EAPGS
JF-Expert Member
- Jun 17, 2021
- 282
- 334
Wana Jf salaam,
Ikiwa ni weekend tulivu kabisa.
Kama tujuavyo, kumiliki gari sasa hivi ni miongoni mwa vitu vya muhimu sana.
Wamiliki wapya wanaongezeka kila kukicha, na kwa bahati mbaya wengi hujikuta wanamiliki magari ambayo baadae yanakuja kuwapa changamoto na kujutia kabisa, hiyo inatokea mara nyingi kama kipato cha mmiliki hakiendani na aina ya gari analomiliki.
Leo tuambiane ukweli, pengine kupitia uzi huu utakuwa msaada kwa mtu au watu kabla ya kufanya maamuzi ya kuingia kwenye dunia ya umiliki wa gari.
Ni gari gani ambayo hauwezi kumshauri mtu kununua na ni kwanini?
Ikiwa ni weekend tulivu kabisa.
Kama tujuavyo, kumiliki gari sasa hivi ni miongoni mwa vitu vya muhimu sana.
Wamiliki wapya wanaongezeka kila kukicha, na kwa bahati mbaya wengi hujikuta wanamiliki magari ambayo baadae yanakuja kuwapa changamoto na kujutia kabisa, hiyo inatokea mara nyingi kama kipato cha mmiliki hakiendani na aina ya gari analomiliki.
Leo tuambiane ukweli, pengine kupitia uzi huu utakuwa msaada kwa mtu au watu kabla ya kufanya maamuzi ya kuingia kwenye dunia ya umiliki wa gari.
Ni gari gani ambayo hauwezi kumshauri mtu kununua na ni kwanini?