MENEMENE TEKERI NA PERESI
JF-Expert Member
- Mar 11, 2022
- 5,392
- 14,646
Ndugu yangu nioe Mara ngapi mkuu ? Nilioa nikaachika na soon nitamuoa tena Nyamwi255 Ila nasisitiza kuwa hakuna pesa hakuna ndoa NI kujongea kwenye mkondo wa ngono .Siku ukioa utaelewa. Kwa sasa wakuache kama unavofikilia,pia ni haki.
Sio kuwa ukioa basi itaanza kushushiwa hela ya matumizi lazima ndoa iyumbe na inyambulike ,hivyo vijana NDOA bila hela ni ugomvi wa nafsi Kaka