EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Leta solution mkuu achana na haya ma IDEinstein then umeshindwa ku-solve hiyo case!
Tizama tutorial zake YouTube ni chap tu.Leta solution mkuu achana na haya ma ID
KinaitwajeTizama tutorial zake YouTube ni chap tu.
Rubik's CubeKinaitwaje
Nahangaika nako ila bado sijakaweza nikifanikiwa ntaweka picha hapaRubik's Cube
Nipe mbinu aisee ndio kwanza nimekaona juzi sijawahi kukacheza kutokana na ubize sasa nipo likizoYan mkuu unajiita EINSTEIN halaf unashindwa ku~solve RBIC CUBES tena 3X3...[emoji2]
Badili jina chief...
Mkuu hicho kidude huwez kukipanga mpaka upate FORMULA kwa hiyo nenda kwanza ukatafute formula yake then utaweza kukipanga...Nipe mbinu aisee ndio kwanza nimekaona juzi sijawahi kukacheza kutokana na ubize sasa nipo likizo