Wakuperuzi
JF-Expert Member
- Mar 31, 2023
- 2,348
- 5,841
Hakuna uchawi hpo ndgu amegundua tu namna nzuri ya kula na kipofu na kutokuifurahia hiyo hali ni km vile unataka kushtuka lkn akili inakuambia "haapanaaaaaa" inmkojani'svoiceWaswahili wanasema mficha maradhi kifo humuumbua.Kuna kipindi hapo nyuma nilimpiga mke wangu vimatukio tukio akawa mtu wa kulia na kutoa machozi kila Mara..
Oya acha ubandindu, mnyonye ulimi huyo mtoto.Huo ndo uanaume,
unakua serious na ndoa[emoji4]View attachment 2584274
Wewe ni mpumbavu na katili sana. Kweli kuna wanawake wanapitia maisha magumu sana in the name of marriage. Ndugu huoni hata aibu kuandika ushuzi kama huu?Waswahili wanasema mficha maradhi kifo humuumbua.Kuna kipindi hapo nyuma nilimpiga mke wangu vimatukio tukio akawa mtu wa kulia na kutoa machozi kila Mara...
Polepole! Ameleta uzi tu.Yawezekana anataka ajionee responses kama hii ya kwako.Halafu,ufukara au utajiri vina mahusiano gani kwani kwenye huba?Wewe ni mpumbavu na katili sana. Kweli kuna wanawake wanapitia maisha magumu sana in the name of marriage. Ndugu huoni hata aibu kuandika ushuzi kama huu?...
Kipato chako ni chini ya milioni 23 kwa mwaka?Polepole!Ameleta uzi tu.Yawezekana anataka ajionee responses kama hii ya kwako.Halafu,ufukara au utajiri vina mahusiano gani kwani kwenye huba?
Anahamasisha ushogaKwa nini?
Subhanallah!Tena?Anahamasisha ushoga
Acha 23.Mimi nipo kwenye 2.3 pa na nina furaha tele.Tusizisingizie fedha kwenye uumbaji(kuishi)wa mapenzi/ndoa.Kipato chako ni chini ya milioni 23 kwa mwaka?
Ndiyo π πSubhanallah!Tena?
Haogopi majambia?Halafu,hawakati shingo kuanzia kwenye koromeo.Wanaanzia upande wa nyuma shingoni.Ndiyo π π
Alafu maumivu yake Sasa π₯π₯Haogopi majambia?Halafu,hawakati shingo kuanzia kwenye koromeo.Wanaanzia upande wa nyuma shingoni.
Mkuu hii ID ikifutwa ndio utaacha kula & kunya kwa jasho
HakikaUnasahau shida zoote za dunia..
Mwanamke akishakutenda mabaya Ile hamu ya treatment ya Queen and an Angel huwa inasepa kidogo kidogo na hatimaye unamchukulia kama mwamba mwenzako [emoji28][emoji28][emoji28]
Pole sana kwako , mkeo hajakufanyia makosa yoyote mpende sana utakuja kunishukuru baadae
Kama mkeo kawa bonge hadi umepoteza mvuto kwake mwambie ukweliWaswahili wanasema mficha maradhi kifo humuumbua.Kuna kipindi hapo nyuma nilimpiga mke wangu vimatukio tukio akawa mtu wa kulia na kutoa machozi kila Mara
Mbaya zaidi ameanza kuneneepa kufikia hatua ya ndani ya miezi miwili mitatu naye aanze kuitwa bonge
Niwe muwazi wife wangu si mtu wa kukunja kunja sana uso au kunununa nuna kama walivyo wanawake wengine kwahiyo baada Mimi kupunguza vile vimatukio vya kumkwaza na kumcheat furaha yake imerudi kama ilivyo kuwa mwanzo.
Amekuwa ni mtu wa kucheka hata kwa vitu visivyochekesha,kunipiga makiss ovyo na kunupamba pamba kila Mara.
Sasa sijui ndio nimepata na hali gani,eti najikuta simfurahii kabisa wife wangu kama nilivyokuwa nikimfeel kipindi kile alipokuwa mtu wa machozi mseleleko & kukondeana kwa mawazo.
Na ninahisi hali hii ikiendelea naweza kufikia hatua hata ya kumrudisha kijijini kwao aende tu akakate mkaa maana hamna jinsi.
Sasa kwa warume wenzangu mlioko kwenye ndoa muda mrefu je hii hali na nyie ilishawahi kuwatokea au ni maradhi yangu peke yangu.
Kingine je hapa uchawi haujahusika kunifanya niwe katika hii hali
Bora umuulize wee,Mkuu hii ID ikifutwa ndio utaacha kula & kunya kwa jasho