MwananchiOG
JF-Expert Member
- Apr 4, 2023
- 1,970
- 4,037
Subaru Impreza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo vyedi.Kuna baadhi ya gari naziona humu nimewahi kumiliki
Ila kama ukiwa na hamu ya kitu nunua tu mbona maisha mafupi haya jamani
Magari karibu yote ya land rover yana maisha mafupi sana na yana magonjwa ya hovyo na ni sumbufu sana,Tupande juu tushuke chini
Ranger rover Evoque ni balaa
Anaconda?Harrier new Model.... Soon.
Fafanua kidogo bossUpo vyedi.
Hata kama unalipa kidogo kidogo? Kwa installment miaka 4.ikitokea nikapata hata 50mil Tsh mkuu nisiseme uongo, ndoto za kununua gari zinakufa kabisa😅😅😅
Nina mipango mingi ya kutekeleza kwakweli
Aise wanajitahidi sanaMagari karibu yote ya land rover yana maidha mafupi sana na yana magonjwa ha hovyo na sumbufu sana,
Kuna jamaa yangu ana hii range rover vella, akifungua bonnet nayaona kabisa matatizo o ya land rover 109, ya miaka ya 70, leakeges kwenye engine na gearbox
Ila kwa sura na features aah, wapo vizuri sana
Aise ina balaa
Ila harrier new model ni nzuri aiseeFirst choice HARRIER new model
Second choice Subaru Forester
Thrlird choice Vangurd
Hata wakiniambia ina CC kubwa, hilo ndio chaguo langu. Ingawa huju ninapoishi kwa kikimanjaro kuna outlander nyingi za kutoka kenya na watu wanaanza kuzielewa.Ila harrier new model ni nzuri aisee
Outlander new model nayo ina balaa...Hata wakiniambia ina CC kubwa, hilo ndio chaguo langu. Ingawa huju ninapoishi kwa kikimanjaro kuna outlander nyingi za kutoka kenya na watu wanaanza kuzielewa.
Unapenda yale makelele mkuu?Subaru Impreza