safuher
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 11,837
- 17,412
Mama ndio atumiwe na sio mke.
Haiwezekani huko aliko eti mama yako amkodolee jicho mkeo pesa ya matumizi.
Mama ndio ataratibu mambo yote na mke utamtumia pesa ambayo ni ya matumizi binafsi na sio yale ya nyumbani kila siku.
Mke lazima umtumie kiwango kadhaa kwa sababu naye atataka siku moja moja kujisikia kula kitu fulani ama kununua kitu fulani so haimake sense akaombe kwa mama
Haiwezekani huko aliko eti mama yako amkodolee jicho mkeo pesa ya matumizi.
Mama ndio ataratibu mambo yote na mke utamtumia pesa ambayo ni ya matumizi binafsi na sio yale ya nyumbani kila siku.
Mke lazima umtumie kiwango kadhaa kwa sababu naye atataka siku moja moja kujisikia kula kitu fulani ama kununua kitu fulani so haimake sense akaombe kwa mama