Travis 1
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 878
- 1,373
Hii app ninayotumia haina Extreme.
Njoo kwenye extreme mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njoo kwenye extreme mkuu
Tunatofautiana carrier huenda we upo bize sana ila kama nlivyoeleza I always have spear time kwa ajili yangu na familiaI wish I would have a time to waste like you dude.
[emoji91] gamers gamers [emoji725]Gta san andrea ps2
Far cry ya xbox live
Call of juty.ps2&4
Midknight club3 ps2
Gta 5 ilivotoka tu sikulaza damu
Motor Gp ps2&ps4
Need for speed underground ps2
Metal gear solid v ps4
Taken ps2
Bila kusahau sijui kama kuna mtu ambae ni mpenda magem hajacheza
God of war & God hand mortocombat?
Kwa Leo ni hayo tu ila yako mengine nishayasahauugu
View attachment 2285920
Zombie shooter 1Weka screenshots za scores waje watu wakuchallenge.
Namaanisha games za aina yoyote za kielekronic na zingine zikijumuisha PlayStaions.
Mi jana nimekutana na haka kadude kaninusumbua mwenye aidia anipe.
Kama umekacheza na unako tupigie picha kakiwa kamevurugika na baada ya kukapanga
👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻
View attachment 2285967
Tatizo kama langu hiliDah yan hiu jf yangu sipati hata update ya notification yani nina notification za tokea june 18 cjui tatzo nn..
Zuma ipi? Umecheza hadi level gani?Zuma
Vp mkuu uliweza kulitatua..??Tatizo kama langu hili
Hapa bado hujaanza kukisolve, step ya kwanza tengeneza white cross, ambayo edge pieces zitafanana na rangi ya center pieces, halaf kuna formula unapiga (RUR'U') irudie hii formula mpk nyeupe zijipange, hapo utakua umemaliza step 1, step2 na 3 siwezi kuelezea kwa kuandika. Mm natumia dk2 kukipanga chote hiko step zipo3 formula zipo 2 tu! Unarudia rudiaWeka screenshots za scores waje watu wakuchallenge.
Namaanisha games za aina yoyote za kielekronic na zingine zikijumuisha PlayStaions.
Mi jana nimekutana na haka kadude kaninusumbua mwenye aidia anipe.
Kama umekacheza na unako tupigie picha kakiwa kamevurugika na baada ya kukapanga
👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻
View attachment 2285967
Hiyo cube huwezi kuipanga yote bila kufundishwa, haiwezekaniNahangaika nako ila bado sijakaweza nikifanikiwa ntaweka picha hapa