Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Airport ya ungo labdaPicha ukiwa airport
DahNi takribani miaka 15 tangu nimeondoka nchini na kwenda kutafuta fursa katika nchi za wazungu. Ni katika harakati za binadamu kutafuta rasilimali za kuboresha maisha yake na ya watu wengine wanaomzunguka. Hivyo mimi si wa kwanza na sitakuwa wa mwisho. Hata muda huu ninavyoandika airport, bus stands na bandari zimejaa kuwasafirisha watu wanaokwenda sehemu mbali mbali za dunia.
Nilikuwa na shauku kubwa sana tangu nimeanza kupanga safari ya kurudi nyumbani. Playlist yangu ilijaa nyimbo za kunihamasisha kurudi nyumbani. Kila siku nilicheza nyimbo kama ya OLIVER ANTHONY ya I WANT TO GO HOME ambayo inasema
Nanukuu:
‘Cause everyday living in this new world,
Is one too many days to me,
I’m just down on my knees,
Begging Lord, take me home,
I just wanna go home.
It’s been so long,
….I didn’t used to wake up feeling this way,
….And I wanna go home.
Wimbo wa Skylar Grey I’m coming Home
“Still far away, from where I belong,
But it’s always darkest before the dawn,
But I know no matter what it takes,
I’m coming home,
Coming home
Tell the world
I’m coming home .
Nikimalizia na wimbo wa Remmy Ongala wa” I want to go home”.
Narudi Nyumbani, ooh
Nyarudi Nyumbani
Nyumbani ni nyumbani hata kukiwa kubaya.
I want to go home *2
I need to go back home *2
The place that is our home *2
Good or bad still home *2
Kama kawaida ya mwanadamu kuna waliokereka na shauku yangu hiyo na kuna walifurahi pamoja nami. All that I knew was that I just wanted to go back home.
Uzuri wa maisha ni kwamba ukishapanga tarehe tu na Mungu akakujalia neema ya afya basi ujue tarehe hiyo itafika.
Siku hiyo ilikuwa ni ijumaa tarehe 22 Dec 2023. Safari ilikuwa ndefu na shauku ya kurudi nyumbani ilikuwa kubwa. Nilitamani iwe safari ya kufumba na kufumbua nijikute nipo nyumbani. Baada ya masaa mengi angani mwisho wa siku tulifika salama.
Nilipokelewa na joto, nyuso zenye furaha, jiji limechangamka, kelele za kila aina. Masikio yalimiss vitu kama hivi. Nili miss kusikia mziki kila Kona, nyimbo za injili, watu wakihubiri kwa vipaza sauti, watu wakiomba. Nili miss Adhana. Nili miss kelele za ndege, vyura. Kuna mengi nili miss.
Nina furaha sasa nipo nyumbani.
Nipo na ndugu zangu
Nipo na rafiki zangu
Natembea kwa mguu hadi natoka jasho
Nakula chakula cha shambani kwetu
Nakula samaki wa ziwani kwetu
Nakula kitoweo kutoka zizini kwetu
Nakunywa maziwa kutoka kwa ng’ombe wetu
Nakula mayai kutoka kwa kuku wetu.
Nakula chakula ninachokipenda.
Ninafuraha sasa nimerudi nyumbani
Kushirikiana na ndugu na rafiki zangu
Kuijenga nchi yetu
Kwa nafasi na maarifa tuliyobarikiwa.
Nyumbani ni nyumbani.
Naipenda sana nchi yangu Tanzania
🇹🇿
Huyu ndugu anaihitaji kupongezwa sana.Ni takribani miaka 15 tangu nimeondoka nchini na kwenda kutafuta fursa katika nchi za wazungu. Ni katika harakati za binadamu kutafuta rasilimali za kuboresha maisha yake na ya watu wengine wanaomzunguka. Hivyo mimi si wa kwanza na sitakuwa wa mwisho. Hata muda huu ninavyoandika airport, bus stands na bandari zimejaa kuwasafirisha watu wanaokwenda sehemu mbali mbali za dunia.
Nilikuwa na shauku kubwa sana tangu nimeanza kupanga safari ya kurudi nyumbani. Playlist yangu ilijaa nyimbo za kunihamasisha kurudi nyumbani. Kila siku nilicheza nyimbo kama ya OLIVER ANTHONY ya I WANT TO GO HOME ambayo inasema
Nanukuu:
‘Cause everyday living in this new world,
Is one too many days to me,
I’m just down on my knees,
Begging Lord, take me home,
I just wanna go home.
It’s been so long,
….I didn’t used to wake up feeling this way,
….And I wanna go home.
Wimbo wa Skylar Grey I’m coming Home
“Still far away, from where I belong,
But it’s always darkest before the dawn,
But I know no matter what it takes,
I’m coming home,
Coming home
Tell the world
I’m coming home .
Nikimalizia na wimbo wa Remmy Ongala wa” I want to go home”.
Narudi Nyumbani, ooh
Nyarudi Nyumbani
Nyumbani ni nyumbani hata kukiwa kubaya.
I want to go home *2
I need to go back home *2
The place that is our home *2
Good or bad still home *2
Kama kawaida ya mwanadamu kuna waliokereka na shauku yangu hiyo na kuna walifurahi pamoja nami. All that I knew was that I just wanted to go back home.
Uzuri wa maisha ni kwamba ukishapanga tarehe tu na Mungu akakujalia neema ya afya basi ujue tarehe hiyo itafika.
Siku hiyo ilikuwa ni ijumaa tarehe 22 Dec 2023. Safari ilikuwa ndefu na shauku ya kurudi nyumbani ilikuwa kubwa. Nilitamani iwe safari ya kufumba na kufumbua nijikute nipo nyumbani. Baada ya masaa mengi angani mwisho wa siku tulifika salama.
Nilipokelewa na joto, nyuso zenye furaha, jiji limechangamka, kelele za kila aina. Masikio yalimiss vitu kama hivi. Nili miss kusikia mziki kila Kona, nyimbo za injili, watu wakihubiri kwa vipaza sauti, watu wakiomba. Nili miss Adhana. Nili miss kelele za ndege, vyura. Kuna mengi nili miss.
Nina furaha sasa nipo nyumbani.
Nipo na ndugu zangu
Nipo na rafiki zangu
Natembea kwa mguu hadi natoka jasho
Nakula chakula cha shambani kwetu
Nakula samaki wa ziwani kwetu
Nakula kitoweo kutoka zizini kwetu
Nakunywa maziwa kutoka kwa ng’ombe wetu
Nakula mayai kutoka kwa kuku wetu.
Nakula chakula ninachokipenda.
Ninafuraha sasa nimerudi nyumbani
Kushirikiana na ndugu na rafiki zangu
Kuijenga nchi yetu
Kwa nafasi na maarifa tuliyobarikiwa.
Nyumbani ni nyumbani.
Naipenda sana nchi yangu Tanzania
🇹🇿
Bila kujari, kama karudi na nini, knowledge aliyorejea nayo ni potential asset ambayo akiitumia vizuri itamsaidia kuboresha maisha yake.Ki
Licho kupeleka ulikipata au mbwembwe tu
Picha ya wapi airport ipi?Picha ukiwa airport
Mbezi beach chini, kunduchi, mikocheni, Ununio kukaribishwa na Vyura ni must.Eti nilimiss sauti za chura,unawajua chura wa bongo mzee?
Au ni wale chura wanaokaa ndani ya dera
We subiri tu akianza kuambiwa "we umerudi miaka yote hiyo umekaa ulaya huna lolote"Eti nlipokelewa Kwa nyuso zenye furaha[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Labda ka umeshukia sauzi sio bongo hii
Nakazia TuionePicha ukiwa airport
Hongera sana kwa kurudi nyumbani.Ni takribani miaka 15 tangu nimeondoka nchini na kwenda kutafuta fursa katika nchi za wazungu. Ni katika harakati za binadamu kutafuta rasilimali za kuboresha maisha yake na ya watu wengine wanaomzunguka. Hivyo mimi si wa kwanza na sitakuwa wa mwisho. Hata muda huu ninavyoandika airport, bus stands na bandari zimejaa kuwasafirisha watu wanaokwenda sehemu mbali mbali za dunia.
Nilikuwa na shauku kubwa sana tangu nimeanza kupanga safari ya kurudi nyumbani. Playlist yangu ilijaa nyimbo za kunihamasisha kurudi nyumbani. Kila siku nilicheza nyimbo kama ya OLIVER ANTHONY ya I WANT TO GO HOME ambayo inasema
Nanukuu:
‘Cause everyday living in this new world,
Is one too many days to me,
I’m just down on my knees,
Begging Lord, take me home,
I just wanna go home.
It’s been so long,
….I didn’t used to wake up feeling this way,
….And I wanna go home.
Wimbo wa Skylar Grey I’m coming Home
“Still far away, from where I belong,
But it’s always darkest before the dawn,
But I know no matter what it takes,
I’m coming home,
Coming home
Tell the world
I’m coming home .
Nikimalizia na wimbo wa Remmy Ongala wa” I want to go home”.
Narudi Nyumbani, ooh
Nyarudi Nyumbani
Nyumbani ni nyumbani hata kukiwa kubaya.
I want to go home *2
I need to go back home *2
The place that is our home *2
Good or bad still home *2
Kama kawaida ya mwanadamu kuna waliokereka na shauku yangu hiyo na kuna walifurahi pamoja nami. All that I knew was that I just wanted to go back home.
Uzuri wa maisha ni kwamba ukishapanga tarehe tu na Mungu akakujalia neema ya afya basi ujue tarehe hiyo itafika.
Siku hiyo ilikuwa ni ijumaa tarehe 22 Dec 2023. Safari ilikuwa ndefu na shauku ya kurudi nyumbani ilikuwa kubwa. Nilitamani iwe safari ya kufumba na kufumbua nijikute nipo nyumbani. Baada ya masaa mengi angani mwisho wa siku tulifika salama.
Nilipokelewa na joto, nyuso zenye furaha, jiji limechangamka, kelele za kila aina. Masikio yalimiss vitu kama hivi. Nili miss kusikia mziki kila Kona, nyimbo za injili, watu wakihubiri kwa vipaza sauti, watu wakiomba. Nili miss Adhana. Nili miss kelele za ndege, vyura. Kuna mengi nili miss.
Nina furaha sasa nipo nyumbani.
Nipo na ndugu zangu
Nipo na rafiki zangu
Natembea kwa mguu hadi natoka jasho
Nakula chakula cha shambani kwetu
Nakula samaki wa ziwani kwetu
Nakula kitoweo kutoka zizini kwetu
Nakunywa maziwa kutoka kwa ng’ombe wetu
Nakula mayai kutoka kwa kuku wetu.
Nakula chakula ninachokipenda.
Ninafuraha sasa nimerudi nyumbani
Kushirikiana na ndugu na rafiki zangu
Kuijenga nchi yetu
Kwa nafasi na maarifa tuliyobarikiwa.
Nyumbani ni nyumbani.
Naipenda sana nchi yangu Tanzania
[emoji1241]
😂😂😂😂😂🙌Picha ukiwa airport
Furaha za machoni moyoni tabu tupu.Mkuu,
Kwani Bongo hakuna watu wenye furaha?
Mimi niliondoka kimoja mkuu.Furaha za machoni moyoni tabu tupu.
Bado wewe mkuu kurudi nyumbani tulijenge taifa
Mkuu hujapata Ile home sickness syndrome?Mimi niliondoka kimoja mkuu.
Nilivyoondoka sikupanga kurudi, ukiondoa labda likizo.
Na sijapata cha kunibadilisha mawazo bado.
Mkuu mimi huwa nafikiri ikiwezekana kuweka mazingira mazuri ya kuishi kwenye sayari nyingine, ninaweza kwenda.Mkuu hujapata Ile home sickness syndrome?
Mdogo wangu alienda Belgium kusoma na kufanya kazi baada ya masomo but after six good years alikataa kabisaa kukaa kule ambapo analipwa vzr anaishi pazuri na mchumba alipata pia
His reason kwamba amemiss maisha yakiafrica, anasema alikuwa anaenda somewhere just kufanya utalii wakuangalia ng'ombe na mbuzi...
Mengine ni company...yaaani maisha yakwenda Leo kusalimia hapa kesho kusalimia huku...
Lastly maisha ya upweke upweke tuu.
Hamna cha potential nchi hii , hii nchi inaendeshwa na wapumbavu na wamerathimisha Rushwa na uchawa kuwa ndio pontetial na si skills wala talentBila kujari, kama karudi na nini, knowledge aliyorejea nayo ni potential asset ambayo akiitumia vizuri itamsaidia kuboresha maisha yake.