Mi sivipendi vilivyopigwa pasiIst ni nzuri kwani inakunywa vizuri mafuta litre 40 inakufikisha vizuri kabisa vile vile ina balance nzuri
Sijakuelewa hapo mkuu vimepigwa pasi kivipi?Mi sivipendi vilivyopigwa pasi
Show ya nyumaSijakuelewa hapo mkuu vimepigwa pasi kivipi?
NimekusomaShow ya nyuma
Point of interest... Nimekuelewa mkuu...Mkuu gar karibia zote za VW zinatoboa vizur. Mfano VW newbeetle, golf, passat, touran etc zina 1.5L to 2.0L na top speed of 240km/h to 260km/h.
Ni ww tu hapo kuchagua ipi na mfuko wako ukoje....
CC 1980Kinyungu weka Cc zake hiyo kitu kushibisha comment yako..
Wakuu haya si magari ya hela ndefu??Bently
BMM mkuu
Kuna kitu Toyota Caldina mkuu! Kinatulia mpaka unafuta speed meter yote bila kuyumba.