwa siku. Nipe mawazo wajumbe lengo langu mtaji upo palepale. Mimi nakuwa muekezaji yeye anatumia fedha yangu Kama mtaji na kwa siku elfu tano yangu ananitumia
Ngoja tuje Maafisa Ubashiri.... Tukwambie weka odds za uhakika....Habari wananzengo.
Nina fedha ya kitanzania Tsh 1,000,000/= nataka niiwekeze mahali nipate elfu tano Kwa siku. Nipe mawazo wajumbe lengo langu mtaji upo palepale. Mimi nakuwa muekezaji yeye anatumia fedha yangu Kama mtaji na kwa siku elfu tano yangu ananitumia
Ni milioni 1 ... Sasa mbona wewe ndio haupo serious Mzee ..Mbona hio pesa nyingi sana mkuu milioni 5 upate elfu 5 uko siriazi kweli?
Banda la mpira si inaishia kwenye TV tu hiyo na king'amuzi.Mwanangu banda la mpira
Sasa Mzee unawekeza 15,000,000/=Ndio iko hvo kk? Kwani ni asilimia ngap?
Pombe za kienyeji na nyama kwasukwasu supu na mapande ya kitimotoHabari wananzengo.
Nina fedha ya kitanzania Tsh 1,000,000/= nataka niiwekeze mahali nipate elfu tano Kwa siku. Nipe mawazo wajumbe lengo langu mtaji upo palepale. Mimi nakuwa muekezaji yeye anatumia fedha yangu Kama mtaji na kwa siku elfu tano yangu ananitumia
mkuu unafanyia mkoa gani hii mambo?Naenda mnadani nanunua nyama ya nguruwe kwa 5000 kwa kilo nanunua kilo 100 sawa na laki tano nawauzia wanaokaanga kwa 8000 kwa kilo naingiza faida ya 300,000/ kwa tripu moja nikitoa gharama za usafiri nabaki na 250,000/ kwa wiki naenda mara mbili kwahyo wakika wa laki tano kwa wiki. Laki Tano inayobaki nalangua kuku mnadani kwa 10,000 kwa kuku nachukua kuku 40 sawa na laki 400,000/ nawaleta town nauza kwa 15000 kwa kuku mmoja sawa na faida ya laki 2 kwa tripu kumbuka ninaponunu nyama ndo hapo hapo napo nunua kuku kwahyo nafanya biashara mbili kwa wakati mmoja.
Geita-Mwanza.mkuu unafanyia mkoa gani hii mambo?
Niko Mwanza nina laki 5,naomba namba Yako mkuu unielekeze hii issue maana ajira ngumu Sana kwasasa.Geita-Mwanza.
Unaweza kupambania masoko ya kuku na hyo nyama kwenye mazingira unayoishi (namanisha unaweza pata wateja wakuchukua kilo mia au hamsini kwa siku).?Niko Mwanza nina laki 5,naomba namba Yako mkuu unielekeze hii issue maana ajira ngumu Sana kwasasa.
Pombe za kienyeji na nyama kwasukwasu supu na mapande ya kitimoto
Unaweza kupambania masoko ya kuku na hyo nyama kwenye mazingira unayoishi (namanisha unaweza pata wateja wakuchukua kilo mia au hamsini kwa siku).?
Ila hawa UTT kuna muda mahesabu yao kama siyaelewi kwani wanatoa asilimia ngapi? Na ni kwa mwezi au mwaka ?Ukiwekeza Milioni 15 UTTS Amis unapata gawio la 123,000/= Kwa mwezi..