Ni gari gani itanifaa kwa mafuta kidogo kati ya Toyota corola na Toyota cami?

Ni gari gani itanifaa kwa mafuta kidogo kati ya Toyota corola na Toyota cami?

manwest1

JF-Expert Member
Joined
Apr 25, 2014
Posts
225
Reaction score
135
Wanajamvi nataka kuagiza gari yenye cc chache ili nisipate mawazo kwani nakaa bagamoyo na nafanya kazi mwenge. Nahitaji kuagiza gari dogo na choice yangu ni toyota cami au corola. Naomba ushauri kwenye durability na mafuta please. Ikiwezekana na choice itayokuwa bora zaidi. Nawasilisha.
 
Yenye cc zisizozidi 1300. Nielimishe mkuu kuhusu spicies za corola na utofauti wake nitashukuru sana.

Basing on cc zinaanzia 1490 mpaka 1790 body type zinatofauti kuanzia sedan mpaka hatch back za 5 door inayokupa more seaters (space)!!!

Zipo zenye 4wd na front wheelers!!!!

Corolla ni gari ngumu na economy sana vipuri pia sio ghali na vipo kibao kuanzia used mpaka vipya, mafundi wanazijua sana tu hadi garage bubu!!!!

CYBERTEQ pita huku
 
Last edited by a moderator:
Basing on cc zinaanzia 1490 mpaka 1790 body type zinatofauti kuanzia sedan mpaka hatch back za 5 door inayokupa more seaters (space)!!!

Zipo zenye 4wd na front wheelers!!!!

Corolla ni gari ngumu na economy sana vipuri pia sio ghali na vipo kibao kuanzia used mpaka vipya, mafundi wanazijua sana tu hadi garage bubu!!!!

@cybeteq pita huku
Nilimuliza mtu huku kakataa kunijibu..
naomba kama unajua toyota wish ilivyo(advantage na disadvantage)please
 
Kaka, karibu gari nyingi za Toyota hasa hizi zenye cc kati ya 900 hadi 2000 ni corolla. Kwa mfani Mark II, Spacio, Brevis, Camry nk zote hizo ni corolla. Kama nia yako ni kupata gari yenye matumizi kidogo ya mafuta, unachotakiwa kuangalia ni cc, ukichukua yenye cc kubwa consumption ya mafuta ni kubwa. Kwa mfano cc 2800 na kuendelea matumizi yake huwezi kulinganisha na cc 900, 1200, 1300, na 1500
 
Nilimuliza mtu huku kakataa kunijibu..
naomba kama unajua toyota wish ilivyo(advantage na disadvantage)please
Kaka, mi nakushauri google hizo gari ndo utapata ukweli wa kila kitu kuhusu gari unazoshauriwa
 
Nilimuliza mtu huku kakataa kunijibu..
naomba kama unajua toyota wish ilivyo(advantage na disadvantage)please

Pole advantage au disadvantage ya gari inategemea matumizi yako na kama unalinganisha na gari nyingine!!!!!

Mi bado naona Wish ni gari nzuri tu kama ilivyo OPA au SPACIO kama huna mikiki na safari za njia ngumu!!!
 
Kaka, karibu gari nyingi za Toyota hasa hizi zenye cc kati ya 900 hadi 2000 ni corolla. Kwa mfani Mark II, Spacio, Brevis, Camry nk zote hizo ni corolla. Kama nia yako ni kupata gari yenye matumizi kidogo ya mafuta, unachotakiwa kuangalia ni cc, ukichukua yenye cc kubwa consumption ya mafuta ni kubwa. Kwa mfano cc 2800 na kuendelea matumizi yake huwezi kulinganisha na cc 900, 1200, 1300, na 1500

Hebu funguka zaid mkuu sababu gari kama Allion imo kwenye hiyo range lakini ukiingia mitandaoni kama tradecarview hii haiwekwi chini ya corolla! !!!!

Elimu tafadhali mkuu
 
Basing on cc zinaanzia 1490 mpaka 1790 body type zinatofauti kuanzia sedan mpaka hatch back za 5 door inayokupa more seaters (space)!!!

Zipo zenye 4wd na front wheelers!!!!

Corolla ni gari ngumu na economy sana vipuri pia sio ghali na vipo kibao kuanzia used mpaka vipya, mafundi wanazijua sana tu hadi garage bubu!!!!

CYBERTEQ pita huku
Hapo naunga mkono hoja....
 
Pole advantage au disadvantage ya gari inategemea matumizi yako na kama unalinganisha na gari nyingine!!!!!

Mi bado naona Wish ni gari nzuri tu kama ilivyo OPA au SPACIO kama huna mikiki na safari za njia ngumu!!!

Kuna hizi gari zinaitwa Nissan Dual vip spea zake?
 
Mleta uzi ungeona uzi wa Sam wa juzi kati kuhusu gari ndogo ndogo hizi (IST, Vitz....) nadhani ungekuwa kwenye nafasi nzuri ya kufanya uchaguzi...
 
Last edited by a moderator:
Basing on cc zinaanzia 1490 mpaka 1790 body type zinatofauti kuanzia sedan mpaka hatch back za 5 door inayokupa more seaters (space)!!!

Zipo zenye 4wd na front wheelers!!!!

Corolla ni gari ngumu na economy sana vipuri pia sio ghali na vipo kibao kuanzia used mpaka vipya, mafundi wanazijua sana tu hadi garage bubu!!!!
CYBERTEQ pita huku

Nimekupata mkuu. Kwangu mimi nadhani cc 1490 sedan itanifaa. Toka nyumbani hadi kazini ni lami hivyo nadhani itadumu. Probox unazionaje mkuu?
 
Last edited by a moderator:
Wanajamvi nataka kuagiza gari yenye cc chache ili nisipate mawazo kwani nakaa bagamoyo na nafanya kazi mwenge. Nahitaji kuagiza gari dogo na choice yangu ni toyota cami au corola. Naomba ushauri kwenye durability na mafuta please. Ikiwezekana na choice itayokuwa bora zaidi. Nawasilisha.

Agiza corolla 110 yenye cc 1490 itakusaidia sana!
 
Back
Top Bottom