Ni eneo gani au sehemu gani naweza kuwekeza Tsh. milioni 1 nikapata 5,000 kwa siku?

Ni eneo gani au sehemu gani naweza kuwekeza Tsh. milioni 1 nikapata 5,000 kwa siku?

Habari wananzengo.

Nina fedha ya kitanzania Tsh 1,000,000/= nataka niiwekeze mahali nipate elfu tano Kwa siku. Nipe mawazo wajumbe lengo langu mtaji upo palepale. Mimi nakuwa muwekezaji yeye anatumia fedha yangu Kama mtaji na kwa siku elfu tano yangu ananitumia
Anakutumia elfu tano mpaka lini?

Au ndio milele?

Vipi kama biashara ikikua ikawa inatoa mafaida ya kwenda, utaendelea kupokea alfu tano kwa siku?
 
Kwenye cryptocurrency yaani sarafu za kidigitali, kuna kitu tunaita staking au pia delegation, unailock hiyo m1 yako ni dola 400+ unakuwa unakusanya staking reward yaani faida huku mtaji wako huo ukiwa salama kabsa na siku ukiitaka unatoa yote.
 
Kwenye cryptocurrency yaani sarafu za kidigitali, kuna kitu tunaita staking au pia delegation, unailock hiyo m1 yako ni dola 400+ unakuwa unakusanya staking reward yaani faida huku mtaji wako huo ukiwa salama kabsa na siku ukiitaka unatoa yote.
Elezea zaidi hii
 
Hakuna uwekezaji wa milion moja upate 5000 kwa siku labda ufanye biashara tofauti na hapo itakuhitaji kuwekeza zaidi karibu Milion 25 ili kupata 5000 kwa siku ,, Yani piga kwenye uwekezaji return yake kwa siku haizidi 0.98% au mpaka 1% kwenye pesa yako
Duh mbona watu wanamitaji ya elfu 50 tu na wanapata zaidi ya elfu 10 faida. Humu ndani kuna watu wa ajabu sana.
 
Mimi anipe hyo pesa kwa kila siku nitampa elfu kumi kwa wazo langu la kununua kuku na nyama ya nguruwe mnadani mambo yasiwe mengi au kama kuna mtu pesa hyo anayo ila ana muda wakuitumia imuzalishie.
 
Habari wananzengo.

Nina fedha ya kitanzania Tsh 1,000,000/= nataka niiwekeze mahali nipate elfu tano Kwa siku. Nipe mawazo wajumbe lengo langu mtaji upo palepale. Mimi nakuwa muwekezaji yeye anatumia fedha yangu Kama mtaji na kwa siku elfu tano yangu ananitumia
Fungua mgahawa
 
Duh mbona watu wanamitaji ya elfu 50 tu na wanapata zaidi ya elfu 10 faida. Humu ndani kuna watu wa ajabu sana.
Hao watu sio wawekezaji. Ni wafanya biashara.

Uwekezaji ni pale unapotaka kutmumia pesa kutengeneza pesa, yaani uweke pesa, hujishughurishi na chochote, zaidi ya kukusanya 5000 yako, kitu ambacho ni kigumu kwa 1M
 
Habari wananzengo.

Nina fedha ya kitanzania Tsh 1,000,000/= nataka niiwekeze mahali nipate elfu tano Kwa siku. Nipe mawazo wajumbe lengo langu mtaji upo palepale. Mimi nakuwa muwekezaji yeye anatumia fedha yangu Kama mtaji na kwa siku elfu tano yangu ananitumia
Nitumie hiyo hela, 5000 utaipata kila siku mpaka nitakaporejesha hela yako, niko nasikilizia.
 
Habari wananzengo.

Nina fedha ya kitanzania Tsh 1,000,000/= nataka niiwekeze mahali nipate elfu tano Kwa siku. Nipe mawazo wajumbe lengo langu mtaji upo palepale. Mimi nakuwa muwekezaji yeye anatumia fedha yangu Kama mtaji na kwa siku elfu tano yangu ananitumia
Mkuu, fanya uweke odds. Tafuta timu yenye odds 3.7 ama 4.1
Weka mkeka kwa mtaji wa hiyo 1m ili ushinde kitu kams 3.7m Nunua Boxer mpe mtu awe analeta hesabu ya 8k kwa siku, still boda litabaki kuwa lako. Ukishalinunua unicheki PM maana mimi ni Afisa Usafirishaji
 
Mbongo atakutumia 5000 kila siku baada ya miezi mitatu ataanza kuleta story ohh biashara mbaya.. then atakula kona hata hiyo mil 1 yako haiharudi.

Kuna kijana alikuja na wazo lake la biashara nikashawishika kumpa hela 3,000,000. Kweli akaenda ajatekeleza vizuri kabisa. Tulikubaliana tutakuwa tunagawana nusu kwa nusu baada ya kutoa mshahara wake wa 150,000 kwa mwezi. Dogo alipiga kazi kwa moyo wote tukafika hadi kugawana laki 2 kwa mwezi. Baadae baada ya miezi kama 8 hivi dogo akaona kama mimi na mnyonya. Nafikiri watu walimshauri kuwa jamaa hafanyi chochote anachukua hela ya bure. Asijue kwamba wateja wengi nilikuwa nawapeleka mimi sababu ya network yangu. Akaanza visa hela haionekani, siku moja akaniambia kama vipi nikurudishie hela yako tu. Nikawa nimesha usoma mchezo.. akanirudishiahela akaanza kivyake.

Kwa kuwa nilishasoma biashara nzima nikatafuta kijana mwingine nikaanzisha pale pale karibu na yeye. Wateja wote nikahama nao. Sasa hivi nime mwajiri tena kama mfanyakazi.
Mkuu ningependa kujua hii ni biashara gani??
 
Kwenye cryptocurrency yaani sarafu za kidigitali, kuna kitu tunaita staking au pia delegation, unailock hiyo m1 yako ni dola 400+ unakuwa unakusanya staking reward yaani faida huku mtaji wako huo ukiwa salama kabsa na siku ukiitaka unatoa yote.
Mkuu elezea vzr watu tufanye hii makitu
 
Kwenye cryptocurrency yaani sarafu za kidigitali, kuna kitu tunaita staking au pia delegation, unailock hiyo m1 yako ni dola 400+ unakuwa unakusanya staking reward yaani faida huku mtaji wako huo ukiwa salama kabsa na siku ukiitaka unatoa yote.
Mzee huo udabwi udabwi Unapitia step zipi
 
Back
Top Bottom