Ni gari gani itanifaa kwa mafuta kidogo kati ya Toyota corola na Toyota cami?

Ni gari gani itanifaa kwa mafuta kidogo kati ya Toyota corola na Toyota cami?

Ukiweza kuipata corolla 111 4efe cc1332 huwezi juta. Dar moro lita 11.6
 
Pole advantage au disadvantage ya gari inategemea matumizi yako na kama unalinganisha na gari nyingine!!!!!

Mi bado naona Wish ni gari nzuri tu kama ilivyo OPA au SPACIO kama huna mikiki na safari za njia ngumu!!!
ASANTE..just curious,kati ya wish na ist kwenye uwezo wa kuhimili mikiki,ipi bora?
 
ASANTE..just curious,kati ya wish na ist kwenye uwezo wa kuhimili mikiki,ipi bora?

Kama zingekuwa zimetengenezwa kwa material moja na thickness na vitu kama hivyo kwenye bodi basi ningeweza kusema ist sababu ya shorter base inayoipa weight ndogo na hivyo kuipa uimara juu ya shock ups,ball joints,coils na vitu kama hivyo!!!!

Lakini pia frame (fuvu) za hizo gari mbili pia zitakuwa na urefu tofauti!!!!!
Logically short is strong if material is the same lakini body mounts nazo zina sehemu yake!!!!!

Kwa mfano GR shavu lake refu ila gumu sana!!!!

Mi ningevote kwa ist mkuu!!!!
 
Basing on cc zinaanzia 1490 mpaka 1790 body type zinatofauti kuanzia sedan mpaka hatch back za 5 door inayokupa more seaters (space)!!!

Zipo zenye 4wd na front wheelers!!!!

Corolla ni gari ngumu na economy sana vipuri pia sio ghali na vipo kibao kuanzia used mpaka vipya, mafundi wanazijua sana tu hadi garage bubu!!!!
CYBERTEQ pita huku

Me nakikorora mwaka wa 2 wakuu,spea mpaka sokoni napata,wese la ten nakata wiki kamata collora baba ufurahiye maisha.
 
Last edited by a moderator:
Kama zingekuwa zimetengenezwa kwa material moja na thickness na vitu kama hivyo kwenye bodi basi ningeweza kusema ist sababu ya shorter base inayoipa weight ndogo na hivyo kuipa uimara juu ya shock ups,ball joints,coils na vitu kama hivyo!!!!

Lakini pia frame (fuvu) za hizo gari mbili pia zitakuwa na urefu tofauti!!!!!
Logically short is strong if material is the same lakini body mounts nazo zina sehemu yake!!!!!

Kwa mfano GR shavu lake refu ila gumu sana!!!!

Mi ningevote kwa ist mkuu!!!!
sikuwahi kujua hili honestly,the shorter the better
kwa mfano ukitaka gari ambayo ni kubwa kidogo na imara utachukua ipi?(nivumilie na viquestions vyangu) ukitoa rav4
 
G Sam ushauri kuhusu magari
 
Last edited by a moderator:
Hebu funguka zaid mkuu sababu gari kama Allion imo kwenye hiyo range lakini ukiingia mitandaoni kama tradecarview hii haiwekwi chini ya corolla! !!!!

Elimu tafadhali mkuu
kinachofanyika mkuu ni kuwachanganya wanunuzi kwa kuweka majina tofauti. Kuthibitisha hilo angalia gari yako ikiharibika na kuhitaji kipuri, utaambiwa gari fulani inaingiliana na gari fulani, watakachotaka kutoka kwako ni gari ya mwaka gani. Hizo ni mbinu za kibiashara tu mkuu. Hebu kumbuka kulikuwa na aina ya gari inaitwa Corolla II, kigari kipo kama kispots fulani hivi, hiyo haifanani na Toyota Allex, au Runnex? Hiyo Allion ukiangalia utagundua kuwa ina tofauti ya body tu na hizo nilizokutajia
 
sikuwahi kujua hili honestly,the shorter the better
kwa mfano ukitaka gari ambayo ni kubwa kidogo na imara utachukua ipi?(nivumilie na viquestions vyangu) ukitoa rav4

Spacio, Raum, Allex, RunX! !!

Mkuu kwa mimi pamoja na usafiri gari ni kama pambo pia!!!!

Allex na RunX zinakubali rims na muonekano is more sportage!!!!
Pale nyuma unatupia sound life goes on!!!!!
 
kinachofanyika mkuu ni kuwachanganya wanunuzi kwa kuweka majina tofauti. Kuthibitisha hilo angalia gari yako ikiharibika na kuhitaji kipuri, utaambiwa gari fulani inaingiliana na gari fulani, watakachotaka kutoka kwako ni gari ya mwaka gani. Hizo ni mbinu za kibiashara tu mkuu. Hebu kumbuka kulikuwa na aina ya gari inaitwa Corolla II, kigari kipo kama kispots fulani hivi, hiyo haifanani na Toyota Allex, au Runnex? Hiyo Allion ukiangalia utagundua kuwa ina tofauti ya body tu na hizo nilizokutajia

Ok unakuta pia corolla aichi, au nagawa pia mi nilidhani Corolla ni make kama ilivyo Mark11 au Surf au Land Cruiser lakini ulipoweka category based on engine capacity ndio ukanichanganya!!!!!
 
Ndugu nunua Vitz new model cc 990 hutojuta.achana na maneno ya waswahili kwamba ni za ke.
 
Ndugu nunua Vitz new model cc 990 hutojuta.achana na maneno ya waswahili kwamba ni za ke.

Sasa gari ya cc 990 unapiga routs za bed room kwa sitting room au? halafu muwe mnaangalia mazingira yetu na durability matters...Vijana wenzangu punguzeni mapepe! Pia muangalie na hadhi..mtoto wa kiume unajirahisishaaaaaa!!!

okofyakaaaa!!!!!!
 
Back
Top Bottom