Ni faida gani ataipata Mungu kwa kuwachoma moto binadamu siku ya mwisho?

kikweli hakuna moto wa mateso. bali waovu watakufa milele na waadilifu wataishi milele. wengi wanatafsiri vibaya mfano wa Lazaro na Tajiri. kwa habari zaidi ingia www.jw.org/sw. utafute kitabu biblia inafundisha nini hasa.
 
tenda mema ndugu yangu hakika adhabu yake ni kali kama alivyoahidi.haina haja ya kujua faida wewe lala kwenye hasara.kumbuka kuni zake ni moto na mawe
 
ingiza vidole vyako masikioni uzibe usisikie chochote.baada ya hapo sikiliza huo ndo moto
 
Naomba nikuulize swali?

Ukiwa na shamba lako, nalo likazaa MAZAO na baada ya muda likazaa na MAGUGU.

JE! Unatapa FAIDA gani utakapoamua kuyaondoa yale magugu na kuyachoma moto?!

Usinijibu!
 
Dhambi zitapotea kabisa hatahitaji kusmbuka kutuma manabii na mitume na watoto na malaika kuja kuhangaikia dhambi
 
Imeandikwa magugu na ngano vitamea pamoja na kukua pamoja hadi siku ya mavuno; siku hiyo ndipo bwana atakapowaambia watumishi wake ngano ikusanyeni ghalani na magugu myachomelee mbali. Maana yake hapa ni kwamba waovu watateketezwa kwa moto na kuwa majivu na mahali pao hapataonekana tena; hiyo ndio maana ya milele: ushahidi wa yale majivu ni kama wanaendelea kuungua vile
 
Mkuu kwani mtu akishavuna mazao yake aliyo lima shambani kwake nakuyahifidhi stoo kule shambani Kuna bakia tu magugu yasio na faida unaya choma moto hivyo ndio mungu atavyo fanya wanaadam walio tii amrii zake na kuzitenda atawahifadhi vizuri ila wale wasio fuata nisawa na magugu atawachoma moto hawana faida yoyote
 
Hakuna kitu kama hicho ni nadharia tu ambazo watu kama wewe walizianzisha na kuwaaminisha watu kuwa kuna kuchomwa moto kwa watenda dhambi siku ya mwisho Ili kupunguza madhambi kwa kiasi fulani
Hatupati taabu kwa watu kama nyinyi.. Kwavile mmejiumba wenyewe.!
 

Ukiisha kuanza na Imeandikwa basi ni lazima uwe bias! Huwezi kutumia vifungu vilivyo kwenye nyaraka ambayo nayo ni kielelezo kimojawapo kwenye kesi iliyo mahakamani kwa ajili ya utetezi...
 
Ukiisha kuanza na Imeandikwa basi ni lazima uwe bias! Huwezi kutumia vifungu vilivyo kwenye nyaraka ambayo nayo ni kielelezo kimojawapo kwenye kesi iliyo mahakamani kwa ajili ya utetezi...
Kuongea usikie mlio wa sauti yako ni haki yako; wenye akili watajua na kufahamu
 
swali gani ilo ulilouliza,faida za kuzini ni raha inayotokana na kukojoa
 
So that His righteousnesses is justified. Anatimiza kile alichoahidi, mtakatifu (sio kwa matendo ya sheria, bali kwa neema) aende peponi, na mwenye dhambi motoni.
 
Kuongea usikie mlio wa sauti yako ni haki yako; wenye akili watajua na kufahamu

Wewe na wenzio wa aina yako ni wale mnaofungwa kwenye kiti cha plastic na mfano wa kamba ila mnasimama kikondoo tu hadi aliyekufunga aje kukufungua, kudhani una akili kwa kuwa uliambiwa unazo sio ithibati ya kuthibitisha kwamba wewe una uwezo mkubwa sana wa kuwa huru kimawazo...
 
We hufai kuwa katika discussion, umeanza unatukana. Mimi sijatukana, nimeweka arguments zangu, it is your duty to prove me wrong! Usinitukne. Vitabu vya dini havina scientific proof, ndiyo mastory nisiyoyataka. I am a scientist, for your information, a specialist in Microbiology, najua a lot about these micro organisms! Ninachouliza, kwa nini aliumba harmful bacteria? Na kwa nini Mungu aende katika intricacies of making/kuumba cellulase, cellulose and the like! Majibu uliyo nayo ni ya imani, I need scientific answers, not revelations!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…