Ni gari gani itanifaa kwa mafuta kidogo kati ya Toyota corola na Toyota cami?

Ni gari gani itanifaa kwa mafuta kidogo kati ya Toyota corola na Toyota cami?

Ni kweli kaka ndio maana nikamwambia kama hana mikiki mikiki ya njia ngumu,say anakaa zake kinondoni kazi town au ilala kazi Nyerere road hii inaweza kumfaa! !!!

Ila akina sie hii ikimaliza mwaka!!!!!!

Frankly mimi hii labda kwa shemeji yako (no offense) mimi kama mimi naona daaaaanh

Halafu haikawii kupoteza sura.
 
Nunua carina Ti cc 1498,ukishindwa nunua Suzuki kei cc 650.

Ni body type nzuri pia ingawa inadondokea Humo humo tu kuanzia engine mpaka miguu na spea za chini!!!!!

Hizi za cc chini ya 1490 kama ndio gari ya kwanza na pekee sishauri, mzee wangu alinambiaga hivi gari hata Morogoro tu kwenda nayo inakuwa shida we ya nini????!!!
 
OLESAIDIMU prondo njooni huku wese la 10,000.00 wiki hii ni kweli au kuashia moto asubuhi tu,maana ni kama lita 4.5 sasa mwenzetu huyu kwa siku anaenda km ngapi ofisini/home/ofisini.

Binafsi nimeshangaa halafu, Mi ninavyojua fuel consumption ipo calculated according the km(distance ) covered na sio number of days. Wese la ten wiki? No thank you teacher
Huyo labda anaitumia kuendea kwa duka la jirani pale kwa mpemba na kurudi nyumbani.
 
Ni body type nzuri pia ingawa inadondokea Humo humo tu kuanzia engine mpaka miguu na spea za chini!!!!!

Hizi za cc chini ya 1490 kama ndio gari ya kwanza na pekee sishauri, mzee wangu alinambiaga hivi gari hata Morogoro tu kwenda nayo inakuwa shida we ya nini????!!!

Mkuu kama mimi chini ya cylinder 6 naona kama baby walker ya G Sam.
 
Last edited by a moderator:
Hivi subaru forester na impreza ipi ni balaa kwa kufunguka speed? Mi nazani impreza ni noma mbaya.

Kaka hizo gari zote ni moto kwa speed ila imprezza hiyo sio engine ya kuendea kazini tena!!!!!

Wrx sti, 2.5l , six speed manual hii sasa kama unataka speed jiweke humo!!!
 
Mkuu kama mimi chini ya cylinder 6 naona kama baby walker ya G Sam.

Kwa kweli kama huyu ndugu huko anakokaa na mfuko unakuwa sawa aaaaaanh six ni habari nyingine kabisa!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Kaka hizo gari zote ni moto kwa speed ila imprezza hiyo sio engine ya kuendea kazini tena!!!!!

Wrx sti, 2.5l , six speed manual hii sasa kama unataka speed jiweke humo!!!

Kaka niliwahi kuwa na nissan bluebird sss ilukuwa auto manual 6 speed we acha ukiweka kwenye manual kama una roho ndogo hurndeshi.
 
Kaka niliwahi kuwa na nissan bluebird sss ilukuwa auto manual 6 speed we acha ukiweka kwenye manual kama una roho ndogo hurndeshi.

Unanipa picha ya Cedric Grand-Tourismo anayo mwanangu mmoja, six machine aaaaanh ile mashine mzee kwa pulling iko sawa sana na comfy vibaya sana!!!!!
 
Unanipa picha ya Cedric Grand-Tourismo anayo mwanangu mmoja, six machine aaaaanh ile mashine mzee kwa pulling iko sawa sana na comfy vibaya sana!!!!!

Unajua cedric na crown mjapan alitengeneza benz ya kwake maana speed na stability usipime 130 unapishana na mibasi haitingishiki.
 
Back
Top Bottom