Ni faida gani ataipata Mungu kwa kuwachoma moto binadamu siku ya mwisho?

Ni faida gani ataipata Mungu kwa kuwachoma moto binadamu siku ya mwisho?

Kwanza lazima utambue kuwa akili za Mungu hazichunguziki;
Kwani asipowachoma anapata hasara gani?
Unachoshindwa kujua unadhani wewe ni wa thamani sana machoni pa Mungu.
Kwa Mungu mwanadamu ni udongo na yeye ni mfinyanzi.
Mfinyanzi anapofinyaga gae (Kigae) harafu kikawa kibovu akikibomoa utamuuliza kwa nini kakibomoa?
Kwa mantiki hiyo, huwezi kupata ujasiri wa kumhoji Mungu kama huwezi kumtii yeye aliyekufinyanga.
hyooo kama inaukweli ndani yake

ur a great thinker
 
Salaaam..

Kwanza kabisa naomba niweke msimamo wangu kiimani, mimi naamini mungu yupo na ndie muweza wa yote.

Turudi kwenye mada..nacho jua mimi adhabu huwa inatolewa ili iwe funzo kwa mkosaji au kwa watu wanao mzunguka huyo mkosaji..adhabu hii huwa ni fundisho kwa mkosaji ili asirudie tena kosa pia ni funzo kwa wengine ili wasifanye kosa hilo.

Haya sasa binadam wote watakao kufa wakiwa na dhambi wameahidiwa moto wa milele kule jehanamu kama adhabu..lakini pia tuna ambiwa kuwa baada ya adhabu hiyo hakuta kuwa na kifo tena wala dhambi na watu watakao kuwa na dhambi watabaki motoni milele..

SWALI:

je adhabu hiyo ya moto itakua ni funzo kwa nan??

Na je ni faida gani mungu ataipata kwa kuwa choma moto viumbe alio waumba mwenyewe..

Je shetani alipangwa ili maisha yawe hivi??

Yesu alikufa msalabani kwa sababu ya dhambi zetu wanadam ambazo chanzo chake ni shetani..je shetani hawezi kudhibitiwa na kupewa adhabu kali kwa kuharibu ulimwengu???maana watu wanajaa kwenye anasa kuliko kwenye nyumba za ibada takatifu..


Nawasilisha..karibuni
Chunguza sana njia zako za fikra.
Na hakika mshahara wa dhambi ni mauti.
Katika ulimwengu wa kawaida unavuna ulichopanda. Vivyo hivyo ktk ulimwengu wa kiroho.
Na ktk ulimwengu wa kiroho unapanda na kuvuna wapi? Ndugu unapanda ktk mawazo na fikra zako.
 
Tumuache Mungu aitwe Mungu
Atakacho amua yeye ndicho sahihi kwetu

Yeye ndo mwamuzi wa kila kitu


Na ni vizuri atoe makazi tofauti kwa WAKENGEUFU MOTONI

na WALIOMTII wakaeee PEPONI
 
Fika mbinguni kwanza ndo utamuuliza Mungu, au mwanao wa miaka 6 akikuuliza njia za kujikinga na mimba utamwambia? Kuna vitu huwezi jua mpk ufikie vigezo vya kujua.... Km ww ni mwanaume unaweza je unaweza kuelewa uchungu wa mimba kwa kuhadithiwa? Kua uyaone
 
Nabii MUSSA[a.s] wa kwenye QUR-AN alikua ni miongon mwa manabii waliopata nafasi ya kuongea na MUNGU direct siku moja alimuuliza MUNGU "Ewe MUNGU kwann utawachoma watu ambao umewaumba wewe mwenyewe?!,MUNGU hakumjibu swali hilo kwa mda ule,kikapita ktambo kidogo miez/miaka nabii MUSSA akamua kulima ngano,akaandaa shamba,akapanda na akavuna ngano yake,lakini baada ya mavuno akasafisha shamba na akachoma masalia,mabaki na takataka zote za ngano zilizobak shamban,sasa MUNGU akamuuliza "Ewe Mussa mbona unachoma hizo ngano wakati ulitumia nguvu zako na muda wako mwingi kuandaa shamba,ukatumia malighafi na nyenzo mbalimbali za kilimo,IWEJE LEO UNACHOMA MOTO??"Nabii MUSSA[a.s] akajibu hapana sichomi ngano haya ni masalia na mabua tu ngano safi nimeshaichukua nimeihifadhi mahala pazuri" MUNGU akamwambia MUSSA basi lile swali lako linafanana na hili ""NAMI NITAWACHUKUA NA KUWAWEKA PAZURI WALE WASAFI NA NITAWACHOMA WALE .......!
 
Nabii MUSSA[a.s] wa kwenye QUR-AN alikua ni miongon mwa manabii waliopata nafasi ya kuongea na MUNGU direct siku moja alimuuliza MUNGU "Ewe MUNGU kwann utawachoma watu ambao umewaumba wewe mwenyewe?!,MUNGU hakumjibu swali hilo kwa mda ule,kikapita ktambo kidogo miez/miaka nabii MUSSA akamua kulima ngano,akaandaa shamba,akapanda na akavuna ngano yake,lakini baada ya mavuno akasafisha shamba na akachoma masalia,mabaki na takataka zote za ngano zilizobak shamban,sasa MUNGU akamuuliza "Ewe Mussa mbona unachoma hizo ngano wakati ulitumia nguvu zako na muda wako mwingi kuandaa shamba,ukatumia malighafi na nyenzo mbalimbali za kilimo,IWEJE LEO UNACHOMA MOTO??"Nabii MUSSA[a.s] akajibu hapana sichomi ngano haya ni masalia na mabua tu ngano safi nimeshaichukua nimeihifadhi mahala pazuri" MUNGU akamwambia MUSSA basi lile swali lako linafanana na hili ""NAMI NITAWACHUKUA NA KUWAWEKA PAZURI WALE WASAFI NA NITAWACHOMA WALE .......!
Kwan nabii Musa wa kwenye qur'an na yule wa kwenye biblia wana tofautiana nini??
 
Nabii MUSSA[a.s] wa kwenye QUR-AN alikua ni miongon mwa manabii waliopata nafasi ya kuongea na MUNGU direct siku moja alimuuliza MUNGU "Ewe MUNGU kwann utawachoma watu ambao umewaumba wewe mwenyewe?!,MUNGU hakumjibu swali hilo kwa mda ule,kikapita ktambo kidogo miez/miaka nabii MUSSA akamua kulima ngano,akaandaa shamba,akapanda na akavuna ngano yake,lakini baada ya mavuno akasafisha shamba na akachoma masalia,mabaki na takataka zote za ngano zilizobak shamban,sasa MUNGU akamuuliza "Ewe Mussa mbona unachoma hizo ngano wakati ulitumia nguvu zako na muda wako mwingi kuandaa shamba,ukatumia malighafi na nyenzo mbalimbali za kilimo,IWEJE LEO UNACHOMA MOTO??"Nabii MUSSA[a.s] akajibu hapana sichomi ngano haya ni masalia na mabua tu ngano safi nimeshaichukua nimeihifadhi mahala pazuri" MUNGU akamwambia MUSSA basi lile swali lako linafanana na hili ""NAMI NITAWACHUKUA NA KUWAWEKA PAZURI WALE WASAFI NA NITAWACHOMA WALE .......!
Ni kisa maarufu.. na nadhani jibu ndo hilo majadala umefungwa rasmi

Tuendelea na mada nyingine..!
 
"Na tumeeleza katika hii Qur'an kwa watu mifano ya kila namna, na amekuwa mwanaadamu akikithiri kujadili kila jambo" (Qur'an 8:54)

Kabla sijajibu swali lako, nimenukuu aya ya Qur'an ikiwa na muradi wa kueleza namna mwanaadamu alivyo. Binadamu amekuwa hasimu na mwingi wa kujadili hukumu, amri na muongozo wa kuyaongoza maisha yake licha ya kila kitu kuwa wazi.

Mwenyezi Mungu anasema fanya hiki na kile usifanye, binadamu anahoji "kwani nisipofanya (kilichoamrishwa) ama nikafanya (nilichokatazwa) itakuwaje?

Majibu ni kwamba; ukifanya ulichokatazwa au kutofanya ulichoamrishwa utaadhibiwa. Na utakapoadhibiwa haiwi faida wala haiwi hasara kwa Mwenyezi Mungu bali ni hasara kwa nafsi yako.

Mfano: Wewe unamiliki shamba, ukaamua kuwapa bure wakalima wawili hekari moja moja zenye rutba nzuri na zenye kufanana kwa kila hali. Kisha ukawapa mazao, mbolea na kila kinachohitajika katika kulima kwao kwaajili ya maslahi yao wenyewe.

Kisha mkulima mmoja kati yao akafauta maelekezo na akavuna mazoa mengi kwa faida yake na mwingine hakuzingatia chochote kile, akapuuza na hakuambulia chochote katika zao.

Katika hao wawili unadhani kwa aliyepata na aliyekosa vinamuongeza au kumpunguzia faida yoyote yule mwenye shamba?

Halkadhalika, Mwenyezi Mungu hanufaiki wala hapungukiwa pindi mja anapoonja adhabu kwa kuzembea, kubisha ama kukaidi amri za muumba wake. Kama ambavyo kwa watakaolipwa ujira mzuri hawampunguzii chochote Mungu bali ni faida kwa viumbe wenyewe.
 
Salaaam..

Kwanza kabisa naomba niweke msimamo wangu kiimani, mimi naamini mungu yupo na ndie muweza wa yote.

Turudi kwenye mada..nacho jua mimi adhabu huwa inatolewa ili iwe funzo kwa mkosaji au kwa watu wanao mzunguka huyo mkosaji..adhabu hii huwa ni fundisho kwa mkosaji ili asirudie tena kosa pia ni funzo kwa wengine ili wasifanye kosa hilo.

Haya sasa binadam wote watakao kufa wakiwa na dhambi wameahidiwa moto wa milele kule jehanamu kama adhabu..lakini pia tuna ambiwa kuwa baada ya adhabu hiyo hakuta kuwa na kifo tena wala dhambi na watu watakao kuwa na dhambi watabaki motoni milele..

SWALI:

je adhabu hiyo ya moto itakua ni funzo kwa nan??

Na je ni faida gani mungu ataipata kwa kuwa choma moto viumbe alio waumba mwenyewe..

Je shetani alipangwa ili maisha yawe hivi??

Yesu alikufa msalabani kwa sababu ya dhambi zetu wanadam ambazo chanzo chake ni shetani..je shetani hawezi kudhibitiwa na kupewa adhabu kali kwa kuharibu ulimwengu???maana watu wanajaa kwenye anasa kuliko kwenye nyumba za ibada takatifu..


Nawasilisha..karibuni
asfaghafurulhaaa.........!! kwa upande wangu kama muislamu nisingeliuliza swali hilo kwa kuwa ktk kitabu kitakatufu cha Quran jibu liko. nikikusaidia mwenzangu kwanza unatakiwa ujuwe lengo la wewe kuumbwa na kuletwa hapa Duniani, MUNGU hakutuumba pasi na sababu.baada ya hapo unaweza kuuliza hayo maswali kama hapana budi ukiwa wewe ni muumini wa imani ya uwepo wa MUUMBA WA HII DUNIA.
 
Nafurahi sana Kuona watu wanajiuliza maswali kama haya kweli tunaonesha nia ya kutaka kutoka nje ya box Tuhimize zaidi watoto wetu kusoma ili wajitoe ktk upofu wa kuamini na kutegemea mungu bila kihoji lolote. Elimu Elimu Elimu
 
Salaaam..

Kwanza kabisa naomba niweke msimamo wangu kiimani, mimi naamini mungu yupo na ndie muweza wa yote.

Turudi kwenye mada..nacho jua mimi adhabu huwa inatolewa ili iwe funzo kwa mkosaji au kwa watu wanao mzunguka huyo mkosaji..adhabu hii huwa ni fundisho kwa mkosaji ili asirudie tena kosa pia ni funzo kwa wengine ili wasifanye kosa hilo.

Haya sasa binadam wote watakao kufa wakiwa na dhambi wameahidiwa moto wa milele kule jehanamu kama adhabu..lakini pia tuna ambiwa kuwa baada ya adhabu hiyo hakuta kuwa na kifo tena wala dhambi na watu watakao kuwa na dhambi watabaki motoni milele..

SWALI:

je adhabu hiyo ya moto itakua ni funzo kwa nan??

Na je ni faida gani mungu ataipata kwa kuwa choma moto viumbe alio waumba mwenyewe..

Je shetani alipangwa ili maisha yawe hivi??

Yesu alikufa msalabani kwa sababu ya dhambi zetu wanadam ambazo chanzo chake ni shetani..je shetani hawezi kudhibitiwa na kupewa adhabu kali kwa kuharibu ulimwengu???maana watu wanajaa kwenye anasa kuliko kwenye nyumba za ibada takatifu..


Nawasilisha..karibuni
Mungu hahitaji wala hatafuti faida yoyote kutoka kwa viumbe wake
 
Salaaam..

Kwanza kabisa naomba niweke msimamo wangu kiimani, mimi naamini mungu yupo na ndie muweza wa yote.

Turudi kwenye mada..nacho jua mimi adhabu huwa inatolewa ili iwe funzo kwa mkosaji au kwa watu wanao mzunguka huyo mkosaji..adhabu hii huwa ni fundisho kwa mkosaji ili asirudie tena kosa pia ni funzo kwa wengine ili wasifanye kosa hilo.

Haya sasa binadam wote watakao kufa wakiwa na dhambi wameahidiwa moto wa milele kule jehanamu kama adhabu..lakini pia tuna ambiwa kuwa baada ya adhabu hiyo hakuta kuwa na kifo tena wala dhambi na watu watakao kuwa na dhambi watabaki motoni milele..

SWALI:

je adhabu hiyo ya moto itakua ni funzo kwa nan??

Na je ni faida gani mungu ataipata kwa kuwa choma moto viumbe alio waumba mwenyewe..

Je shetani alipangwa ili maisha yawe hivi??

Yesu alikufa msalabani kwa sababu ya dhambi zetu wanadam ambazo chanzo chake ni shetani..je shetani hawezi kudhibitiwa na kupewa adhabu kali kwa kuharibu ulimwengu???maana watu wanajaa kwenye anasa kuliko kwenye nyumba za ibada takatifu..


Nawasilisha..karibuni
mawazo ya Mungu sio kama ya wanadamu, utavuna ulicho panda, huwezi ukapanda matembele utegemee kuvuna mtama, hapana! MUNGU anakanuni zake, na afanani na akili za binadamu na hajutii kwa lolote, mwingi wa rehema na mwenye huruma unapo kuwa hai lakini ukifa hauta pata tena neema ya kubadili maisha yako,
kumbuka MUNGU akuumba moto kwa ajili ya binadamu, aliumba moto kwa ajili ya shetani na malaika zake, sasa unapo ungana na shetani na kumsikiliza na kumfuata automatically unakuwa mtoto wake.
ndio maana amesema tutubu mapema kabla hatujafa lakini sisi binadamu hatutaki tunafikiri tutaingia mbinguni kwa kulazimisha! ndio hayo mkuu.
 
Ukitaka kutanua mjadala huu uwe mpana zaidi,jiulize kwanza kwanini Mwenyezi Mungu(aonaye yote,yaliyokuwako,yaliyoko na yajayo) aliamua kuumba viumbe huku akijua wapo watakaoasi na kuleta shida katika creation yake?Kwanini hakuchagua kuumba wale tu ambao alijua hawataasi?Can u see any image of God in the likes of Lucifer and his fallen angels?Idd Amin,Hitler,all the weaked people we have today?If not then kwanini Mungu aliendelea na kuwaumba huku akijua haya?Je,Mungu aliumba uovu?Aliumba dhambi?Mungu aliumba viumbe waovu?
 
Majibu ya watu wa Mungu yanagurahisha wanaamini tu na viongozi wao wanakataza sana kuhoji mambo haya ya kidini....
Mtazamo wangu hakuna moto wala kuungua milele Mungu wetu ni wahuruma sana lile ni fumbo tumewekewa tulitatue
 
Musa hakuchoma milele yale masalia..mbona tunaambiwa tutachomwa milele.
enye QUR-AN alikua ni miongon mwa manabii waliopata nafasi ya kuongea na MUNGU direct siku moja alimuuliza MUNGU "Ewe MUNGU kwann utawachoma watu ambao umewaumba wewe mwenyewe?!,MUNGU hakumjibu swali hilo kwa mda ule,kikapita ktambo kidogo miez/miaka nabii MUSSA akamua kulima ngano,akaandaa shamba,akapanda na akavuna ngano yake,lakini baada ya mavuno akasafisha shamba na akachoma masalia,mabaki na takataka zote za ngano zilizobak shamban,sasa MUNGU akamuuliza "Ewe Mussa mbona unachoma hizo ngano wakati ulitumia nguvu zako na muda wako mwingi kuandaa shamba,ukatumia malighafi na nyenzo mbalimbali za kilimo,IWEJE LEO UNACHOMA MOTO??"Nabii MUSSA[a.s] akajibu hapana sichomi ngano haya ni masalia na mabua tu ngano safi nimeshaichukua nimeihifadhi mahala pazuri" MUNGU akamwambia MUSSA basi lile swali lako linafanana na hili ""NAMI NITAWACHUKUA NA KUWAWEKA PAZURI WALE WASAFI NA NITAWACHOMA WALE .......![/QUOTE]
Musa hakuchoma milele yale masalia..mbona tunaambiwa tutachomwa milele.
 
KWANINI MOTO WA JEHANAMU NI ILLUSION???

1.Ule moto hatujaambiwa unatumia fuel ya aina gani e.g petrol,gas, kerosene, au mkaa.

2.Ziendazo huko ni roho.Roho hazina sensory cells, so watakaoenda huko hawatahisi maumivu.

3.Chanzo cha roho ni pumzi aliyopuliziwa Adam na Mungu, ile pumzi ndio tunayo ibreath in and out, nayo ni oxygen...oxygen kazi yake ni kusapoti moto uwake. So roho zitakazokwenda jehanamu zitakuwa na kazi ya kusapoti combustion.

SWALI: NINI KAZI YA MOTO WA JEHANAMU???...Wafiadini majibu tafadhali.
Ufunuo unasema moto wa 'sulphur'
 
Wewe sio wa kwanza kuzikataa/kupinga..
Walikuwepo waliopinga kinadharia kamaa ww.
Mwisho wa siku walipotea kinadharia.
Cha kufurahisha ni kwamba Mungu katupa zawadi nzuri ambayo hawezi kutunyang'anya..
Zawadi ya uhuru wa kuchagua..Ukiwa hai.
Unaweza ukachagua kumkubali au kumpinga kwa namna yeyote ile kama ww ufanyavyo.
Ku mwamini au kutokumwamini.
MUNGU SI DICTATOR.
Hata ukimtukana matusi makubwa makubwa au ya kinadharia.
Sawa tu.

LKN
Katika yote hayo..Siku utakapokuwa mbele yake.
Maneno yako hayatabadilisha kitu..
Kwamba ulikuwa huamini..
uliamini ni nadharia ya watu..hayata saidia kitu.
Kilio na machozi yako..haya badiliaha msimamo wake.

Neno moja kwako.
Mungu anakupenda.
Mlango uko wazi,bado nafasi unayo kwa sasa anaweza akakusamehe..akakufanya kuwa mwana wake
Kama kweli kuna free choice kwanin atoe hukuma kwa wanao mpinga?
 
Kwani wewe ni nani aliyekwambia kwamba adhabu imewekwa ili ujifunze!?ndugu yangu mawazo ya kibinadamu hayo mungu hayuko hivyo.
You leap what you sow.
Nikirudi kwenye mantic yako ya kibinadamu ya "adhabu ni kujifunza." Kumekuwepo na adhabu aina mbali mbali kwa mfano adhabu kifungo kwenda jela ama kutumikia jamii,adhabu ya viboko adhabu ya kifo nk.
Adhabu ya kifo na adhabu ya kifungo jela labda kufungwa maisha au adhabu ya kifo kwa mfano hivi huyu tenda kosa kosa kuna kitu atajiza kitu chochote?kuna adhabu nyingine zimewekwa ili wengine wajifunzo...katika utawala wa mbingu kuna adhabu moja tu..kwenda Motoni ili sisi tuliobaki duniani tujifunze kwamba ukitenda dhambi stahili yako ni moto tu..Dini nyingine wao wametabainisha na kueleza uzuri wa mbingu kwamba ukitenda mema dunian mbinguni unapewa mabikra 74..kwa mukutadha huohuo ungehoji pia kwanini watu wapewe mabikra sabini!?na kwa manufaa ya nani..!
Acheni uzinzi wizi uasherati wizi nk tuziheshimu na kuishi amri za mungu.
Mungu yupo na adhabu zipo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nafasi ya wanawake bado ipo chini hadi mbinguni wanaenda kutumiwa kama vyombo vya starehe.
 
Back
Top Bottom