kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,257
- 12,244
Hapa mtu ananyongwa mchana kweupePale makumbusho Kuna taasisi Moja nimeweka Milion Moja ,kwa wiki napata lakitatu na 50 (Atlantic)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa mtu ananyongwa mchana kweupePale makumbusho Kuna taasisi Moja nimeweka Milion Moja ,kwa wiki napata lakitatu na 50 (Atlantic)
Ebu muwe seriously na biashara zingine jamani...Unahitaji elf 5 tu huna mambo mengi, huko Tanga sasa sijui kama ipo....ila ungekua mjini katika hiyo milioni chukua laki moja tu pita kwa wafanya biashara wadogo wadogo jioni chukua chenji zao we wape noti, chukua 50,100 na 200.
Nenda vituo vya daladala peleka uuze hizo chenji kila buku unapata sh 100, ukiwa na laki ni elf 10 unarudi zako nyumbani kulala hadi kesho tena
Si kasema anataka elf tano tu mi nimempa dili la elf kumi kabisaEbu muwe seriously na biashara zingine jamani...
Kweli auze chenji et 😂😂😂😂😂😂
Lazma uidharau we si una duka sinza, full ac full vioo raba kali nne na tshrt nane kodi milioni na nje una ndinga....na huo mzigo uliufata china mwenyewe 😁.Kuna mtu juu huko..
Sitomtaja jina ioa katoa wazo la kuuza chenji kwa mwenzake yaani....
Biashara ya chenji ipo.hvi wakuu
Unapewa buku alafu wewe unampa mia tisa..
🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Tuingie ubia mkuu kila siku nakuingizia hiyo 5000 sawa lkn iwe na limit kwa muda gani?Habari wananzengo.
Nina fedha ya kitanzania Tsh 1,000,000/= nataka niiwekeze mahali nipate elfu tano Kwa siku. Nipe mawazo wajumbe lengo langu mtaji upo palepale. Mimi nakuwa muwekezaji yeye anatumia fedha yangu Kama mtaji na kwa siku elfu tano yangu ananitumia
Biashara inayoweza kuingiza hiyo pesa kwa
Nayo sio kwa sikuBiashara inayoweza kuingiza hiyo pesa kwa siku ni ya mikopo
Utapigwawapi huko
Acha kusoma kwa kukurupuka mkuu umeelewa kilichoandikwa hapo au kinakuzidi uwezo? Au ulivyo bongo lala hujui tofauti ya uwekezaji na biasharaacha uongo mm nauza Gas mtaji wangu kabla sijachukua vibali na lesen ulikua laki 5. faida kwa mwezi zaidi ya laki 4 gawanya kwa siku hapi vile vile nina Lipa kwa simu sikosi elf 7 mpk 10 siku nyingin na mtaji laki 8 tu.
Odd 1.01 Kwa siku unapata 9k ukistake million
Hii biashara ni nzuri Sana hahitaji uwe sijui Barabarani. Ila zinatio hakikisha zile kampuni za kubeti na mabaa yasiwe mengi kwenye location yako.Mwanangu banda la mpira
Huo ni uhalifu ..... Hiyo siyo biashara halali ya kifedha ni vile tu Benki kuu wamelala...Kuna mtu juu huko..
Sitomtaja jina ioa katoa wazo la kuuza chenji kwa mwenzake yaani....
Biashara ya chenji ipo.hvi wakuu
Unapewa buku alafu wewe unampa mia tisa..
🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Wizi wizi tuu..Huo ni uhalifu ..... Hiyo siyo biashara halali ya kifedha ni vile tu Benki kuu wamelala...
Nipe chimbo hiloNaenda mnadani nanunua nyama ya nguruwe kwa 5000 kwa kilo nanunua kilo 100 sawa na laki tano nawauzia wanaokaanga kwa 8000 kwa kilo naingiza faida ya 300,000/ kwa tripu moja nikitoa gharama za usafiri nabaki na 250,000/ kwa wiki naenda mara mbili kwahyo wakika wa laki tano kwa wiki. Laki Tano inayobaki nalangua kuku mnadani kwa 10,000 kwa kuku nachukua kuku 40 sawa na laki 400,000/ nawaleta town nauza kwa 15000 kwa kuku mmoja sawa na faida ya laki 2 kwa tripu kumbuka ninaponunu nyama ndo hapo hapo napo nunua kuku kwahyo nafanya biashara mbili kwa wakati mmoja.
So bado hujawa tajiri mkuu kweliNaenda mnadani nanunua nyama ya nguruwe kwa 5000 kwa kilo nanunua kilo 100 sawa na laki tano nawauzia wanaokaanga kwa 8000 kwa kilo naingiza faida ya 300,000/ kwa tripu moja nikitoa gharama za usafiri nabaki na 250,000/ kwa wiki naenda mara mbili kwahyo wakika wa laki tano kwa wiki. Laki Tano inayobaki nalangua kuku mnadani kwa 10,000 kwa kuku nachukua kuku 40 sawa na laki 400,000/ nawaleta town nauza kwa 15000 kwa kuku mmoja sawa na faida ya laki 2 kwa tripu kumbuka ninaponunu nyama ndo hapo hapo napo nunua kuku kwahyo nafanya biashara mbili kwa wakati mmoja.