a k a kigoda! Kwenye mambo ya comfortability ni sufuri kabisa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
a k a kigoda! Kwenye mambo ya comfortability ni sufuri kabisa!
Hii ni bonge la gari sema ndio mmekaririshwa story za vijiweniNissan march a.k.a ndoa ya kikristo.
Duh ninayo hata haijawahi kunisumbuaNissan X trail kizazi cha Kwanza na cha pili
Only civilian hukoNissan matoleo mengi yanasumbua sana kiasi mpaka mwenye gari anaisusa.
Nissan=Caravan,March,Murano,Extrail,Terano.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Acha tu yani. Gari muenekano mkali, sifa kama zote. Ila siri unaijua mwenyewe. Unajikuta gari unaichukia tu, Ukiangalia unapata hasira.Hahaha. Kama upo ugenini Inabidi usiage unaondoka tafuta sababu ya kutoka toka kuijaribu ikiwaka iache silence rudi aga.
Haikua hata Brush mkuu. Brush zikizingua mwisho wa siku haiwaki kabisa. Lakini hii ilikua inaamua iwake au isiwake.Ukiona hivyo ujue brush za kwenye starter zimekwisha. Fungua starter badlisha
Sidhani kama kuna mahali nimesema yote mabovu.Hiyo yako ilikuwa mbovu tu. Kuna watu wa X5 mwaka wa nne huu haziwadumbui.. kama zingekuwa na huo ubovu mna taka kuwaaminisha watu humu kusinge kuwa na BMW leo hii humu mitaani.. kuna watu wana X5 usajiri wa herufi A zinachapa moto kama kawa
Ni kweli kama ukitaka ufe na ugonjwa wa moyo nunua hiyo Gari.Nissan X trail kizazi cha Kwanza na cha pili
Tuambie mdau, heka heka ulizopata na Nissan X-trail!Ni kweli kama ukitaka ufe na uginjwa wa moyo nunua hiyo Gali
Unaweza ukatamani uligawe bure kwa mtu ili uondokane na mstatizo na bado huyo mtu wa kumpa ukamkosa
Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
Na Hardbody.Only civilian huko
Hujui tu vitu vinavyowakuta hao.Hiyo yako ilikuwa mbovu tu. Kuna watu wa X5 mwaka wa nne huu haziwadumbui.. kama zingekuwa na huo ubovu mna taka kuwaaminisha watu humu kusinge kuwa na BMW leo hii humu mitaani.. kuna watu wana X5 usajiri wa herufi A zinachapa moto kama kawa
Sijui kitu gani? Hata ukiwa na Suzuki mbovu itakusumbua tu.Hujui tu vitu vinavyowakuta hao.