MANI
Platinum Member
- Feb 22, 2010
- 7,318
- 6,391
Ni kweli kaka ndio maana nikamwambia kama hana mikiki mikiki ya njia ngumu,say anakaa zake kinondoni kazi town au ilala kazi Nyerere road hii inaweza kumfaa! !!!
Ila akina sie hii ikimaliza mwaka!!!!!!
Frankly mimi hii labda kwa shemeji yako (no offense) mimi kama mimi naona daaaaanh
Halafu haikawii kupoteza sura.