saim28
JF-Expert Member
- Apr 21, 2021
- 214
- 369
1. Tafuta kinyozi fungua saluni ya kiumeHabari wananzengo.
Nina fedha ya kitanzania Tsh 1,000,000/= nataka niiwekeze mahali nipate elfu tano Kwa siku. Nipe mawazo wajumbe lengo langu mtaji upo palepale. Mimi nakuwa muwekezaji yeye anatumia fedha yangu Kama mtaji na kwa siku elfu tano yangu ananitumia
2. Fungua kibanda cha kuingiza muvi, miziki na kukodisha cd.
3. Tafuta dogo fungua biashara ya kuuza kuku wa vipande