grand millenial
JF-Expert Member
- Jul 29, 2018
- 3,943
- 5,550
Ford f150 raptor all terrain moja qaliNajua Kila mtu ana ndoto ya kuwa na maisha mazuri, kumiliki nyumba nzuri, gari nzuri nk.
Kwa leo tuzungumzie upande wa magari, mimi kwa upande wangu gari ninayoipenda ni Range rover, iwe vogue au sports, wadau wanasema inakula sana mafuta, nami nawaambia gari kula mafuta ni kawaida kwani hakuna gari inayokunywa mtori au supu.
Hii ndiyo gari ya ndoto zangu, ntanunua no matter what.
View attachment 3063171
Mitsubishi outlander ina features kama tu z harier na ni bei rahisiHata wakiniambia ina CC kubwa, hilo ndio chaguo langu. Ingawa huju ninapoishi kwa kikimanjaro kuna outlander nyingi za kutoka kenya na watu wanaanza kuzielewa.
Ukute Subaru Engine wrx latest za 2024 Ufunge twin turbo Aaaah! Mungu anipe nini tena!Unapenda yale makelele mkuu?
Au uwe umevaa suruali ya kuchanika chanika hivi, waendesha Subaru wote peponii😀😀Ukute Subaru Engine wrx latest za 2024 Ufunge twin turbo Aaaah! Mungu anipe nini tena!
Napenda Speed & Power kama Bongo barabara zingeruhusu basi Lamborghini aventador au Bugatti veyron na sportcars zingine ningetamba nazo ndotoni 😀Au uwe umevaa suruali ya kuchanika chanika hivi, waendesha Subaru wote peponii😀😀
Siyo ndotoni tu siku utaendesha kweli mkuu,dunia inabadilika barabara zinaboreshwa, hoping for the best...😀Napenda Speed & Power kama Bongo barabara zingeruhusu basi Lamborghini aventador au Bugatti veyron na sportcars zingine ningetamba nazo ndotoni 😀
Haikuwa design for comfortability, designed for work. Ni work horse , gari ya kazi,ngumu reliable na ni moja ya best SUVs, is why UN zimejaa sana, mashirika ya serikali, tours ( wana modify), bonge la platform kwa kazi ngumuHizi gari nzuri kwa shamba kutembelea ni matatizo tu ya mgongo seat ngumu...
Jaman naomba ushauri wakuu,Ulivyoandika kama una uhakika 100% sema umepitiwa tu ndugu yangu zipo zimetoka kuanzia 2018 wewe hii 2024 unasema hakuna?
Nipo Arusha ila baada ya sikukuu ntasafiri ukiweza jazia upate 7m ununue IST au rav 4 vvti engine yenye 2 wheel drive hizi ni gari ngumu sana kwa mtu anaeanza ukiwa tayari 15,Jan tukijaaliwa ntakua nimerudi maana nafata Land Cruiser na Mazda CX-5 SA..Jaman naomba ushauri wakuu,
Mimi mwajiriwa mpya natafuta gari ya kwendea kazini umbali wa km 15 kwenda kazini. Bajet niliyonayo ni m 5 nahitaji kutoka kwa MTU niko Arusha ni gari gani nayoweza Kuanza nayo?
Nashukuru wakuu .
Nipo Arusha ila baada ya sikukuu ntasafiri ukiweza jazia upate 7m ununue IST au rav 4 vvti engine yenye 2 wheel drive hizi ni gari ngumu sana kwa mtu anaeanza ukiwa tayari 15,Jan tukijaaliwa ntakua nimerudi maana nafata Land Cruiser na Mazda CX-
Asante boss, Hila kwa sasa bajeti yangu ilkuwa hiyo kaka .Nipo Arusha ila baada ya sikukuu ntasafiri ukiweza jazia upate 7m ununue IST au rav 4 vvti engine yenye 2 wheel drive hizi ni gari ngumu sana kwa mtu anaeanza ukiwa tayari 15,Jan tukijaaliwa ntakua nimerudi maana nafata Land Cruiser na Mazda CX-5 SA..
Nissani armada🙃