Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pakia nazi lete Dodoma, soko la Ndugai au dagaa chumvi!Npo Tanga mkuu
Fedha Ni ya kwangu nimeisave kutokana na ninacholipwa. Lengo hiyo fedha niiwekeze sehemu angalau Kwa siku nipate buku tano tu. Maana yake nitakachokuwa nakipata Kwa mwezi nahifadhi nakuja kusubiri kwa mwaka nina kiasi gani na naweza kuwekeza kwingne.Ila pia mleta mada mbona kama na we umetuletea ile kitu inaitwa Chemsha Bongo?Hiyo ela umeitafuta,umepewa,au umeiokota?umejua jinsi ya kuipata ila hujui jinsi ya kuizalisha?kweli kweli we mleta mada aaaah inaweza kuwa unatuchezesha chemsha bongo.
Kazi ninayofanya ya kuajiriwa kwahiyo ni vigumu kutokaPakia nazi lete Dodoma,soko la Ndugai au dagaa chumvi!
Lete Hyo pesa sasa tufanye kazi.Fedha Ni ya kwangu nimeisave kutokana na ninacholipwa.Lengo hiyo fedha niiwekeze sehemu angalau Kwa siku nipate buku tano tu.Maana yake nitakachokuwa nakipata Kwa mwezi nahifadhi nakuja kusubiri kwa mwaka Nina kiasi gani na naweza kuwekeza kwingne.
Kama ni hivyo biashara itakuwa ngumu sana labda uwekeze zaidi na kuweka mifumo ya kukusaidia kufuatilia bishara hata ukiwa mbali.Kazi ninayofanya ya kuajiliwa kwahyo ni vigumu kutoka
Namba gani hiyo bajajiHuku tukisubiri wazee wa UTT amis wafike
Kuna bajaj inauzwa 2.8.... hesabu 20,000 kwa siku
Kuwa makini kuwa makini mkuu. Kuna muajiri humu alileta Uzi unahusu kuangukia pua kwenye biashara yake kisa usimamizi. Labda kidogo fungua cutting salon 2 sehemu nzuri. Hapo hata kama unaibiwa lakini kahela utakaona.nakuwa muekezaji yeye anatumia fedha yangu Kama mtaji
Hesabu ya daftalini. Hivi unaweza tu kutoka mnadani na kuku wako kama 40 ukaenda kuwauza wote?? Au ndo ile utafute soko kabla ya kujumuaNarudi
Watu wanahesabu Nazi we unahesabu makoroma.Mbona hio pesa nyingi sana mkuu milioni 5 upate elfu 5 uko siriazi kweli?
Watu wanahesabu Nazi we unahesabu makoroma.Mbona hio pesa nyingi sana mkuu milioni 5 upate elfu 5 uko siriazi kweli?
Mwanangu banda la mpiraHabari wananzengo.
Nina fedha ya kitanzania Tsh 1,000,000/= nataka niiwekeze mahali nipate elfu tano Kwa siku. Nipe mawazo wajumbe lengo langu mtaji upo palepale. Mimi nakuwa muekezaji yeye anatumia fedha yangu Kama mtaji na kwa siku elfu tano yangu ananitumia
InawezekanaIla pia mleta mada mbona kama na we umetuletea ile kitu inaitwa Chemsha Bongo?Hiyo ela umeitafuta,umepewa,au umeiokota?umejua jinsi ya kuipata ila hujui jinsi ya kuizalisha?kweli kweli we mleta mada aaaah inaweza kuwa unatuchezesha chemsha bongo.
Anatuuza tu huyo hamna loloteMh embu fafanua mbona kama mtego huu
Ukiwekeza Milioni 15 UTTS Amis unapata gawio la 123,000/= Kwa mwezi..Huku tukisubiri wazee wa UTT amis wafike
Kuna bajaj inauzwa 2.8.... hesabu 20,000 kwa siku
Pakia nazi lete Dodoma,soko la Ndugai au dagaa chumvi!
Ndio iko hvo kk? Kwani ni asilimia ngap?Ukiwekeza Milioni 15 UTTS Amis unapata gawio la 123,000/= Kwa mwezi..