Ni gari gani itanifaa kwa mafuta kidogo kati ya Toyota corola na Toyota cami?

Ni gari gani itanifaa kwa mafuta kidogo kati ya Toyota corola na Toyota cami?

True, walau uwe na gari ya cc 2000 na ya cc chini ya 1000.

Kama ni hilo hilo, likitokea la kutokea, gari inageuka baskeli, lakini kwa anayeanza kusimama, laweza kutosha. Sie wenye familia na wageni kila siku ndio unawaza walau lazima uwe na gari kubwa kubwa pia.

Wakati naanza kujitegemea, nilikomaa na cc 2000, nilikoma, lakini nilifika japo kwa mbinde. SO namshauri atulie na na less than cc1000, sababu shida yake ni to-fro kazini.

Ni body type nzuri pia ingawa inadondokea Humo humo tu kuanzia engine mpaka miguu na spea za chini!!!!!

Hizi za cc chini ya 1490 kama ndio gari ya kwanza na pekee sishauri, mzee wangu alinambiaga hivi gari hata Morogoro tu kwenda nayo inakuwa shida we ya nini????!!!
 
Au tuanzishe jf motor club ikutane mara kwa mara lazima tutambaini.
Hilo wazo zuri unaweza kukuta hata kushika usukani hawezi, anaendeshwa na dereva wa nyumbani kwao....
 
Unajua cedric na crown mjapan alitengeneza benz ya kwake maana speed na stability usipime 130 unapishana na mibasi haitingishiki.
Yawezekana kabisa mkuu ike Cedric haisikii mlima wala nini yaani ni gari haswa kwa kima cha kati
 
True, walau uwe na gari ya cc 2000 na ya cc chini ya 1000.

Kama ni hilo hilo, likitokea la kutokea, gari inageuka baskeli, lakini kwa anayeanza kusimama, laweza kutosha. Sie wenye familia na wageni kila siku ndio unawaza walau lazima uwe na gari kubwa kubwa pia.

Wakati naanza kujitegemea, nilikomaa na cc 2000, nilikoma, lakini nilifika japo kwa mbinde. SO namshauri atulie na na less than cc1000, sababu shida yake ni to-fro kazini.

Kaka ninalo surf ila kwa sasa nakaa mbali naona linanipa mawazo ndio maana nataka dogo la kazini maana ni daily.
 
Basi kama ni hivyo, kuna vi terios, vits, passo, Carina Ti, Starlet, suzuki Kei, any, unajitwalia kamoja kwa nafasi.

Bold, point of correction, mie ni mama

Kaka ninalo surf ila kwa sasa nakaa mbali naona linanipa mawazo ndio maana nataka dogo la kazini maana ni daily.
 
Basi kama ni hivyo, kuna vi terios, vits, passo, Carina Ti, Starlet, suzuki Kei, any, unajitwalia kamoja kwa nafasi.

Bold, point of correction, mie ni mama

Thanx kwa ushauri wako na unisamehe, correction point noted.
 
Kwa mini usiamie dar

Nimejenga bagamoyo na ninamiradi kibao inayohitaji supervision. Pia nimechoka kupanga panga na tabu za maji na usalama na utulivu wa family na kids.
 
True, walau uwe na gari ya cc 2000 na ya cc chini ya 1000.

Kama ni hilo hilo, likitokea la kutokea, gari inageuka baskeli, lakini kwa anayeanza kusimama, laweza kutosha. Sie wenye familia na wageni kila siku ndio unawaza walau lazima uwe na gari kubwa kubwa pia.

Wakati naanza kujitegemea, nilikomaa na cc 2000, nilikoma, lakini nilifika japo kwa mbinde. SO namshauri atulie na na less than cc1000, sababu shida yake ni to-fro kazini.

Kama maisha yake na wazazi wapo Dar au wapo ambapo kuna flights sawa maana maisha ya kitanzania pamoja na kazini hasa mtoto wa kiume yabidi mambo yako yazingatie wazazi pia!!!!

Unakaa Dar mida hii unaambiwa mzee wako anaumwa ghafla kalazwa inabidi uje, haya sasa saa hizi uanze kuchochea hizo 900cc mpaka ufike leo????!!!
 
Kaka ninalo surf ila kwa sasa nakaa mbali naona linanipa mawazo ndio maana nataka dogo la kazini maana ni daily.

Aaaaank kaka kumbe kesi rahisi ulificha ushahid bhana kama una Surf tayari na una familia mi ningekushauri Spacio straight tena yenye third row kwa ajili ya vitu vya watoto just in case!!!!

Cc1490 vvti saafi kabisa hata shemeji akikaa humo hana shida pia si unajua a family man lives for others who depends on him!!!!!!
 
Aaaaank kaka kumbe kesi rahisi ulificha ushahid bhana kama una Surf tayari na una familia mi ningekushauri Spacio straight tena yenye third row kwa ajili ya vitu vya watoto just in case!!!!

Cc1490 vvti saafi kabisa hata shemeji akikaa humo hana shida pia si unajua a family man lives for others who depends on him!!!!!!

Got you mkuu. Is it a durable car?
Thats true we live for others, thats a family man spirit and thats why i need something nice for the family. Thanks for the advice.
 
Got you mkuu. Is it a durable car?
Thats true we live for others, thats a family man spirit and thats why i need something nice for the family. Thanks for the advice.

It is mkuu!!!!
Just put it in your mind that this is a car and surf is a machine!!!!

Handle it with care the value for your money will be realized!!!!!
 
  • Thanks
Reactions: apk
It is mkuu!!!!
Just put it in your mind that this is a car and surf is a machine!!!!

Handle it with care the value for your money will be realized!!!!!

Hahahaaaa an off road machine.
 
Anhaa sio ujisahau uanze kutafuta mluzi wa turbo!!!!!

Usikie unaweza kulala mchana jua kali na ukajifunika shuka kwa mawazo. Ila kwa shamba linanifaa sana kamanda. Nikienda mkoa full heshima.
 
Back
Top Bottom