Ni hatari sana kwa nchi kutegemea ushauri wa Legal Officer (Hamza Johari), na kuiingiza nchi kwenye mkataba

Ni hatari sana kwa nchi kutegemea ushauri wa Legal Officer (Hamza Johari), na kuiingiza nchi kwenye mkataba

Ulichomaanisha kwenye huo uharo wako juu hapo ni kwamba huyo asiye mwanasheria kashauri mkataba, meaning tumeamini mtu asiye mwanasheria..ndo nikakuuliza ikiwa ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali haikuhusika tukategemea huyo mshauri...au hujui ulichoandika
acha hasira mkuu, hata kama mgao umekufikia kuwa mpole, sijakataa usomi wake wala uhalali wa elimu yake, hapo kama hujui kilicho andikwa kaa kimya, sio kila kitu lazima ujue, in short .... ni research kidogo tu kuwa pamoja na usomi wake wa sheria kama unavyojinasibu, he is not a legal fratenity member, ambayo ndio sifa msingi ya kisheria, ambapo lazima ule kiapo cha kazi hiyo mbele ya Jaji mkuu, basi

kwa hiyo kama hujui uliza pia, tofauti ya (legal officer) na (advocates)
 
acha hasira mkuu, hata kama mgao umekufikia kuwa mpole, sijakataa usomi wake wala uhalali wa elimu yake, hapo kama hujui kilicho andikwa kaa kimya, sio kila kitu lazima ujue, in short .... ni research kidogo tu kuwa pamoja na usomi wake wa sheria kama unavyojinasibu, he is not a legal fratenity member, ambayo ndio sifa msingi ya kisheria, ambapo lazima ule kiapo cha kazi hiyo mbele ya Jaji mkuu, basi

kwa hiyo kama hujui uliza pia, tofauti ya (legal officer) na (advocates)
Legal fraternity member mmojawapo ni Lissu na kila siku anapotosha umma wa watanzania!.

Kutokuwa sehemu ya jamii ya wanasheria hakupumguzii umahiri wake wa kisheria katika masuala nyeti ya mikataba.
 
Achana na JPM. Na isiwe kigezo cha yeye kupendwa na mwendazake basi ndo akizi vigezo. Swali anavyovigezo vya kua mwanasheria wa serikali. Na weka ushaidi. Mwenzio kaweka hadi website kuangalia kama HJ yupo
Ushahidi ni mimi kuishi nae Ukraine akisomea sheria hizi hizi za kimataifa.

Ushahidi mwingine aende baraza la mitihani akachukue copies za vyeti vyake au aende chuo kikuu pale mlimani aurizie faculty of law juu ya kazi zake.

Huu uzi umekuja kimajungu kutoka kwa wanasheria wa viwango duni ni sehemu ya wivu ule ule wa kitanzania na roho mbaya zetu.
 
Ulichomaanisha kwenye huo uharo wako juu hapo ni kwamba huyo asiye mwanasheria kashauri mkataba, meaning tumeamini mtu asiye mwanasheria..ndo nikakuuliza ikiwa ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali haikuhusika tukategemea huyo mshauri...au hujui ulichoandika!?
wewe wasema, sijasema hilo na wala sijaandika hilo, nimefuata kujua tu niliyemuona akituelezea habari ya yeye uhusika wake, basi. na ndiye ninayemjua so far, wengine unawajua wewe
 
Legal fraternity member mmojawapo ni Lissu na kila siku anapotosha umma wa watanzania!.

Kutokuwa sehemu ya jamii ya wanasheria hakupumguzii umahiri wake wa kisheria katika masuala nyeti ya mikataba.
Lissu kapotosha kitu gani?Lissu ni gwiji wa sheria za mikataba ya kimataifa siyo huyo ndugu Johari kawekwa kisanii!
 
Lissu kapotosha kitu gani?Lissu ni gwiji wa sheria za mikataba ya kimataifa siyo huyo ndugu Johari kawekwa kisanii!
Hana ugwiji wowote, anawalisha matango pori wananchi. Ni mwanasheria wa CHADEMA ambacho ni chama kimeamua kuwa upande mmoja na Kenya, maadui zetu kwenye biashara ya bandari.
 
acha hasira mkuu, hata kama mgao umekufikia kuwa mpole, sijakataa usomi wake wala uhalali wa elimu yake, hapo kama hujui kilicho andikwa kaa kimya, sio kila kitu lazima ujue, in short .... ni research kidogo tu kuwa pamoja na usomi wake wa sheria kama unavyojinasibu, he is not a legal fratenity member, ambayo ndio sifa msingi ya kisheria, ambapo lazima ule kiapo cha kazi hiyo mbele ya Jaji mkuu, basi

kwa hiyo kama hujui uliza pia, tofauti ya (legal officer) na (advocates)
Post moja unajibu Mara kumi
 
Legal fraternity member mmojawapo ni Lissu na kila siku anapotosha umma wa watanzania!.

Kutokuwa sehemu ya jamii ya wanasheria hakupumguzii umahiri wake wa kisheria katika masuala nyeti ya mikataba.
Huelewei unachosema
 
Huelewei unachosema
Hamza ni corporate lawyer ambaye ameshiriki kwenye mikataba mingi ya awamu ya tano na hii ya sita.

Ana uzoefu wa masuala ya majadiliano ya mikataba. Sio legal officer kama mleta mada anavyojaribu kumuongelea.
 
Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa

1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)

2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?

3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?

4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!

6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
Hapo namba Tano hapo[emoji115][emoji28][emoji28]

Yaani bandari zao huko Zanzibar hawataki ziguswe. Ila za Tanganyika tu.

Sasa just imagine hao DPW wanaanza kanzi kibabe(kwa jeuri ya watawala). Halafu wagawe labda tuseme faida(sidhani kama itakuwepo, labda).

Katika hio faida au Hela ya DPW serikali ya Zanzibar watapewa gawio lao, [emoji28](kwakuwa hawana chanzo Cha maana Cha kiuchumi)

Yaani shida na tabu waipate watanganyika Hela au faida mtagawana nao, kudadadeki MUUNGANO wa ajabu huu.

Anyway SERIKALI TATU ndio suluhisho au Kila upande upande upambane na Hali yake.

BRING BACK TANGANYIKA
 
Hii inchi hakuna heshima ya taaluma yoyote ile. Tungekuwa tunaheshimu taaluma, maendeleo yangekuwa mbali sana. Serikali ndiyo ya kwanza kutoheshimu taaluma

Shida ni moja tu, taaluma zina matter only zinapo support agenda ya chama kikuu. Zikianza kupinga zinakuwa ignored, black painted, hata kudharaulika.
Bad news ni kwamba chama husika kinatumia class 7 to do that dirty job
 
Utangulizi:
Katika taaluma ya sheria kote dunia, na kwa kipekee hapa nchini Tanzania, ili mtu akidhi vigezo vya kuwa mshauri, au kuwakilisha watu mahakamani, au kushauri mambo msingi ya kisheria , au kuhakiki nyaraka mbalimbali ni lazima awe na taalum hiyo katika ngazi au nafasi ya uwakili.

Hivyo kwa sababu ni taaluma, ina taratibu zake kuweka kutambulikwa na jumuia wa wataaluma hao katika nchi, kwa mathalani wale waliomaliza shahada za sheria kabla ya 2007 walifanya mitihani iliyotambulika kama bar exams , na wale waliomaliza baada ya 2007 shahada zao, ilianzishwa shule ya sheria kwa vitendo (law school of Tanzania.)

Katika mifumo hiyo yote wanaofaulu wanaomba kupokelewa, na Jaji Mkuu akiwakubalia wanaapishwa na kufanywa kuwa jumuia ya mawakili, wakiwa na majukumu mbalimbali, kama mawakili, mafisa viapo, na waidhinisha nyaraka mbalimbali katika jamii; na mawakili wanaweza kuwa wakujitegemea au mawakili wa serikali.

Kama hujapitia hatua hizo hata ungekuwa una LLD (PhD), LLM. LLB, unaitwa legal officer, na chochote unachotaka kukifanya lazima uwe chini ya wakili (either private or public), kwa sababu hautambuliki kama member in professional fratenity na huna comitment za obligation ya taaluma hiyo. na hivyo ushauri wako sio ushari

Utata:
Ukifuatilia sintofahamu ya Bandari, chimbuko lake kubwa ni mkataba na wala si uwezo wa DP world kama inavyoelezwa na waunga hoja wa waarabu hao, na kimsingi mkataba ni kazi ya sheria moja kwa moja, na yeyote anayetaka kuzungumzia mkataba lazima arejee sheria, au awe na background ya sheria, aidha za mikataba mbalimbali, ikiwepo za ndani na za nje, au uwezo wa kisheria kiujumla.

Kumekuwa na mwanasheria ambaye amejinasibu kuwa alishiriki katika mchakato na kushauri, swali langu Je, "mwanasheria" huyo ni wakili? (private or public) (is he a member of professional fratenity in Tanzania? Jibu ni hapana Hamza Johari si wakili(public or private) inawezekana ni mwanasheria kwa maana labda ana LLD, LLM, LLB, lakini si wakili, na si lawyer by professional, labda ni mwanasheria kwa kumaliza degree za sheria. lakini haonekani katika kanzi data za mahakama (data base) za judiciary.

Kulijua hilo ingia kwenye (tovuti ya mahakama) www.ewakili.judiciary.go.tz. kuna sehemu ya kumjua wakili wako, (know your advocate) ingiza majina utagundua si wakili.

Wale mnaolaumu wanasheria, tujiulize kwanza, Je aliyetoa ushauri wa kisheria ni mwanasheria kwa mujibu wa taaluma yetu ya kisheria?

Na kama si hivyo, aliwezaje kufanya kazi asiyokuwa na taaluma nayo?
Johari ndio surname au first name yake?

Manake tumezoea Johari ni jina la kike (unless kama kwa Hamza ni la kiume).

Kama Johari ni la kike halafu Hamza analitumia kama surname basi kutakuwa na shida mahali.

Haiwezekani Hamza atumie jina la kike kama jina la baba yake (surname).
 
Utangulizi:
Katika taaluma ya sheria kote dunia, na kwa kipekee hapa nchini Tanzania, ili mtu akidhi vigezo vya kuwa mshauri, au kuwakilisha watu mahakamani, au kushauri mambo msingi ya kisheria , au kuhakiki nyaraka mbalimbali ni lazima awe na taalum hiyo katika ngazi au nafasi ya uwakili.

Hivyo kwa sababu ni taaluma, ina taratibu zake kuweka kutambulikwa na jumuia wa wataaluma hao katika nchi, kwa mathalani wale waliomaliza shahada za sheria kabla ya 2007 walifanya mitihani iliyotambulika kama bar exams , na wale waliomaliza baada ya 2007 shahada zao, ilianzishwa shule ya sheria kwa vitendo (law school of Tanzania.)

Katika mifumo hiyo yote wanaofaulu wanaomba kupokelewa, na Jaji Mkuu akiwakubalia wanaapishwa na kufanywa kuwa jumuia ya mawakili, wakiwa na majukumu mbalimbali, kama mawakili, mafisa viapo, na waidhinisha nyaraka mbalimbali katika jamii; na mawakili wanaweza kuwa wakujitegemea au mawakili wa serikali.

Kama hujapitia hatua hizo hata ungekuwa una LLD (PhD), LLM. LLB, unaitwa legal officer, na chochote unachotaka kukifanya lazima uwe chini ya wakili (either private or public), kwa sababu hautambuliki kama member in professional fratenity na huna comitment za obligation ya taaluma hiyo. na hivyo ushauri wako sio ushari

Utata:
Ukifuatilia sintofahamu ya Bandari, chimbuko lake kubwa ni mkataba na wala si uwezo wa DP world kama inavyoelezwa na waunga hoja wa waarabu hao, na kimsingi mkataba ni kazi ya sheria moja kwa moja, na yeyote anayetaka kuzungumzia mkataba lazima arejee sheria, au awe na background ya sheria, aidha za mikataba mbalimbali, ikiwepo za ndani na za nje, au uwezo wa kisheria kiujumla.

Kumekuwa na mwanasheria ambaye amejinasibu kuwa alishiriki katika mchakato na kushauri, swali langu Je, "mwanasheria" huyo ni wakili? (private or public) (is he a member of professional fratenity in Tanzania? Jibu ni hapana Hamza Johari si wakili(public or private) inawezekana ni mwanasheria kwa maana labda ana LLD, LLM, LLB, lakini si wakili, na si lawyer by professional, labda ni mwanasheria kwa kumaliza degree za sheria. lakini haonekani katika kanzi data za mahakama (data base) za judiciary.

Kulijua hilo ingia kwenye (tovuti ya mahakama) www.ewakili.judiciary.go.tz. kuna sehemu ya kumjua wakili wako, (know your advocate) ingiza majina utagundua si wakili.

Wale mnaolaumu wanasheria, tujiulize kwanza, Je aliyetoa ushauri wa kisheria ni mwanasheria kwa mujibu wa taaluma yetu ya kisheria?

Na kama si hivyo, aliwezaje kufanya kazi asiyokuwa na taaluma nayo?
10 %
 
Back
Top Bottom