Synthesizer
Platinum Member
- Feb 15, 2010
- 12,699
- 22,598
- Thread starter
-
- #21
Usimwonee Mkuu. Kusoma sheria huhitaji kufaulu hesabu. Wanasheria wengi wazuri sana walipata F ya hesabu O-Level, kama vile mainjinia wengi wazuri sana walipata F ya English O-level. You cant excel in everything. Messi hawezi kucheza basketball.Toa pascal njaa. Hana anachojua. Mtu yeyote ambaye na F ya hesabu ni zero brain
Hakuna engineer ambaye anaweza pata F ya English. Sema si maengineer Huwa tunafaulu vyote ingekuwa unaruhusiwa kuchukua masomo yote A level basi sisi tungechukua vyote. Ila Hawa ngwini Huwa hawana alternative nyingine mana sayansi ni zero hawawezi kabisaUsimwonee Mkuu. Kusoma sheria huhitaji kufaulu hesabu. Wanasheria wengi wazuri sana walipata F ya hesabu O-Level, kama vile mainjinia wengi wazuri sana walipata F ya English O-level. You cant excel in everything. Messi hawezi kucheza basketball.
Labda kweli. Lakini amini nakuambia, lawyers hawahitaji Mathematics ukiwaambia wanahitaji watakuambia that argument is null and void ab-initio!Hakuna engineer ambaye anaweza pata F ya English. Sema si maengineer Huwa tunafaulu vyote ingekuwa unaruhusiwa kuchukua masomo yote A level basi sisi tungechukua vyote. Ila Hawa ngwini Huwa hawana alternative nyingine mana sayansi ni zero hawawezi kabisa
Ebu kapitiepitie Sheria ya Mwaka 1992 Na. 20 ib. 8 na Sheria ya Mwaka 1995 Na. 12 ib. 4 halafu urudi tujadili.Nimekuwa nikijiuliza sana hili swali, kwamba ikiwa iko wazi na dhahiri kabisa kwamba raisi wa Tanzania anaekuwa madarakani, anaamua kwa makusudi na huku akijua hilo, au kwa kushauriwa vibaya, au kwa kutoelewa, anavunja Katiba ya Tanzania (yaani kufanya uamuzi au kuchukua hatua inayoenda kinyume na Katiba ya Tanzania)
Nauliza hivi kwa sababu ninaelewa kwamba huwezi kumshitaki raisi wa Tanzania mahakamani, iwe yupo madarakani au amemaliza muda wake.
Ningeomba wale wenye ufahamu mzuri wa sheria au Katiba ya Tanzania wasaidie kujibu maswali haya hapa chini;
- Je, Tanzania tuna utaratibu wowote wa kisheria wa kumwajibisha raisi anaetenda kinyume na Katiba ya nchi kwa makusudi au kwa kutojua akiwa bado madarakani?
- Je chama chake kinawezaje kumwajibisha ikiwa raisi ndio anakuwa pia mwenyekiti wa chama chake?
- Je kama raisi anavunja katiba kimakusudi bado tunalazimika kusubiri hadi uchaguzi mkuu ili wananchi ndio waamue?
- Na je, ni halali chama cha siasa kuteua mtu kuwa mgombea wa uraisi ikiwa kuna uthibitisho kwamba akiwa madarakani kama raisi katika awamu inayoisha alikuwa akivunja katiba?
- Je unaweza kumwekea pingamizi raisi anaemaliza awamu moja kugombea tena kwa sababu kuna uthibitisho kwamba akiwa raisi alivunja Katiba na hivyo hastahili kugombea uraisi kwa awamu nyingine?
- Je kuna uhalali wa kumwondoa raisi madarakani kwa nguvu (yaani mapinduzi) badala ya kungojea uchaguzi mwingine ikiwa anathibitika kuvunja Katiba mara kwa mara na chama chake hakina namna ya kumwajibisha, au hakuna utaratibu wa kidemokrasia unaowezesha raisi aondolewe madarakani?
Mkuu mie sio mwanasheria sijui hata hizo sheria nitazipata wapi. Tuwekee hapaEbu kapitiepitie Sheria ya Mwaka 1992 Na. 20 ib. 8 na Sheria ya Mwaka 1995 Na. 12 ib. 4 halafu urudi tujadili.
Wewe umeuliza kama Kuna Sheria yoyote ya kumwajibisha Rais wa JMT nami nimekupa hizo Sheria. Shida yako nini? Unaweza kuanzisha uzi JF, lakini kutafuta Sheria mtandaoni ukasoma huwezi? Pumbavu!!!Mkuu mie sio mwanasheria sijui hata hizo sheria nitazipata wapi. Tuwekee hapa
Lissu mwenyewe kamiminiwa marisasi kila siku anabweka tuu makonda makonda, hakuna chochote anachofanya. Hapa hawezi kusaidia chochote.Wana JF nitafutieni Pascal Mayalla, Tundu Lissu nk waje huku watuongoze
Aliipatia Tambaza? Pasco anajiheshimu bwana,hawezikuwa amepata FToa pascal njaa. Hana anachojua. Mtu yeyote ambaye na F ya hesabu ni zero brain
Hivi Sumbawanga hakuna wataalamu wakatusaidia?Hii Katiba imeandikwa na Chama chake ndio maana wanaidharau wanaheshimu zaidi Ilani yao.
Tukikimbilia Mahakamani Majaji wanapigiwa Simu sasa tufante nini?
Pascal yupo channel ten anajikimuToa pascal njaa. Hana anachojua. Mtu yeyote ambaye na F ya hesabu ni zero brain
Kwa mujibu wa katiba YETU pendwa Rais hatoshitakiwa kwa kosa lolote lile alilolitenda akiwa madarakani ama pia BAADA ya kustaafu MAJUKUMU ya urais.kama sijasahau.Nimekuwa nikijiuliza sana hili swali, kwamba ikiwa iko wazi na dhahiri kabisa kwamba raisi wa Tanzania anaekuwa madarakani, anaamua kwa makusudi na huku akijua hilo, au kwa kushauriwa vibaya, au kwa kutoelewa, anavunja Katiba ya Tanzania (yaani kufanya uamuzi au kuchukua hatua inayoenda kinyume na Katiba ya Tanzania)
Nauliza hivi kwa sababu ninaelewa kwamba huwezi kumshitaki raisi wa Tanzania mahakamani, iwe yupo madarakani au amemaliza muda wake.
Ningeomba wale wenye ufahamu mzuri wa sheria au Katiba ya Tanzania wasaidie kujibu maswali haya hapa chini;
- Je, Tanzania tuna utaratibu wowote wa kisheria wa kumwajibisha raisi anaetenda kinyume na Katiba ya nchi kwa makusudi au kwa kutojua akiwa bado madarakani?
- Je chama chake kinawezaje kumwajibisha ikiwa raisi ndio anakuwa pia mwenyekiti wa chama chake?
- Je kama raisi anavunja katiba kimakusudi bado tunalazimika kusubiri hadi uchaguzi mkuu ili wananchi ndio waamue?
- Na je, ni halali chama cha siasa kuteua mtu kuwa mgombea wa uraisi ikiwa kuna uthibitisho kwamba akiwa madarakani kama raisi katika awamu inayoisha alikuwa akivunja katiba?
- Je unaweza kumwekea pingamizi raisi anaemaliza awamu moja kugombea tena kwa sababu kuna uthibitisho kwamba akiwa raisi alivunja Katiba na hivyo hastahili kugombea uraisi kwa awamu nyingine?
- Je kuna uhalali wa kumwondoa raisi madarakani kwa nguvu (yaani mapinduzi) badala ya kungojea uchaguzi mwingine ikiwa anathibitika kuvunja Katiba mara kwa mara na chama chake hakina namna ya kumwajibisha, au hakuna utaratibu wa kidemokrasia unaowezesha raisi aondolewe madarakani?
Tuseme Raisi akiamua kuwauzia Kenya Mlima Kilimanjaro hakuna lolote tunaweza kufanya?Kwa mujibu wa katiba YETU pendwa Rais hatoshitakiwa kwa kosa lolote lile alilolitenda akiwa madarakani ama pia BAADA ya kustaafu MAJUKUMU ya urais.kama sijasahau.
Tuiulize katiba.Tuseme Raisi akiamua kuwauzia Kenya Mlima Kilimanjaro hakuna lolote tunaweza kufanya?
Sawa nakubali. Nimeitafuta nikaipata;Wewe umeuliza kama Kuna Sheria yoyote ya kumwajibisha Rais wa JMT nami nimekupa hizo Sheria. Shida yako nini? Unaweza kuanzisha uzi JF, lakini kutafuta Sheria mtandaoni ukasoma huwezi? Pumbavu!!!
Nimeona kwamba Katiba ina mapungufu sana. Ina fanya assumption kwamba unaweza kuwa na Bunge ambalo lina Raisi ambaye anatoka cahama ambacho hakina majority bungeni.Tuiulize katiba.
Angalau umefanya homework. Ila kiukweli kwa Katiba JMT ni Bunge la JMT ndilo linaloweza kumuondoa Rais wa JMT madarakani (Impeachment). Na karibia nchi nyingi duniani ambacho ni Jamhuri zina utaratibu huo mfano Kenya, Afrika Kusini na Marekani kutaja chache.Nimekuwa nikijiuliza sana hili swali, kwamba ikiwa iko wazi na dhahiri kabisa kwamba raisi wa Tanzania anaekuwa madarakani, anaamua kwa makusudi na huku akijua hilo, au kwa kushauriwa vibaya, au kwa kutoelewa, anavunja Katiba ya Tanzania (yaani kufanya uamuzi au kuchukua hatua inayoenda kinyume na Katiba ya Tanzania).
Nauliza hivi kwa sababu ninaelewa kwamba huwezi kumshitaki Rais wa Tanzania Mahakamani, iwe yupo madarakani au amemaliza muda wake.
Ili kuelewa suala lililopo labda tuchukue extreme case. Kwa mfano Raisi anaamua kuwauzia Kenya Mlima Kilimanjaro, hakuna tunaloweza kufanya itabidi tusubiri hadi uchaguzi ili tumtoe kwa kura?
Ningeomba wale wenye ufahamu mzuri wa sheria au Katiba ya Tanzania wasaidie kujibu maswali haya hapa chini;
- Je, Tanzania tuna utaratibu wowote wa kisheria wa kumwajibisha Rais anaetenda kinyume na Katiba ya nchi kwa makusudi au kwa kutojua akiwa bado madarakani?
- Je chama chake kinawezaje kumwajibisha ikiwa raisi ndio anakuwa pia mwenyekiti wa chama chake?
- Je kama Rais anavunja katiba kimakusudi bado tunalazimika kusubiri hadi uchaguzi mkuu ili wananchi ndio waamue?
- Na je, ni halali chama cha siasa kuteua mtu kuwa mgombea wa Urais ikiwa kuna uthibitisho kwamba akiwa madarakani kama Rais katika awamu inayoisha alikuwa akivunja katiba?
- Je unaweza kumwekea pingamizi Rais anaemaliza awamu moja kugombea tena kwa sababu kuna uthibitisho kwamba akiwa Rais alivunja Katiba na hivyo hastahili kugombea uraisi kwa awamu nyingine?
- Je kuna uhalali wa kumwondoa Rais madarakani kwa nguvu (yaani mapinduzi) badala ya kungojea uchaguzi mwingine ikiwa anathibitika kuvunja Katiba mara kwa mara na chama chake hakina namna ya kumwajibisha, au hakuna utaratibu wa kidemokrasia unaowezesha Rais aondolewe madarakani?