Ni hatua gani zinastahili kuchukuliwa endapo Rais atavunja Katiba kwa kukusudia au kutokukusudia?

Hao wananchi wanaijua katiba na maana ya katiba? Watanzania hata haki zao za msingi hawazitaki japo zipo na wanazijua, ndiyo sababu tunasema usimtetee mtanzania utaumbuka atakapokukana.
 
Katiba ya Tanzania sijawahi kuiona , ajabu ni kuwa tukiwa shule ya msingi somo la siasa Miaka ya 80 tulifundishwa katiba ya ccm na karibu kila mwanafunzi alikuwa nayo .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…