mtoto wa kibopa
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 5,274
- 6,257
Ngapi hiipata huu unyama hapo chini alafu uwe na POWER AMP... aisee aiseeee hii colabooo balaa snaa yani hatari sanaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngapi hiipata huu unyama hapo chini alafu uwe na POWER AMP... aisee aiseeee hii colabooo balaa snaa yani hatari sanaa
Hizi tahadhari sana usivae ukatembea barabarani bila kua makini maana ake zina mziki mzito sana ni kama unakua umeweka vi subwoofer masikioni...pata huu unyama hapo chini alafu uwe na POWER AMP... aisee aiseeee hii colabooo balaa snaa yani hatari sanaa
Bei gan kwanzapata huu unyama hapo chini alafu uwe na POWER AMP... aisee aiseeee hii colabooo balaa snaa yani hatari sanaa
Hizo ni sabuwoofer za masikioni..Hizi taahadhari sana usivae ukatembea barabarani bila kua makini maana ake zina mziki mzito sana ni kama unakua umeweka vi subwoofer masikioni...
Vina mziki mzito sana hivi nimewahi kutumia...
elfu 20 mkuu
Em nikatafute, hizi zangu za buku 5 kila nikiziangalia sizielew elewi.elfu 20 mkuu
huo mziki na nusuu mkuu...Em nikatafute, hizi zangu za buku 5 kila nikiziangalia sizielew elewi.
[emoji106]huo mziki na nusuu mkuu...
madafu ila unyamaa wakee hatari snaaa
Ntazisakamadafu ila unyamaa wakee hatari snaaa
Ntaluka nazo hiziKwa wale wapenzi wa headphones kuna alternative ya Sony, bila kuumiza mfuko, kwa bei ya kawaida, Edifier w820nb, ni hires certified Bluetooth headphones
Zina hybrid active noise cancelation, game mode, na ambient sound,
Zinatumia Advanced Audio Codec(AAC),
zina APP yake play store
Zinatoa very good balanced sound, kila tune ya mziki unaiskia, haina haja ya kutumia equilizer kupata good sound
Haziumizi maskio hata ukizitumia kwa muda mrefu
AliExpress zinauzwa around 130k TSH,View attachment 2413785View attachment 2413786View attachment 2413787View attachment 2413788
Chukua hautajutia, Zipo vizuri sana, mwanzo nilitaka kuchukua Anker soundcore q30, nikapitia review za YouTube wengi wanaifagilia edifier w820nb kwa sound quality nzuri, bila kutumia equilizer yoyote,
Maana napenda mziki ndo starehe yangu namba MojaChukua hautajutia, Zipo vizuri sana, mwanzo nilitaka kuchukua Anker soundcore q30, nikapitia review za YouTube wengi wanaifagilia edifier w820nb kwa sound quality nzuri, bila kutumia equilizer yoyote,
elfu 20 mkuu
Masaa 2Kama natumia mfululuzo chaji inakaa aproximately muda gani?