Ni eneo gani au sehemu gani naweza kuwekeza Tsh. milioni 1 nikapata 5,000 kwa siku?

Ni eneo gani au sehemu gani naweza kuwekeza Tsh. milioni 1 nikapata 5,000 kwa siku?

Habari wananzengo.

Nina fedha ya kitanzania Tsh 1,000,000/= nataka niiwekeze mahali nipate elfu tano Kwa siku. Nipe mawazo wajumbe lengo langu mtaji upo palepale. Mimi nakuwa muwekezaji yeye anatumia fedha yangu Kama mtaji na kwa siku elfu tano yangu ananitumia
Bangi
 
Naenda mnadani nanunua nyama ya nguruwe kwa 5000 kwa kilo nanunua kilo 100 sawa na laki tano nawauzia wanaokaanga kwa 8000 kwa kilo naingiza faida ya 300,000/ kwa tripu moja nikitoa gharama za usafiri nabaki na 250,000/ kwa wiki naenda mara mbili kwahyo wakika wa laki tano kwa wiki. Laki Tano inayobaki nalangua kuku mnadani kwa 10,000 kwa kuku nachukua kuku 40 sawa na laki 400,000/ nawaleta town nauza kwa 15000 kwa kuku mmoja sawa na faida ya laki 2 kwa tripu kumbuka ninaponunu nyama ndo hapo hapo napo nunua kuku kwahyo nafanya biashara mbili kwa wakati mmoja.
Mnada upiihuomkuu
 
Kuna jamaa aq minning ukiwekeza 250000 una 10000 perday
20000 u a 800

Yanaa aatano ushamalizana nao
 
Hakuna uwekezaji wa milion moja upate 5000 kwa siku labda ufanye biashara tofauti na hapo itakuhitaji kuwekeza zaidi karibu Milion 25 ili kupata 5000 kwa siku ,, Yani piga kwenye uwekezaji return yake kwa siku haizidi 0.98% au mpaka 1% kwenye pesa yako
 
Biashara zipo ambazo kwa 1 million unaingiza 400k to 500k per week na ikizidi sana basi ni week na siku mbili au tatu.

Ila sasa process yake unaweza ona unatapeliwa maana ni vigumu kumuamini mtu na mambo ya hela.

Kwa situation kama hii itakubidi ubaki na Million yako tu hamna namna coz ni risk ambayo akili haitakubali na ukizingatia hela yenyewe ni ya ngama.
 
Mkuu toa code na muongozo, watakao weza watafanya.
Biashara zipo ambazo kwa 1 million unaingiza 400k to 500k per week na ikizidi sana basi ni week na siku mbili au tatu.

Ila sasa process yake unaweza ona unatapeliwa maana ni vigumu kumuamini mtu na mambo ya hela.

Kwa situation kama hii itakubidi ubaki na Million yako tu hamna namna coz ni risk ambayo akili haitakubali na ukizingatia hela yenyewe ni ya ngama.
 
Naenda mnadani nanunua nyama ya nguruwe kwa 5000 kwa kilo nanunua kilo 100 sawa na laki tano nawauzia wanaokaanga kwa 8000 kwa kilo naingiza faida ya 300,000/ kwa tripu moja nikitoa gharama za usafiri nabaki na 250,000/ kwa wiki naenda mara mbili kwahyo wakika wa laki tano kwa wiki. Laki Tano inayobaki nalangua kuku mnadani kwa 10,000 kwa kuku nachukua kuku 40 sawa na laki 400,000/ nawaleta town nauza kwa 15000 kwa kuku mmoja sawa na faida ya laki 2 kwa tripu kumbuka ninaponunu nyama ndo hapo hapo napo nunua kuku kwahyo nafanya biashara mbili kwa wakati mmoja.
Kwa darvmzee kilo ni 8000
 
Habari wananzengo.

Nina fedha ya kitanzania Tsh 1,000,000/= nataka niiwekeze mahali nipate elfu tano Kwa siku. Nipe mawazo wajumbe lengo langu mtaji upo palepale. Mimi nakuwa muwekezaji yeye anatumia fedha yangu Kama mtaji na kwa siku elfu tano yangu ananitumia
Mbongo atakutumia 5000 kila siku baada ya miezi mitatu ataanza kuleta story ohh biashara mbaya.. then atakula kona hata hiyo mil 1 yako haiharudi.

Kuna kijana alikuja na wazo lake la biashara nikashawishika kumpa hela 3,000,000. Kweli akaenda ajatekeleza vizuri kabisa. Tulikubaliana tutakuwa tunagawana nusu kwa nusu baada ya kutoa mshahara wake wa 150,000 kwa mwezi. Dogo alipiga kazi kwa moyo wote tukafika hadi kugawana laki 2 kwa mwezi. Baadae baada ya miezi kama 8 hivi dogo akaona kama mimi na mnyonya. Nafikiri watu walimshauri kuwa jamaa hafanyi chochote anachukua hela ya bure. Asijue kwamba wateja wengi nilikuwa nawapeleka mimi sababu ya network yangu. Akaanza visa hela haionekani, siku moja akaniambia kama vipi nikurudishie hela yako tu. Nikawa nimesha usoma mchezo.. akanirudishiahela akaanza kivyake.

Kwa kuwa nilishasoma biashara nzima nikatafuta kijana mwingine nikaanzisha pale pale karibu na yeye. Wateja wote nikahama nao. Sasa hivi nime mwajiri tena kama mfanyakazi.
 
Back
Top Bottom