Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inawezekana watu walijifungia ndani wakapika sababu walijua kuna kipindi watawehuka so ili kuwatisha ikabidi kuwe na maandiko kama hayo.Hakuna kitu kama hicho ni nadharia tu ambazo watu kama wewe walizianzisha na kuwaaminisha watu kuwa kuna kuchomwa moto kwa watenda dhambi siku ya mwisho Ili kupunguza madhambi kwa kiasi fulani
Kwanini mtu anazini na haachi kama hakuna faida?ukiwa unazini unapata faida gani?
NB: Bacteria na virusi wametengenezwa na wanadamu...na wala usimsingizie MunguMungu hayupo! Ni mastory ya watu tu wajanja ! Nakuuliza swali: Kama Mungu aliwaumba Adamu na Eva, walikuwa weupe, sasa weusi , wachina, wazungu walitoka wapi? Aliwaumba siku moja, ilikuwaje wakaa kama walivyo sasa hivi! Kwa nini Mungu aliumba bacteria, virus etc wa kumuumiza mwanadamu? Aliwaumba lini na tunaambiwa aliumba vitu vya kumsaidia mwanadamu! Maswali ni mengi ukiyatafakari unaambiwa UNAKUFURU ili usidaisi
faida inapimika, hamna faida isiyopimika.huwezi kuupima utamu make utamu ni jina la dhahania..kama vile Mungu,,njaa ..nk
Dada Reina. Mungu amekupa kwa mkichwa,Tafakari.Maelezo ya kwenye hizo link yanaongeza maswali zaidi.
Mkuu hata wale waliopo ndani ya miili yetu?NB: Bacteria na virusi wametengenezwa na wanadamu...na wala usimsingizie Mungu
Wewe siyo mwanasayansi (by that statement, surely you are not a scientist worth of engaging in scientific arguments!)NB: Bacteria na virusi wametengenezwa na wanadamu...na wala usimsingizie Mungu
Aiseee!!! 😕
Orodhesha hayo maswali zaidi uliyoyabuni baada ya kupitia maelezo ya kwenye hizo link kama kweli ulipata muda wa kusoma kilichoandikwa kwenye hizo link.Maelezo ya kwenye hizo link yanaongeza maswali zaidi.
Kwa hiyo unataka ubakie Kama nyumbu Tu, kaz yako iwe n Kula Na kulala ???Wanadamu tukisha pata elimu tunataka kujua kila jamboo.