Attaboy
New Member
- Jul 26, 2024
- 1
- 9
Mimi ni kijana bado natafuta kwa ajili ya familia yangu hivi karibuni nilihamishwa kazi na kwenda mkoa mwingine nikamuacha mke wangu nyumbani akiwa mjamzito.
Kutokana na ukata wa maisha ili tubidi kuuza baadhi ya vitu ambavyo ilikuwa gharama kuhamisha na nikampeleka mke wangu nyumbani kwetu wakati akisubiri kujifungua
Kabla na baada ya mke kujifungua huwa natuma pesa za matumizi madogo madogo ya nyumbani kupitia namba ya simu ya mama yangu jambo ambalo linamkera sana mke wangu licha ya kwamba na yeye huwa namtumia pesa za vocha na vitu vidogo vidogo
Mke wangu hataki kukaa nyumbani anatishia kurudi kwao na mimi bado sijarudi kwenye mstari bado sijawa na maisha ya kumleta mke wangu huku nilipo
Naombeni ushauri wenu wana jujwaa
Kutokana na ukata wa maisha ili tubidi kuuza baadhi ya vitu ambavyo ilikuwa gharama kuhamisha na nikampeleka mke wangu nyumbani kwetu wakati akisubiri kujifungua
Kabla na baada ya mke kujifungua huwa natuma pesa za matumizi madogo madogo ya nyumbani kupitia namba ya simu ya mama yangu jambo ambalo linamkera sana mke wangu licha ya kwamba na yeye huwa namtumia pesa za vocha na vitu vidogo vidogo
Mke wangu hataki kukaa nyumbani anatishia kurudi kwao na mimi bado sijarudi kwenye mstari bado sijawa na maisha ya kumleta mke wangu huku nilipo
Naombeni ushauri wenu wana jujwaa