HANGAYA THE CHIEF
JF-Expert Member
- Sep 10, 2021
- 330
- 962
- Thread starter
-
- #21
mkuu, kama hujui ni bora ukakaa kimya sio kila kitu lazima ucoment vingine sio vyako, sheria ipi iliyobadilishwa?Nchi ilibadili sheria kwa wanasheria wa serikali si lazima a some school of law
Majungu katika ubora wake. Watanzania tumezoeshwa kupata kingi kwa kazi ndogo.Utangulizi:
Katika taaluma ya sheria kote dunia, na kwa kipekee hapa nchini Tanzania, ili mtu akidhi vigezo vya kuwa mshauri, au kuwakilisha watu mahakamani, au kushauri mambo msingi ya kisheria , au kuhakiki nyaraka mbalimbali ni lazima awe na taalum hiyo katika ngazi au nafasi ya uwakili.
Hivyo kwa sababu ni taaluma, ina taratibu zake kuweka kutambulikwa na jumuia wa wataaluma hao katika nchi, kwa mathalani wale waliomaliza shahada za sheria kabla ya 2007 walifanya mitihani iliyotambulika kama bar exams , na wale waliomaliza baada ya 2007 shahada zao, ilianzishwa shule ya sheria kwa vitendo (law school of Tanzania.)
Katika mifumo hiyo yote wanaofaulu wanaomba kupokelewa, na Jaji Mkuu akiwakubalia wanaapishwa na kufanywa kuwa jumuia ya mawakili, wakiwa na majukumu mbalimbali, kama mawakili, mafisa viapo, na waidhinisha nyaraka mbalimbali katika jamii; na mawakili wanaweza kuwa wakujitegemea au mawakili wa serikali.
Kama hujapitia hatua hizo hata ungekuwa una LLD (PhD), LLM. LLB, unaitwa legal officer, na chochote unachotaka kukifanya lazima uwe chini ya wakili (either private or public), kwa sababu hautambuliki kama member in professional fratenity na huna comitment za obligation ya taaluma hiyo. na hivyo ushauri wako sio ushari
Utata:
Ukifuatilia sintofahamu ya Bandari, chimbuko lake kubwa ni mkataba na wala si uwezo wa DP world kama inavyoelezwa na waunga hoja wa waarabu hao, na kimsingi mkataba ni kazi ya sheria moja kwa moja, na yeyote anayetaka kuzungumzia mkataba lazima arejee sheria, au awe na background ya sheria, aidha za mikataba mbalimbali, ikiwepo za ndani na za nje, au uwezo wa kisheria kiujumla.
Kumekuwa na mwanasheria ambaye amejinasibu kuwa alishiriki katika mchakato na kushauri, swali langu Je, "mwanasheria" huyo ni wakili? (private or public) (is he a member of professional fratenity in Tanzania? Jibu ni hapana Hamza Johari si wakili(public or private) inawezekana ni mwanasheria kwa maana labda ana LLD, LLM, LLB, lakini si wakili, na si lawyer by professional, labda ni mwanasheria kwa kumaliza degree za sheria. lakini haonekani katika kanzi data za mahakama (data base) za judiciary.
Kulijua hilo ingia kwenye (tovuti ya mahakama) www.ewakili.judiciary.go.tz. kuna sehemu ya kumjua wakili wako, (know your advocate) ingiza majina utagundua si wakili.
Wale mnaolaumu wanasheria, tujiulize kwanza, Je aliyetoa ushauri wa kisheria ni mwanasheria kwa mujibu wa taaluma yetu ya kisheria?
Na kama si hivyo, aliwezaje kufanya kazi asiyokuwa na taaluma nayo?
yaani wenyewe wanadanganya watu kuwa ni makubaliano ya awali, dah vitu havina hata backup ya sheria?, dah hapo ndio nachoka kabisaTukubali kwenye mkataba Huu hatukuhitaji serikali pekee pia watu kutoka nje so tuwalaumu wote lkn hata tukilaumu hiyo IGA haisaniniwi upya let us cut the crap
What we can do ni kutangaxa mgogoro kwa mujibu wa mkataba tusuhishe na kwenda vizur jambo ambalo hatuongei na hatulioni ikizingatiwa hii ni saini ya pili dhidi ya DP
Now vina backup ya sheria ambayo ni azimio LA bunge tunachosubiri na kupitisha marekebisho September ya sheria zote kwa mujibu wa mkatabayaani wenyewe wanadanganya watu kuwa ni makubaliano ya awali, dah vitu havina hata backup ya sheria?, dah hapo ndio nachoka kabisa
Huyo naye bure tu mbona Pascal Mayalla ni wakiliMajungu katika ubora wake. Watanzania tumezoeshwa kupata kingi kwa kazi ndogo.
Tumezoeshwa riziki ya wizi kuwa sehemu ya riziki halali, wapo wapigaji wengi wa kimfumo waliojikuta wakipoteza riziki zao haramu tangu Hamza alipoteuliwa kuwa mkurugenzi wa TCAA miaka karibu nane iliyopita.
Wameshazoea ma-CEO wapigaji wanaoingilika kirahisi wakaja kugonga mwamba kwa aina ya utendaji wa Hamza.
Hayati JPM alimkubali sana namna anavyofanya kazi, alikuwa ni mtu wake wa karibu kwa sababu JPM alikuwa mpenda haki na mzalendo wa kweli wa Tanzania.
SSH ameingia madarakani yakaanza majungu wakidhani kuwa watarudia kupata zile riziki zao haramu kwa njia zao za panya, wakaanza majungu tena yale makubwa lakin Rais SSH anapita mule mule alimopita hayati na bado riziki zao zinaendelea kufungwa.
Haya majungu ya huu uzi ni sehemu tu ya chuki nyepesi dhidi ya Hamza Johari. Legal Officer alionyesha uwezo kwa hayati JPM akawa akimpa kazi nzito na nyeti na sio ajabu akawa kwenye team ya wanasheria walioipambania Tanzania huko Dubai ili ipate mkataba mnono wa pesa nyingi.
Cha kujiuliza inakuwaje Legal Officer tena mkurugenzi wa mamlaka ya anga anaongoza team ya wanasheria wa sekta ya bandari?.
Ukijiuliza kwa kina hilo swali utaupata ukweli kwamba tunayo elimu ya kubabaisha, tunao wababaishaji wengi wenye kushika nafasi nyeti na ndio wanaotuchelewesha kimaendeleo.
Nchi zinazotuzunguka kama Kenya, Uganda, Malawi na Msumbiji hazina haki ya kusimama na Tanzania kwa aina ya utajiri tuliojaliwa na Mungu. Lakini bado tunalo tatizo la weak manpower. Tuna uongozi mwingi dhaifu.
Hamza ni mbobezi wa sheria labda unaongea kwa mtazamo mwepesi wa kejeli.Huyo naye bure tu mbona Pascal Mayalla ni wakili
Mkurugenzi unakuwa bush lawyer kweli?
is he a professional lawyer?, is he a member of professional? ni hilo tu mkuu, kama hakidhi hivyo sio professional lawyerMajungu katika ubora wake. Watanzania tumezoeshwa kupata kingi kwa kazi ndogo.
Tumezoeshwa riziki ya wizi kuwa sehemu ya riziki halali, wapo wapigaji wengi wa kimfumo waliojikuta wakipoteza riziki zao haramu tangu Hamza alipoteuliwa kuwa mkurugenzi wa TCAA miaka karibu nane iliyopita.
Wameshazoea ma-CEO wapigaji wanaoingilika kirahisi wakaja kugonga mwamba kwa aina ya utendaji wa Hamza.
Hayati JPM alimkubali sana namna anavyofanya kazi, alikuwa ni mtu wake wa karibu kwa sababu JPM alikuwa mpenda haki na mzalendo wa kweli wa Tanzania.
SSH ameingia madarakani yakaanza majungu wakidhani kuwa watarudia kupata zile riziki zao haramu kwa njia zao za panya, wakaanza majungu tena yale makubwa lakin Rais SSH anapita mule mule alimopita hayati na bado riziki zao zinaendelea kufungwa.
Haya majungu ya huu uzi ni sehemu tu ya chuki nyepesi dhidi ya Hamza Johari. Legal Officer alionyesha uwezo kwa hayati JPM akawa akimpa kazi nzito na nyeti na sio ajabu akawa kwenye team ya wanasheria walioipambania Tanzania huko Dubai ili ipate mkataba mnono wa pesa nyingi.
Cha kujiuliza inakuwaje Legal Officer tena mkurugenzi wa mamlaka ya anga anaongoza team ya wanasheria wa sekta ya bandari?.
Ukijiuliza kwa kina hilo swali utaupata ukweli kwamba tunayo elimu ya kubabaisha, tunao wababaishaji wengi wenye kushika nafasi nyeti na ndio wanaotuchelewesha kimaendeleo.
Nchi zinazotuzunguka kama Kenya, Uganda, Malawi na Msumbiji hazina haki ya kusimama na Tanzania kwa aina ya utajiri tuliojaliwa na Mungu. Lakini bado tunalo tatizo la weak manpower. Tuna uongozi mwingi dhaifu.
Huwezi kuwa mkurugenzi mkuu wa TCAA yaani anga zima la Tanzania liwe chini yako halafu usiwe professional kwenye kazi yako!. Mikataba mingi ameingia kwa niaba ya serikali huu wa bandari ni maarufu kwa sababu ya unyeti wake.is he a professional lawyer?, is he a member of professional? ni hilo tu mkuu, kama hakidhi hivyo sio professional lawyer
dr. posi ni legal member, ila hamza ni nani kweli sheria,? labda utusaide wewe unayemjuaHamza ni mbobezi wa sheria labda unaongea kwa mtazamo mwepesi wa kejeli.
Hamza na Dr Possi ni wanasheria wa viwango vya juu.
Mkuu tumia akili ya kawaida tu. Unaweza vipi kuwa mkurugenzi wa mamlaka ya Anga ya nchi yako halafu usiwe mweli kwenye taalum yako.dr. posi ni legal member, ila hamza ni nani kweli sheria,? labda utusaide wewe unayemjua
shida sheria ni professional, na wote wanasheria wanajulikana na wako regulated? sasa kama hujui kaa kimyaTatizo la mada hii ni lile lile la watanzania la miaka yote. Kudharau taaluma za watu haswa wale wasiowajua vizuri.
Tunachukulia poa sana elimu za watu na huu ni ushahidi wa sisi wenyewe kuwa na elimu za kubabaisha hivyo tunadhani kila mtu na yeye ni mbabaishaji tu.
Rais JPM alimuamini tangu miaka ile ya ukaguzi wa vyeti. Ni msomi mahiri mimi ninamfahamu, tulikuwa wote Ukraine ile ya miaka ya tisini mpaka elfu mbili mwanzoni.TLS wanasemaje kuhusu uanachama wake na Chama Cha mawakili wa Tanganyika au kwa sababu amewekwa na Mamlaka za uteuzi.? Ili kuepusha maswali mengi, na kuleta heshima ya taaluma husika,vigezo na masharti ya Tasnia yazingatiwe wakati wa kufanya uteuzi.
Profession ipi kwa mujibu wako wewe?. Alikuwa mwanasheria wa kampuni binafsi kabla hajachukuliwa mamlaka ya anga upande wa haki za wasafiri na baadae akaomba nafasi ya ukurugenzi akaipata enzi za JK.shida sheria ni professional, na wote wanasheria wanajulikana na wako regulated? sasa kama hujui kaa kimya
Rais JPM alimuamini tangu miaka ile ya ukaguzi wa vyeti. Ni msomi mahiri mimi ninamfahamu, tulikuwa wote Ukraine ile ya miaka ya tisini mpaka elfu mbili mwanzoni.
Sasa anaogopa nini kwenda pale Ubungo?Hamza ni mbobezi wa sheria labda unaongea kwa mtazamo mwepesi wa kejeli.
Hamza na Dr Possi ni wanasheria wa viwango vya juu.
Rais JPM alimuamini tangu miaka ile ya ukaguzi wa vyeti. Ni msomi mahiri mimi ninamfahamu, tulikuwa wote Ukraine ile ya miaka ya tisini mpaka elfu mbili mwanzon
kwa kweli akwende mawasiliano ili ashauri vizuriSasa anaogopa nini kwenda pale Ubungo?
Ulichomaanisha kwenye huo uharo wako juu hapo ni kwamba huyo asiye mwanasheria kashauri mkataba, meaning tumeamini mtu asiye mwanasheria..ndo nikakuuliza ikiwa ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali haikuhusika tukategemea huyo mshauri...au hujui ulichoandika!?Shida akili ikimekwisha shikiliwa na mwarabu, hebu soma kilicho andikwa MEMKWA nini? usikurupuke kujibu soma kwanza, ndio ujibu hoja, ndio maana mnaelezwa mkabata nehi mnang'ang'ania DP ataleta ajira
Huko huko bandarini analeta tija nzito kwa taifa hili.kwa kweli akwende mawasiliano ili ashauri vizuri