damper
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 773
- 835
[emoji16][emoji16][emoji16] kweli wewe nyanya mshumaaMagufuli anapendwa na wajinga na watu walioko serikalini wanaojilipa ulaji mkubwa.
acha watu wakutumie.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji16][emoji16][emoji16] kweli wewe nyanya mshumaaMagufuli anapendwa na wajinga na watu walioko serikalini wanaojilipa ulaji mkubwa.
najua wewe ni wa jinsia ya kike, umbea na mipasho ni asili yenu. But hebu jaribu kupunguza umbea na ushankunaku.Uchu wa madaraka lakini pia kutumika kwao na wakoloni mambo leo ni mtihani, watawaeleza nini mabwana zao hao?
Angekuwa hapendi vya kunyonga. Je! ingetolewa fomu moja tu mtia nia wa nafasi ya uraisi ndani ya chama chake?Rais Magufuli hapendi vya kunyonga kama Wapinzani
Tunataka Uchaguzi ili tuwanyooshe walimbukeni wa siasa
Ifike mahali watanzania tuwe na akili nzuri sio kusapoti udikteta na mambo mengine ya hovyo. Tanzania imeharibika sana kiuchumi na kijamii tangu mwaka 2015. Tunahitaji mkombozi katika nchi hii na kwa bahati mbaya watu hawaelewi jambo hili.Simuoni mtu mwingine kati ya watia nia ya urais kutoka vyama vyote mwenye uwezo wa kutupa uongozi katika level ya uchumi wa kati zaidi ya Rais Magufuli.
Nitazungumza na viongozi wa vyama vyote vya siasa ili tuweze kumpa heshima ya kipekee Rais Magufuli aweze kupita bila kupingwa katika uchaguzi mkuu ujao.
Nitaanza mazungumzo na rafiki zangu Freeman Mbowe, Zitto Kabwe na Hashimu Rungwe......ninaamini watakuwa wazalendo na kuwashawishi wafuasi wao.
Maendeleo hayana vyama
cc: Mzee Mgaya, Mchungaji Erasto, Pascal Mayalla, Daudi Mchambuzi!