Ni gari gani ambayo kila unapoiona unajisemea ipo siku nitanunua yangu

Ni gari gani ambayo kila unapoiona unajisemea ipo siku nitanunua yangu

Najua Kila mtu ana ndoto ya kuwa na maisha mazuri, kumiliki nyumba nzuri, gari nzuri nk.

Kwa leo tuzungumzie upande wa magari, mimi kwa upande wangu gari ninayoipenda ni Range rover, iwe vogue au sports, wadau wanasema inakula sana mafuta, nami nawaambia gari kula mafuta ni kawaida kwani hakuna gari inayokunywa mtori au supu.

Hii ndiyo gari ya ndoto zangu, ntanunua no matter what.

View attachment 3063171
Ford f150 raptor all terrain moja qali
 
Mercedes Benz G wagon. Kama na wewe unaikubali hii chuma gonga like apo...
 

Attachments

  • images.jpeg
    images.jpeg
    70.1 KB · Views: 3
Ulivyoandika kama una uhakika 100% sema umepitiwa tu ndugu yangu zipo zimetoka kuanzia 2018 wewe hii 2024 unasema hakuna?
Jaman naomba ushauri wakuu,
Mimi mwajiriwa mpya natafuta gari ya kwendea kazini umbali wa km 15 kwenda kazini. Bajet niliyonayo ni m 5 nahitaji kutoka kwa MTU niko Arusha ni gari gani nayoweza Kuanza nayo?
Nashukuru wakuu .
 
Jaman naomba ushauri wakuu,
Mimi mwajiriwa mpya natafuta gari ya kwendea kazini umbali wa km 15 kwenda kazini. Bajet niliyonayo ni m 5 nahitaji kutoka kwa MTU niko Arusha ni gari gani nayoweza Kuanza nayo?
Nashukuru wakuu .
Nipo Arusha ila baada ya sikukuu ntasafiri ukiweza jazia upate 7m ununue IST au rav 4 vvti engine yenye 2 wheel drive hizi ni gari ngumu sana kwa mtu anaeanza ukiwa tayari 15,Jan tukijaaliwa ntakua nimerudi maana nafata Land Cruiser na Mazda CX-5 SA..
 
Nipo Arusha ila baada ya sikukuu ntasafiri ukiweza jazia upate 7m ununue IST au rav 4 vvti engine yenye 2 wheel drive hizi ni gari ngumu sana kwa mtu anaeanza ukiwa tayari 15,Jan tukijaaliwa ntakua nimerudi maana nafata Land Cruiser na Mazda CX-

Nipo Arusha ila baada ya sikukuu ntasafiri ukiweza jazia upate 7m ununue IST au rav 4 vvti engine yenye 2 wheel drive hizi ni gari ngumu sana kwa mtu anaeanza ukiwa tayari 15,Jan tukijaaliwa ntakua nimerudi maana nafata Land Cruiser na Mazda CX-5 SA..
Asante boss, Hila kwa sasa bajeti yangu ilkuwa hiyo kaka .
Sina experience yoyote tofauti na kumaliza driving course veta mwezi huu, hivo nahtaji usafiri kwa bei hiyo boss. Pia yenye fuel consumption ndogo , nakubali kukosolewa kama nmekosea
 
Back
Top Bottom