Ni furaha iliyoje kurejea nyumbani baada ya kukaa nje ya nchi kwa muda mrefu?

Krb sn ngosha!
 
Watanzania wengi wana Roho za wivu zinazozalisha chuki ndani ya mioyo yao, Nimeligundua hili kupitia uzi huu
 
Una akili za kitumwa,no matter what, you will never be a King in a Foreign country!!
Kwani kila mtu anataka kuwa King?

Wengine wanataka ku abolish monarchy.

The opposite of slavery is not necessarily a Kingdom.

The opposite of slavery can be egalitarianism.
 
Funguka mkuu, umetumia mantiki gani kufikia hitimisho hili?
Imagine mtu kaamua tu kuelezea furaha yake ya kurejea nyumbani baada ya kukaa nje ya nchi kwa kiaka kadhaa. Comment za baadhi ya watu sasa mara oohh et "ulimbukeni",!!!! Yani mtu aogope kueleza mambo yake kuhofia ataonekana ulimbukeni? Serious??
 
Imagine mtu kaamua tu kuelezea furaha yake ya kurejea nyumbani baada ya kukaa nje ya nchi kwa kiaka kadhaa. Comment za baadhi ya watu sasa mara oohh et "ulimbukeni",!!!! Yani mtu aogope kueleza mambo yake kuhofia ataonekana ulimbukeni? Serious??
Mimi nashangaa baada ya mrudi kwao kusema kalakiwa na Watanzania wenye furaha, naona watu wanaandika kama vile Tanzania hakuna watu wenye furaha.

Na mtu mwingine kasema mdogo wake karudi Tanzania baada ya kuona upweke Ubelgiji, kuna mtu kasema huyo mtu aliyerudi ni mjinga.
 
Na kuna wengine wanatamani bora wangezaliwa ulaya kama Mbwa au Paka kuliko kuzaliwa kama Binaadamu Africa!!
 
Na kuna wengine wanatamani bora wangezaliwa ulaya kama Mbwa au Paka kuliko kuzaliwa kama Binaadamu Africa!!
Mkuu,

Hatari sana.

Labda huwa wanaangalia vile vijibwa vya Paris Hilton halafu wanavionea wivu wakitamani wangekuwa hivyo vijibwa.

Jana nilikuwa naongea na bidada mmoja, kafiwa na paka wake, akamfanyia uchunguzi kujua kikichomuua. Uchunguzi umemgharimu dola za Kimarekani 250.

Nikasema hapo ushapata bima ya afya ya zaidi ya mwaka kwa Mtanzania.
 
Picha
 
Limbukene ni yule anaejitangaza kwenda Ulaya sijui ni kweli au mkwara alafu sijasema members wote wa jamii forum wapo Ulaya kuna wengi Ulaya ila huwezi tukasikia akijitangaza
Na hapo ndipo shida ilipo, kwanini uone kujitangaza kuenda au kuishi ulaya ni vibaya au na wewe ni wale wanaochukizwa na mafanikio ya watu, acheni roho za kimasikini hizo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…