Ni gari gani itanifaa kwa mafuta kidogo kati ya Toyota corola na Toyota cami?

Ni gari gani itanifaa kwa mafuta kidogo kati ya Toyota corola na Toyota cami?

Tatizo wabongo hawawezi manual ndio maana wanashabikia kwamba foresta inatembea wakati mabingwa wa manual transmission impreza ni noma mbaya hata foresta hasogei.
Weeee usichezeee kabisaaa na zenye turbo hiyo ni habare ingine unakaaa na mwenye v8 road na unamtesa tuu
 
Basing on cc zinaanzia 1490 mpaka 1790 body type zinatofauti kuanzia sedan mpaka hatch back za 5 door inayokupa more seaters (space)!!!

Zipo zenye 4wd na front wheelers!!!!

Corolla ni gari ngumu na economy sana vipuri pia sio ghali na vipo kibao kuanzia used mpaka vipya, mafundi wanazijua sana tu hadi garage bubu!!!!
CYBERTEQ pita huku

Umemjibu vizuri mkuu. Corolla Sedan za kawaida 1997-2000, ni cc1490 hivi, na ni ngumu sana, hazili mafuta. Engine yake ni 5A ambayo inaingiliana na Starlet( gari nyingine ambayo haili mafuta). Ama Toyota Corolla yenye cc 1300 ni Toyota Corolla Runx, nyingi ziko poa sana, ukiiangalia imefanana na Toyota Allex. Hii ni kali kwa ndani na ni model ya kisasa. Bei yake iko timamu kidogo, ukiagiza hadi uiweke barabarani ni kama 9-10/11m/-. Ni nzuri sana hata fuel consumption iko chini, parking mjini ni rahisi kwani ni fupi kidogo. Hivyo kama uko poa agiza Corolla Runs, Allex na ukishindwa nunua Corolla Sedan 110,111 au 112!
 
Last edited by a moderator:
Nilimuliza mtu huku kakataa kunijibu..
naomba kama unajua toyota wish ilivyo(advantage na disadvantage)please

Wish ni gari ndefu hivi ni kama Family car hivi. Inafanana kwa mbali na Ipsum na Caldina, ila nyingi Wish ni mpya na za kisasa zaidi ila cc ni kubwa, range ya cc 1800-1998. Ni gari ndefu, nafasi kubmwa ndani, usumbufu kwa parking za mjini.
 
Umemjibu vizuri mkuu. Corolla Sedan za kawaida 1997-2000, ni cc1490 hivi, na ni ngumu sana, hazili mafuta. Engine yake ni 5A ambayo inaingiliana na Starlet( gari nyingine ambayo haili mafuta). Ama Toyota Corolla yenye cc 1300 ni Toyota Corolla Runx, nyingi ziko poa sana, ukiiangalia imefanana na Toyota Allex. Hii ni kali kwa ndani na ni model ya kisasa. Bei yake iko timamu kidogo, ukiagiza hadi uiweke barabarani ni kama 9-10/11m/-. Ni nzuri sana hata fuel consumption iko chini, parking mjini ni rahisi kwani ni fupi kidogo. Hivyo kama uko poa agiza Corolla Runs, Allex na ukishindwa nunua Corolla Sedan 110,111 au 112!

CHAZA hii sasa ndio inalipa jukwaa maana.
manwest1
 
Last edited by a moderator:
Umemjibu vizuri mkuu. Corolla Sedan za kawaida 1997-2000, ni cc1490 hivi, na ni ngumu sana, hazili mafuta. Engine yake ni 5A ambayo inaingiliana na Starlet( gari nyingine ambayo haili mafuta). Ama Toyota Corolla yenye cc 1300 ni Toyota Corolla Runx, nyingi ziko poa sana, ukiiangalia imefanana na Toyota Allex. Hii ni kali kwa ndani na ni model ya kisasa. Bei yake iko timamu kidogo, ukiagiza hadi uiweke barabarani ni kama 9-10/11m/-. Ni nzuri sana hata fuel consumption iko chini, parking mjini ni rahisi kwani ni fupi kidogo. Hivyo kama uko poa agiza Corolla Runs, Allex na ukishindwa nunua Corolla Sedan 110,111 au 112!

Nashukuru sana kwa kunifungua akili. Nina swali kidogo. Kuna tofauti gani katika gari za edition ya europ ns africa?
 
Hongera ni hatua moja ya maendeleo;
Nami pia nikushauri kidogo, angalia usinunue kagari
kadogo sana kwani bagamoyo na mwenge siyo karibu,
linatakiwa gari gumu na imara walau 4wheel;

Ungeweza kununua hizi wanaita rav4 naona kama ni imara
sana, naamini ikiwa mpya hazili mafuta.
 
Hongera ni hatua moja ya maendeleo;
Nami pia nikushauri kidogo, angalia usinunue kagari
kadogo sana kwani bagamoyo na mwenge siyo karibu,
linatakiwa gari gumu na imara walau 4wheel;

Ungeweza kununua hizi wanaita rav4 naona kama ni imara
sana, naamini ikiwa mpya hazili mafuta.

Thanx dada nitajitahidi. Japo kwangu ni 40 km hadi mwenge na from home to town ni lami.
 
Nashukuru sana kwa kunifungua akili. Nina swali kidogo. Kuna tofauti gani katika gari za edition ya europ ns africa?

Wajuz watakuja kukufafanulia. Kidogo kuna utofauti. Tofauti hata ya majina pia na mfumo wa gari. Toyota Corona Premio nadhani unaifahamu! Tuanzie hapo: Hii gari ni ya Kijapan, ina speed 180km/h, na nyingi ziko sana huku Africa. Wajapan hao hao wakatengeneza Corona Premio wakaiita Avensis, hii ni Toyota Corona Premio kimsingi kwa soko la Europe, speed yake ni kuanzia 120mph hadi 160mph( kumbuka siyo 120 au 160km/h bali ni maili kwa saa, 1mile=1.6km). Na pia magari mengine unakuta jina hilo hilo lakini la kwenda kuuzwa ulaya lina vitu vimeongezwa na vingine kupunguzwa, kwa mfano AC na mfumo wa heater. Toyota GX 110 au GX 105( Grande Mark II), sote tunazifahamu na zipo nyingi Afrika. Lakini Wajapan wakatengeneza Toyota Brevis ambayo kimsingi ni Grande MarkII ile ile ila wakaongeza CC hadi kufikia cc2500 kwa zilizo nyingi kutoka ile cc 2000 ya GX 105/110.
 
Thanx dada nitajitahidi. Japo kwangu ni 40 km hadi mwenge na from home to town ni lami.

RAV4 inakula mafuta hilo halina ubishi. Adui mkubwa wa RAV4 ni foleni huku AC ikiwa iko ON. Lakini ukiwa safarini, poa kabisa. Natumia gari hilo, hivyo nalijua linakula mafuta kwenye foleni. Na hii ni kuanzi Old Model hadi Killi Tyme.
 
Kama zingekuwa zimetengenezwa kwa material moja na thickness na vitu kama hivyo kwenye bodi basi ningeweza kusema ist sababu ya shorter base inayoipa weight ndogo na hivyo kuipa uimara juu ya shock ups,ball joints,coils na vitu kama hivyo!!!!

Lakini pia frame (fuvu) za hizo gari mbili pia zitakuwa na urefu tofauti!!!!!
Logically short is strong if material is the same lakini body mounts nazo zina sehemu yake!!!!!

Kwa mfano GR shavu lake refu ila gumu sana!!!!

Mi ningevote kwa ist mkuu!!!!


Vip corolla Allex ama Runx?
 
Bora wewe umeona maana hata kama 11 km/l sidhani kama itadumu wiki unless awe anazunguka maeneo ya nyumba yake.

mhh,ametembea km 44 kwa wiki,wastani wa km6 kwa siku,ni kweli alikuwa maeneo ya mtaani kwake
 
Subaru Forester _Confidence in Motion


Unataka gari isiyokula mafuta basi ipe supu au mchemsho
Mimi ni mraibu mkubwa wa subaru forester,sijali kuhusu ulaji wa mafuta ila watu wananitisha kuhusu upatikanaji wa spare,ni hapo tu ndo natishika.
 
Kaka, karibu gari nyingi za Toyota hasa hizi zenye cc kati ya 900 hadi 2000 ni corolla. Kwa mfani Mark II, Spacio, Brevis, Camry nk zote hizo ni corolla. Kama nia yako ni kupata gari yenye matumizi kidogo ya mafuta, unachotakiwa kuangalia ni cc, ukichukua yenye cc kubwa consumption ya mafuta ni kubwa. Kwa mfano cc 2800 na kuendelea matumizi yake huwezi kulinganisha na cc 900, 1200, 1300, na 1500

Hizo kwenye red sio Corolla. Corolla ni small car category, Mark II, Brevis na Camry ni mid-size. Spacio ndio corolla.
 
Kwa Bagamoyo unahitaji gari yenye nguvu sana cc 2000 au 2500 kukushauri nunua Mark ii grande,verossa,brevis au mark x ukishanunua nenda dit au udsm wakufungie mfumo wa gesi kwa 2m na mitungi ya kilo 50! hapo uta save swala la mafuta maana kilo 50 za gesi utatembea km 750 kama unaenda kazini utatembelea kwa siku 18 na gharama ya kujaza kilo50 ni 72,250/= Na gari yako itakuwa dual kama gesi ikiisha una swich on to petrol and vice versa.
 
nina e100 corolla ya 98 cc 1490 ni gari ngumu cjawahi kuona...unaweza kumuita fundi asubuhi akaweka juhudi zoote mpaka jioni akaenda kulala then akaaamka asubuhi akamalizia then wanakupa chaji ya jumla sh lak5 ....WAKATI KWA BMW AU BENZ iyo ni shock ubsorber moja tu...na apo umebadilisha joint , bush, bearing, shock up na vingine alafu bill inakuja iyo... na apo ni mara moja kwa mwaka au zaidi ndo naifanyia service iyo na apo naipiga mzigo arusha to karatu, karatu to mbulu regulary na wakati mwingine dar to arusha...no kuchemsha no kuweka maji no kuvuja oil... kwa gari ya masikini nadhani mjapan alikaa chini akaijiuliza,,,NAMSAIDIAJE MASKINI WA KIJIJINI? akajijibu...NA TUFANYE GARI KWA MFANO WA MKULIMA... naiheshimu sana E100 na imenitoa mbali mpaka benzi yangu na pajero yangu naziona mayai a.k.a mtoto wa mama tu...mafuta yake ni 12.5 km per litre na nkienda mbio like dar to arusha ni 14km per litre...asante corolla kwa kunirahisishia maisha!! NINA SIFA ZAKE NYINGI ILA SIJUI NISEME IPI NIACHE IPI...NOTE THAT NIMETAFUTA SOKONI/JAPAN ZIMEISHA..UTAKUTA TATU AU 4 NA BEI JUUUUU ZAIDI YA NEW MODELS NA UKIIMPORT NI HASARA TU.....
 
Back
Top Bottom