khamis kilo
JF-Expert Member
- May 23, 2016
- 1,137
- 1,380
mi nahisi peponi kutakuwa na watenda dhambi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu si nadharia, ni nomino ya pekeehuwezi kuupima utamu make utamu ni jina la dhahania..kama vile Mungu,,njaa ..nk
Kama jambo halijaandikwa kwenye biblia au kufunuliwa na roho mtakatifu ni ngumu kama mwanadamu kutoa jibu.Mchungaji wako alivyokujibu naamini alibase kwenye KumbukumbulaTorati 29:29 .Lakini kama kuna jambo linakusumbua na hulijui unaweza mwomba Mungu akufahamishe,tatizo lililopo kwa waamini wa siku hizi tunataka majibu kwa tusiyoyajua lakini hatuko tayari kuingia gharama kwa maana ya kufunga na kumwomba Mungu atujuze.Mchungaji wangu siku 1 aliniambia ( Kuna mambo mengine yaache kama yalivyo )
Mkuu naomba andiko ili na mimi nijifunze kuhusu hayo uliyoandika kama yapo kweli.Bad enough tunasoma katika vitabu vya dini kwamba mamlaka ya Mungu ni ya juu sana na haihojiwi na chombo kingine chochote, ila nadhani kwamba wakati Mungu anatoa tamko lake hili alilitoa kwa ghadhabu na wala hakuangalia side effects zake!
Binaadamu tunajitahidi kuhoji vitu visivyo tuhusu.
Faida anayoipata mungu ww binadam wataka kuijua ya nn?
Mm nakushauri Fanya yale unayoamin yanampendeza mungu wako utaepuka huo moto.
Lakini ukumbuke kuwa huo moto sio adhabu bali ni hukumu yaweza kuwa Na mwisho au isiwe Na mwisho
NotedKumbe unatenda mema sababu unaogopa moto?Basi wewe ni kama roboti,hujui unachokifanya
Fanya mema because it is a right way to do and live....Ukitenda mema na wewe mtenda mema unafaidika....ni ubinadamu kutenda mema,and it feels good
Ushenzi wa eti unatenda mema sababu unaogopa eti kuna moto is too feeble and childish...
Acha kukutisha, jibu hoja!Wewe sio wa kwanza kuzikataa/kupinga..
Walikuwepo waliopinga kinadharia kamaa ww.
Mwisho wa siku walipotea kinadharia.
Cha kufurahisha ni kwamba Mungu katupa zawadi nzuri ambayo hawezi kutunyang'anya..
Zawadi ya uhuru wa kuchagua..Ukiwa hai.
Unaweza ukachagua kumkubali au kumpinga kwa namna yeyote ile kama ww ufanyavyo.
Ku mwamini au kutokumwamini.
MUNGU SI DICTATOR.
Hata ukimtukana matusi makubwa makubwa au ya kinadharia.
Sawa tu.
LKN
Katika yote hayo..Siku utakapokuwa mbele yake.
Maneno yako hayatabadilisha kitu..
Kwamba ulikuwa huamini..
uliamini ni nadharia ya watu..hayata saidia kitu.
Kilio na machozi yako..haya badiliaha msimamo wake.
Neno moja kwako.
Mungu anakupenda.
Mlango uko wazi,bado nafasi unayo kwa sasa anaweza akakusamehe..akakufanya kuwa mwana wake
You already know.
Kwamba?You already know.
Msimamo wangu ni kwamba huyo Mungu ni kamba tupu.Kwamba?
Nini maana ya Mungu?Msimamo wangu ni kwamba huyo Mungu ni kamba tupu.
Nini maana ya Mungu?
Mungu ni nini au Mungu ni nani?Nini maana ya maana?
Mungu mwenyewe hapendi wanadamu waangamie bali wafikirie toba. Jehanam iliweka kwa ajilu ya Ibilisi na Malaika wake. Binadamu kwa ukaidi wetu na jeuri zetu tunaikataa nuru na kuenenda katika giza. Kwa hiyo si suala la kuuliza faida apatayo Mungu wakati tumeshapewa option sahihi kuepuja moto wa milele