Mkimuyangu
JF-Expert Member
- Oct 5, 2022
- 1,054
- 1,947
Hili swali nalileta kwa waumini wa pande zote Waisilamu na wakristo,ili tulijadili kwa pamoja ni halali au hairusiwi kujengea makaburi?
Kuandika majina ya marehemu,tarehe walizozariwa na tarehe za siku waliyokufa?
Kuandika majina ya marehemu,tarehe walizozariwa na tarehe za siku waliyokufa?