Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I wonder whose idea this was...
Usikute CCM nao waliomba kwenda kumwona Rais kuhusiana na suala la Katiba mpya?
It is unthinkable for Obama to have a Democratic party session in the White House.Boy oh boy.....
Labda tujifunze nchi za wenzetu wanafanya hivi pia?? :drum:
Well, maybe it is time we put this to an end. Mambo ya chama yawe ya chama na ya serikali yawe ya serikali.But this is nothing new, they have been doing it for years.
Well, maybe it is time we put this to an end. Mambo ya chama yawe ya chama na ya serikali yawe ya serikali.
Si anamwiga Nyerere.
It is unthinkable for Obama to have a Democratic party session in the White House.
Acha majungu, usijifanye hujui kuwa enzi za Nyerere tulikuwa na chama-dola (party-state) !
Hamna majungu mkuu. Juzi aliwaita CHADEMA na kufanya mazungumzo nao pale. Rais ana ukumbi wa kufanyia mazungumzo.
Watanzania mna mambo mengi ya kulalamika. Lakini hili sio moja.
havihusiani. CDM walienda kama sehemu ya watanzania kuonana na rais kujadiri katiba ya nchi, CCM wameenda kama sehemu ya watanzania walioko kamati kuu ya CCM kwenda kumuona mwenyekiti wa CCM kujadiri mambo ya CCM. Hivyo kuna tofauti, CDM walienda kuongea na raisi wakati CCM walienda kuongea na mwenyekiti wao.Hamna majungu mkuu. Juzi aliwaita CHADEMA na kufanya mazungumzo nao pale. Rais ana ukumbi wa kufanyia mazungumzo.
Watanzania mna mambo mengi ya kulalamika. Lakini hili sio moja.
Acha majungu, usijifanye hujui kuwa enzi za Nyerere tulikuwa na chama-dola (party-state) !
Zakumi,Si anamwiga Nyerere.
Once again mkutano wa rais na Chadema ulihusu katiba--masuala ya nchi na si masuala ya CCM au Kamati kuu ya CCM.Hamna majungu mkuu. Juzi aliwaita CHADEMA na kufanya mazungumzo nao pale. Rais ana ukumbi wa kufanyia mazungumzo.
Watanzania mna mambo mengi ya kulalamika. Lakini hili sio moja.