Ni halali CCM kufanyia vikao Ikulu?

Ni halali CCM kufanyia vikao Ikulu?

To me am not happy the way other members of cc of ccm seat. they have to turn their neck left for long time when listening their chairman speaks. it may couse neck pain.
 
kwani hamjui kuwa ilani na sera za ccm ndio zinaongoza nchi? Kama hilo linakubalika, kwa nini wasifanye vikao ikulu? Huu ni ukweli mchungu
 
ccccm1.JPG

Inauma sana, Ona PICHA ya nyerere akikabidhiwa NCHI..alafu eti CHAMA kinaenda IKULU. DP fanyeni mkakati muende na nyinyi mkafanyie mkutano ikulu.
 
Tatizo nchi hii hatuna mazoea ya kufauata taratibu na sheria kuanzia huyo CITIZEN No. 1.

Mkapa aligombana na Mama Anna Mkapa hadi wakaishia kuvunjana mikono na miguu kwasababu
Mkapa alimkatalia mama Anna Mkapa kumfanyia mtoto wa kufikia wa Mkapa harusi IKULU.

Kama hiyo haitoshi CCM imechukuwa viwanja tulivyojenga kwa nguvu na kodi yetu an kuvifanya
vya kwake kama Vile CCM Kirumba, Ali Hassan Mwinyi etc.

Watu wa ITIFAKI kweli hakuwepo kumsghauri this obvious UKIUKWAJI wa sheria. Next time Mbowe
akiitisha kamati kuu ya CDM kwenye ukumbi wa Bunge itakuwaje?

Mkuu kuhusu viwanja,majengo yaliyojengwa kwa nguvu za wananchi na kuporwa kimabavu na chama cha majambazi wala usiwe na shaka nayo,maana itafika muda yatarudi kua mali ya wananchi na viongozi walioifanyia ufedhuri nchi hii wao na watoto zao watakua magerezani
 
I wonder whose idea this was...

Bwa'Nchuchu, whoever brought up this idea must have chicken head mind; yes, chicken head mind as member 1800 said in his number 66 post above.
The state house should cater services for the interests of the nation but not to the single political party. MM has superbly explained what'd be the fallacy outcome of such practices.
 
Protokali za vikao vya CCM zikoje, hapa simuoni Nape na Chiligati

ccccm.JPG


Nape anaonekana upande mwingine huku na Makamba mbali kabisa na Mwenyekiti, Katibu Mkuu na Makamu mwenyekiti

ccccm1.JPG
 
Hii ni dharau iliyovuka miguu.kujadili mambo ya ma.ga.mba state house?
 
Mbona Obama na Bush walifanya mikutano na kulisha futari waIslamu pale White House. Tanzania ina issues kubwa sasa hivi. Hivi zingine fumbeni macho.



Kuna kingine mnachopenda zaidi ya kufuturishwa? Obama na Bush wanawapa kile mnapenda.
 
hii ni breaking news kabisa ati

Mnaifanya hii nayo breaking news kutusahaulisha issue za ufisadi? Ngoja nikumbushie hii; lile sakata la UDA liliishaje? nasikia yule mwizi wetu anachapa mzigo kama kawa na jana katangaza kununua mabasi 30 ya mitumba.
 
siku za mwisho za marehemu mtashuhudia mambo ambayo alipokuwa mzima kasingeweza kuyafanya na anajua si ustaarabu.
1.atajisaidia kitandani.
2.atawasahau hata watoto wake.
3.atauza kila kila kitu kama hatakuwa na msimamizi mwernye kuielewa hali yake.
4.atahitaji ushauri wa kiroho zaidi si ajabu akaomba kuitiwa padri(mchungaji) au sheikh.

ukishaona dalili hizi anza mipango ya kurithi kama urithi unakuangukia.
 
Hamna majungu mkuu. Juzi aliwaita CHADEMA na kufanya mazungumzo nao pale. Rais ana ukumbi wa kufanyia mazungumzo.

Watanzania mna mambo mengi ya kulalamika. Lakini hili sio moja.


Mkuu,

Kikwete alikutana na CHADEMA katika capacity ya Rais na sio kama mwenyekiti wa CCM hivyo ukumbi wa Ikulu ulikua ni sahihi.Hapa Kikwete anafanya mkutano katika Capacity ya Mwenyekiti wa CCM,I think this is unacceptable isipokua katika nchi holela holela kama Tanzania.
 
Back
Top Bottom