Ukaridayo
JF-Expert Member
- Oct 8, 2012
- 515
- 476
Naam
Kama title inavyojieleza hapo juu...
Actualy ni swali, At list ningependa kujua kutoka kwenu gari ndogo zenye 1790Cc -1500Cc ambazo mtu anaweza kutoboa safari za Dar-Arusha ama Dar-Mbeya au Dar-Mwanza angalau mara 2 ndani ya kila mwezi..
Nina mana ya kama ni Dar-Arusha basi ndani ya mwezi inaweza kusafiri mara 2...
Kama title inavyojieleza hapo juu...
Actualy ni swali, At list ningependa kujua kutoka kwenu gari ndogo zenye 1790Cc -1500Cc ambazo mtu anaweza kutoboa safari za Dar-Arusha ama Dar-Mbeya au Dar-Mwanza angalau mara 2 ndani ya kila mwezi..
Nina mana ya kama ni Dar-Arusha basi ndani ya mwezi inaweza kusafiri mara 2...