Ni Gari gani? ndogo for long safari

Ni Gari gani? ndogo for long safari

Honda hrv hii machine Ni hatari 1000km non stop hakuna injine kuchemka wala kubadili mlio
Tuwekee picha, gharama za maintenance na vipuli... Na Cc zake kushibisha maelezo yako please.
 
Bentley_Continental_GT_%28II%29_-_Frontansicht_%281%29,_30._August_2011,_D%C3%BCsseldorf_newbg.jpg

HIYO NI BENTLY

$_86.JPG

PEUGOT = 1.1 Engine size. very comfortable na reliable
Hapo vipi mwisho wa yote. ukiwa na hiyo basi. kazi yako ni kuweka mafuta tu. na service kila baada ya miaka miwili.
kila la kheri
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] daaaah Mkuu una balaaa kubwa mnoo... Servirce baada ya miaka 2, nyoosha maelezo pls.
 
Caldina ni gari nzuri kwa safari hizo, ni Service tu mkuu ndio muhimu. Nimesafiri nayo Mwanza singida, kahama dodoma sijawahi kupata tatizo nayo. hii yangu ni D4 VVTI, very smart car for you. Inaenda mpaka 15km/hr na ni 2000cc.

Duh chief utakua msaada kwangu,nna mahaba na Voltz ila nimekula salio sasa jamaa akanipa option ya Caldina kua iko poa ili aniagizie watu wananiambia D4 VVTI ni engine magmashi sana zinasumbua ila hiyo ni CC 1990 ya mwaka 2003 nakusogezea na picha unipe uhalisia,bei kakomaa 11 anasmea hapo kanionyesha ushikaji pia.
ImageUploadedByJamiiForums1470325327.448575.jpg

ImageUploadedByJamiiForums1470325382.623250.jpg

Nitashukuru nikipata muongozo.
 
Mi huwa natumia Toyota Ractis na sijawahi kujuta balance na ulaji wa mafuta na kukimbia
MMh we acha kutumia hii gari kwa masafa marefu, sidhani kama iliandaliwa kwa kazi hiyo. Pia zingatia nyingi ya hizo body yake sio nzuri kwa ugumu
 
Ferrari ukiendesha inakuwaje mkuu?
Ferrari wana option ya Dual Clutch system ambayo gear zipo kwenye steering unafanya Ku push high na low gear badala kuhangaika kukanyaga mafuta mengi u just control gears at ur hands
 
Naam
Kama title inavyojieleza hapo juu...

Actualy ni swali, At list ningependa kujua kutoka kwenu gari ndogo zenye 1790Cc -1500Cc ambazo mtu anaweza kutoboa safari za Dar-Arusha ama Dar-Mbeya au Dar-Mwanza angalau mara 2 ndani ya kila mwezi..

Nina mana ya kama ni Dar-Arusha basi ndani ya mwezi inaweza kusafiri mara 2...
wakuu vipi Toyota sienta...naombeni uzoefu kwa waliowahi itumia hiyo gari uimara wake na uwezo wake wa kuhimili mikiki ya safari za mbali
 
Ferrari wana option ya Dual Clutch system ambayo gear zipo kwenye steering unafanya Ku push high na low gear badala kuhangaika kukanyaga mafuta mengi u just control gears at ur hands
Nitaichunguza hiyo ractis nione, je sienta vp ina options km hizo za ractis, pamoja na kuwa nimekosea spelling zake.
 
Vipi hizo Volkswagen maintanance na upatikanaji wa spear hasa hapa kwetu Tz??? Tujuze tafadhali
 
MMh we acha kutumia hii gari kwa masafa marefu, sidhani kama iliandaliwa kwa kazi hiyo. Pia zingatia nyingi ya hizo body yake sio nzuri kwa ugumu
Nilitaka niseme jamaa kapiga nayo masafa marefu halafu gari yenyewe kama ile hapana aisee! Ile body na mwonekano wake kupiga nayo masafa marefu inahitaji uwe na roho ngumu sana
 
Back
Top Bottom